Malkia wa Taarab nchini Tanzania Khadija Omar Kopa na Mzee wa Asuuu. Abdul Misambano Wawasili Jijini Mwanza

Malkia wa Taarab nchini Tanzania Khadija Omar Kopa

Jana  Asubuhi ya Ijumaa tarehe 9 Mei 2014 Malkia wa Taarab nchini Tanzania Khadija Omar Kopa  aliwasili Jijini Mwanza, akiwa ameambatana na    The Super Roxx Abdul Misambano Mkali wa wimbo wa Asuu.

Jioni  hiyo walitumbuiza kwa  m
itikisiko ya Pwani katika ukumbi wa Kilimanjaro Night Club , Buzuruga Plaza Nyakato Jijini Mwanza.




Malkia wa Taarab nchini Tanzania Khadija Omar Kopa akiwa tu ndio kashuka katika uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza asubuhi  ya jana (Ijumaa)kwa ajili ya kutoa burudani kwa wakazi wa Mwanza   katika ukumbi wa Kilimanjaro Night Club, Buzuruga Plaza Nyakato.


Chini ni Mzee wa Asuuu. The Super Roxx Abdul Misambano. Kiingilio kilikuwa Sh.elfu kumi (10,000/=) kwa mtu mzima.

Habari zaidi hapo kesho tutakapofahamu  ni wapi watakuwa baada ya kutoka hapo Buzuruga.


The Super Roxx Abdul Misambano akiwasili katika uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza asubuhi ya jana, kwa ajili ya kutoa burudani kwa wakazi wa Mwanza na vitongoji vyake kwenye usiku wa Mitikisiko ya Pwani
 katika ukumbi wa Buzuruga Plaza Nyakato jijini Mwanza. 
     Hali ya mapokezi ilikuwa nzuri kwani Mwanza wapenzi wa  nyimbo za Pwani  ni wengi na kweli ni siku  kidogo kwa ugeni kama huu kuja Mwanza.   

0 comments:

POLL

Which structure of government do you prefer to be implemented in Tanzania?
  
pollcode.com free polls 

TOA MAONI YAKO HAPA (NI BURE)

Name

Email *

Message *

Copyright © 2014 Hii Wiki jijini Mwanza