UJERUMANI YACHUKUA KOMBE LA DUNIA RIO DEGENEIRO 2014

Gotze wonder goal crowns Germany champions
Mario Gotze na 19 kushoto akiwa 
na Thomas Muller na 13 wakifurahia  goli lililommaliza Agentina.
Ujerumani yachukua kombe la dunia kwa mara ya nne huko Rio de Jenairo nchini Brazil kwa kuichapa Agentina bao 1-0 katika michuano ya Ishirini ya kombe la Dunia iliyofanyikia huko  mwaka huu 2014.

Nakifanya Ujerumani kuwa timu ya kwanza ya Ulaya kulichukua kombe hili likichezewa Amerika ya kusini.


Michuano hii ilianza rasmi siku ya Alhamisi 12 Juni, 2014 kwa mchuano kati ya Brazili na Croatia ambako Brazil iliifunga Croatia kwa tabu mabao matatu kwa moja. Brazil  3-1Croatia


Gotze wonder goal crowns Germany champions
Mario Gotze na 19 kushoto akiwa
na Thomas Muller na 13 wakifurahia  goli
Baada ya dakika 90 timu zota zilikuwa sare, Katika dakika ya 113 ndani ya muda wa nyoneza  mchezaji Mario Gotze aliipatia  goli la pekee na la Ushindi.
 Germany 1-0 Argentina     
Wachezaji wa ujeremani wanasubiriwa na kitita cha mamilioni ya Dolla za Kimarekani kama zawadi kwa ushindi huu. 



                               






















Huku Agentina wakisikitika kukosa Ushindi huu watani wao wa jadi Brazil ambao ndiyo wenyeji wa michuano,  kwa kuchapwa mabao Saba kwa moja na Wajerumani kimoyomoyo wamekuwa wanafurahia Agentina kupoteza ushindi.


Brazil ambayo ilitegemewa na wengi kuchukua kombe hili mwaka huu imesikitisha washabiki wake hasa pale ilipopoteza pia ushindi wa nafasi ya Tatu kwa kufungwa na Uholanzi mabao matatu bila 

Kocha wa Timu y Brazili Luiz Filipe Scolari
Wakati Kocha wa Timu ya Brazil  Luiz Felipe Scolari  akisikitika kupoteza kazi mwanzake Louis van Gaal anasherehekea ushindi

Kocha wa Uholanzi Louis Gaal  akipongeza Wachezaji wake
Kuona video BOFYA HAPA







0 comments:

POLL

Which structure of government do you prefer to be implemented in Tanzania?
  
pollcode.com free polls 

TOA MAONI YAKO HAPA (NI BURE)

Name

Email *

Message *

Copyright © 2014 Hii Wiki jijini Mwanza