tag:blogger.com,1999:blog-5428033552224133862024-03-23T01:48:35.018-07:00 Hii Wiki jijini MwanzaHiiWiki Jijini Mwanza blog inatoa habari,elimu, uchumi,siasa,burudani, muziki, maisha, sayansi na ufundi na mengine mengi kila wikiAdminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.comBlogger64125tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-41566718205934538452018-04-11T20:38:00.000-07:002018-04-11T20:38:05.092-07:00<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<b style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Na Mwandishi Wetu</b><br />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imepitisha uamuzi wa kutotahini tena mtihani wa somo la Dini kuanzia mwaka huu. Katika kupitisha uamuzi huo, Wizara ilikutana na taasisi za Kikristo pekee mwezi Machi mwaka huu na baadae kuwapa taarifa Bakwata juu ya maamuzi yaliyofikiwa. “Sisi tumefanya tu kupewa taarifa kuwa Serikali imepitisha uamuzi huo, lakini katika kujadili suala hilo hatukufahamishwa, Wizara ilikutana na wadau wa Kikristo pekee.” Amesema afisa mmoja wa Bakwata akielezea juu ya barua waliyoandikiwa na Kamishna wa Elimu juu ya uamuzi huo. Afisa huyo akasema kuwa wao kama Bakwata wameshangaa na kushtuka sana. Akasema kuwa pamoja na kuwa hawakushirikishwa wanakuja kupewa tu taarifa, lakini wanashangaa pia kwa sababu hata walipopewa taarifa na Kamishna wa Elimu, wameambiwa jambo hilo liwe siri.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Jambo hili linafanywa “SIRI, je Serikali inataka Waislamu wasiambiwe? Kwanini? Kuna agenda gani? Amehoji afisa huyo ambaye hata hivyo hakutaka kutaja jina lake akisema kuwa yeye sio msemaji wa Bakwata. Awali taarifa juu ya kikao cha Wakristo na Wizara juu ya mitihani ya dini, zilianza kuvuja kupitia kwa Wakristo waliohudhuria ambao walipokutana na wadau kutoka upande wa Waislamu waliwalaumu ni kwa nini hawakuhudhuria wakasaidiana kupinga uamuzi huo wa Serikali. Hata hivyo, wadau hao kutoka Islamic Education Panel waliwafahamisha wadau hao wa Kikristo kuwa wao walikuwa hawakupewa taarifa.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Kufuatia kuvuja kwa taarifa hizo, baadhi ya wajumbe wa Islamic Education Panel walifuatilia jambo hilo Bakwata wakidhani kuwa huenda Bakwata wao walipewa taarifa. Hata hivyo, maofisa wa Bakwata wakasema kuwa nao wanasikia tu, hawakualikwa. Kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikitahini masomo ya Dini ya Kiislamu (Maarifa ya Uislamu) na Kikristo (Divinity) katika mitihani ya kidato cha nne na sita na pia katika Mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada. Kwa upande wa Maarifa ya Uislamu, Wizara imekuwa ikishirikiana na Islamic Education Panel katika kuandaa mihutasari na mitihani kwa ngazi zote hizo.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Vitabu vya mihutasari hiyo, kwa ngazi zote, katika jalada vimewekwa nembo ya Serikali na ile ya Islamic Education Panel na kusainiwa na Kamishana wa Elimu. Hata hivyo, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, haikuwaita IEP katika kupitisha uamuzi huo mkubwa na wenye athari kubwa kwa vijana wa Kiislamu na vyuo vya Kiislamu. Hivi sasa Vyuo Vikuu kama kile cha Waislamu Morogoro (MUM), pamoja na wanafunzi wa kozi nyingine, huchukua wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kufaulu Somo la Islamic Knowledge kwa ajili ya kuchukua kozi ya Sheria na Sharia kwa pamoja. Aidha, huchukua pia wanafunzi hao kwa ajili ya kozi ya Masomo ya Dini na Ualimu, yaani BA Islamic Studies and Education. Kwa upande mwingine, Chuo Kikuu cha Elimu Zanzibar (Chukwani) na kile cha Tunguu, navyo vinachukua wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na kufaulu somo la Maarifa ya Uislamu kwa ajili ya kozi zao mbalimbali. Vipo pia vyuo vikuu vya Mbale Uganda, Sudan, Uturuki, Malaysia na sehemu nyingine ambapo wana kozi zinazohitaji somo la Maarifa ya Uislamu kama vile Islamic Banking.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Kwa uamuzi huu wa Serikali, ina maana kuwa sasa itakuwa vigumu kwa MUM na Chukwani kupata wanafunzi wenye sifa kwa hiyo huenda vikalazimika kufuta kozi hizo. Hii maana yake ni kuwa uamuzi huu unapunguza idadi ya wanafunzi wa Kiislamu wanaokuwa na sifa za kupata elimu ya juu. “Kinachosikitisha ni kuwa Serikali imeamua kukaa na Wakristo pekee kupitisha maamuzi mazito kama haya bila kujali athari yake kwa vijana wa Kiislamu na taasisi za Kiislamu nchini.” Amesema mjumbe mmoja wa Islamic Education Panel akizungumzia suala hilo. “Hii ni dharau iliyopitiliza kiwango, Serikali inachukuaje maamuzi kama haya bila kujali kuwa kuna shule za Kiislamu na Vyuo vya Ualimu vya Kiislamu pamoja na Vyuo Vikuu ambavyo vinategemea kupata wanafunzi kutokana na wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita wenye somo la Maarifa ya Uislamu?” Amesema mjumbe huyo wa Islamic Education Panel ambaye hata hivyo hakutaka kutajwa jina lake gazetini.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">“Kama Serikali imeona kuna mantiki kujitoa katika kutahini somo hili, kwa nini ifanye kinyemela? Kwa nini isiwashirikishe wadau husika ili kujua, ni utaratibu gani mwingine utafanyika ili vyuo vya Kiislamu vilivyopo visiathirike? Kwa nini wasikae pamoja na Panel? Mbona waliwaita Wakristo? Kitu gani kiliwafanya wakwepe kuwaita Waislamu, ni dharau, UDINI, au kuna agenda ya siri?”</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Mdau mmoja wa Kikristo aliyekuwa katika kikao hicho cha Machi kati ya Serikali na wadau wa Elimu wa Kikristo alipoulizwa kuwa katika kikao hicho Serikali imetoa hoja gani ya kufuta mtihani huo alisema kuwa, hakuna jambo lililoelezwa la kujenga hoja madhubuti, lakini yeye binafsi anadhani ni kutokana na masuala ya Waislamu toka walipopinga matokeo ya Islamic mpaka ikabidi Baraza la Mitihani liyabadili. Wajumbe wa Islamic Education Panel wanasema kuwa, wakati Waislamu wametimiza matakwa yote ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya kuwa na Mihutasari na vitabu kwa ngazi zote, Wakristo hawakuwa wametimiza matakwa hayo, hawakuwa hata na mihutasari, lakini somo lao lilikuwa likitahiniwa.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Hata hivyo, akasema, hao hao ambao hawakuwa wametimiza matakwa ya Wizara na Baraza la Mitihani, ndio walioitwa kupitisha uamuzi wa Serikali kujitoa katika kutahini mtihani huo. “Waislamu wakilalamika kuwa kuna ubaguzi, udhalilishaji, uonevu na udini, wanaambiwa wanafanya uchochezi, hivi Serikali inaweza kukaa na Waislamu pekee na kufanya maamuzi makubwa yenye kugusa masilahi ya Kanisa Katoliki na Wakristo wote, halafu ifanye tu kuwapelekea taarifa Baraza la Maaskofu juu ya maamuzi hayo?” Alihoji. Wachambuzi wa masuala ya kidini na kijamii nchini wanasema kuwa huenda Serikali imeamua kujitoa katika suala hili ili ipate fursa ya kuweka mkakati mwingine wa kuibuka na somo la dini mseto baada ya kukwama huko nyuma. Hata hivyo wengine wanasema kuwa hii ni moja tu ya mikakati ya kupunguza idadi ya vijana wa Kiislamu wenye sifa za kujiunga na vyuo vikuu.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Wengine wakakumbusha kuwa zilipoanzishwa shule za kwanza za seminari za Kiislamu, Serikali ilitangaza kuwa shule hizo sio shule zinazotambulika. Ni Madrasa. Kwa hiyo wanafunzi wake wakimaliza kidato cha nne wasingepatiwa nafasi za kusoma kidato cha tano katika shule za Serikali. Na kwamba kwa wale watakaomaliza kidato cha sita, wasingechaguliwa kuingia vyuo vikuu na vyuo vingine vya Serikali. Kwa vile isingewezekana kutangaza kuwa wasiotakiwa ni Waislamu pekee, ilibidi tangazo liguse shule zote pamoja na seminari za Kikristo.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Hata hivyo, baadae alilazimka wenyewe kuondoa tena kimya kimya sera hiyo kabla haijafanyiwa kazi, baada ya kuona kuwa watakao athirika zaidi ni vijana wa Kikristo kwa sababu ni taasisi za Kikristo zilizokuwa na shule nyingi za seminari. Ni kwa sababu ya matukio kama hayo, baadhi ya wachambuzi wanasema kuwa huenda kuna agenda ya siri inayowalenga Waislamu na ndio maana waliitwa Wakristo pekee ili waelimishwe kuwa wawe radhi kutoa muhanga mtihani wa ‘Divinity’. </span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Kwa upande mwingine huenda hawakuitwa Waislamu kwa kuhofiwa kuwa wangehoji mambo ambayo yasingeweza kupatiwa majibu moja likiwa ni utaratibu gani umeandaliwa kuhakikisha kuwa MUM, Chukwani na vyuo vingine vya Kiislamu vyenye kozi za Islamic Studies, Shariah na Islamic Banking, vitapata wanafunzi kulingana na vigezo vya Mamlaka ya Vyuo Vikuu- Tanzania Commission for Universities (TCU). Habari kutoka ndani ya Bakwata na Islamic Education Panel zinasema kuwa taarifa kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi juu ya suala hilo, imeeleza kuwa nao Wizara wamefanya kupewa maelekezo na Katibu Mkuu Kiongozi, Ikulu.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Na kwamba Wizara ilitakiwa kukaa na wadau, kwa maana ya taasisi za kidini kuangalia suala hilo. Hata hivyo, haikuweza kufahamika kuwa uamuzi wa kutokuwashirikisha Waislamu na badala yake kukaa na Wakristo pekee, ilikuwa ni maelekezo kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi au ulikuwa uamuzi wa Kamishna wa Elimu. Wadadisi wengine wanasema kuwa jambo hili limetokea Baraza la Mitihani (NECTA) na kwamba kama ambavyo Baraza hilo liliona umuhimu wa kuajiri Mchungaji wa kutizama masilahi ya wanafunzi wa Kikristo na kugoma kuajiri Muislamu, ndio mtindo huo huo umetumika katika kuita kikao cha Wizarani. Kutokana na hali hiyo, Waislamu kupitia taasisi zao, wamepanga kumuona Katibu Mkuu Kiongozi kupata ufafanuzi juu ya suala hilo.</span><br />
<br style="color: #555555; font-family: Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;" />
<span style="background-color: #f7f7f7; color: #555555; font-family: "verdana" , "arial" , "helvetica" , sans-serif; font-size: 12px; text-align: justify;">Na kwa kuwa suala hili linagusa masilahi ya Waislamu wote nchini, litafanyiwa taratibu za kujadiliwa na kupitishwa maamuzi ya pamoja. Hadi jana tukienda mitamboni juhudi za kuwapata wahusika Wizara ya Elimu na NECTA kuzungumzia suala hili, hazikuweza kufanikiwa.</span></div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-49306835416255457812017-10-15T16:44:00.000-07:002017-10-15T16:48:07.949-07:00CCM YANG'AA katika CHAGUZI za MARUDIO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px;">
..</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMfzOzq2byRsJddeHlKgLhNPEqbs4oHREL6poP1P0I-l82cozo7MIMeONEmukyVqANJCPNIhGrvSsTskYxP0XVdTP-ihz9vvwdjVZZbjWvuImKO8jiq8GpFoxGlmHuiHcNpZir0tUPVaqF/s1600/ccm.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="200" data-original-width="200" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMfzOzq2byRsJddeHlKgLhNPEqbs4oHREL6poP1P0I-l82cozo7MIMeONEmukyVqANJCPNIhGrvSsTskYxP0XVdTP-ihz9vvwdjVZZbjWvuImKO8jiq8GpFoxGlmHuiHcNpZir0tUPVaqF/s1600/ccm.jpg" /></a></div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Taarifa ya matokeo ya uchaguzi katika vijiji vya Mlandizi leo tr 15.10.2017 kama ifuatavyo</div>
<div style="background-color: white; color: #1d2129; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 14px; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
1.kitongoji gwata mjini. Waliojiadikisha 248. WalioPiga kura 161. iriyo haribika 1. Ccm 151. Chadema 9.</div>
<div class="text_exposed_show" style="background-color: white; color: #1d2129; display: inline; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 14px;">
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px;">
2.kijiji lukenge. Waliojiandikisha 487. Walio piga kura 436. Zilizo haribika 3. Ccm 333. Chadema 100</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
3.Kijiji Gumba. Waliojiandikisha 290. Walio piga kura 250.zilizo haribika 4. Ccm 220. Chadema 26.</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
4. Kitongoji Cha Midizini ZILIZOPIGWA 143,ZILlZO HARIBIKA 3,CCM 78,CUF 62,WALIOANDIKISHWA 156.</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
5. Mwenyekiti wa kijiji Misufini, waliojiandikisha 233, waliopiga kura 222,zilizoharibika 2,CCM 127 na CHADEMA 91</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
6. Ngeta: Waliojiandikisha 354: waliopiga kura 314 zilizoharbika 2 CCM 188 CHADEMA 124</div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
7. Kitongoji cha Mkarambati Waliojiandikisha 62 waliopiga kura 60 ccm Kura 22 chadema kura 38. </div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
<br /></div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Taarifa hii toka kwa </div>
<div style="font-family: inherit; margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Beatrice Condrad TANURU LA FIKIRA</div>
</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-65087002315456400832017-10-15T13:38:00.002-07:002017-10-15T14:12:53.042-07:00WANAWAKE HUVUTIWA NA WANAUME WENYE SIFA IPI?<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0cm 0cm 10pt; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-eFioUdsD0r7NGZSxvp3oPN1jl8Fnsls4XJpEbVYNbGNhj6kJjjalIQ_xHQLfp7QoiEQ5iiFz-A8ncCA2a9MOwoFLVcEFiV55mWiHv2gGijYJKYD8hDKD1PKBycCZBxQPSoBjz7i5q5_9/s1600/kazi+kazi.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="87" data-original-width="65" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-eFioUdsD0r7NGZSxvp3oPN1jl8Fnsls4XJpEbVYNbGNhj6kJjjalIQ_xHQLfp7QoiEQ5iiFz-A8ncCA2a9MOwoFLVcEFiV55mWiHv2gGijYJKYD8hDKD1PKBycCZBxQPSoBjz7i5q5_9/s400/kazi+kazi.jpg" width="298" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: red;">MWANAMME NI KAZI</span></td></tr>
</tbody></table>
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Katika utafiti wa hivi karibuni, watafiti wamegundua kwamba, wanawake
wanawapenda wanaume wasio waoga na mashujaa kuliko wale waoga. Ushujaa wa
wanaume ni kigezo kikubwa kwa wanawake kuwapenda marafiki wa kiume wa muda mrefu
na muda mfupi. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0cm 0cm 10pt; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0cm 0cm 10pt; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Hii inamaanisha kwamba katika urafiki wa kawaida na wa kimapenzi
na wa kindoa, wema au ukarimu ulionekana kwamba ni kigezo cha
kawaida tu na sio kipaumbele chao.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #666666; font-size: 14px; margin: 0cm 0cm 10pt; padding: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding: 0px;"><span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif;"><br /></span><span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"></span></span><span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding: 0px;">Tukirudi kwa mababu zetu wa kale walioishi mapangoni, wanawake
waliwapenda wanaume shujaa ambao wangeweza kujitoa muhanga kuwalinda wao na
watoto wao. Mwanaume ambaye alikuwa na uwezo wa kujitoa muhanga alionekana kuwa
na uwezo wa kuwinda bila hofu na kuzama porini kutafuta chakula kwa Ajili ya
familia au kutafuta dawa kwa ajili ya matibabu kwa familia yake.</span><br />
<span style="font-family: "open sans" , "arial" , "tahoma" , sans-serif;"><span style="outline-width: medium;"><a href="https://www.blogger.com/null" name="more" style="color: #4183bf; margin: 0px; outline-color: invert; outline-style: none; outline-width: medium; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"></a></span></span><span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding: 0px;"><br />Kikubwa hapa ni ulinzi na usalama. Na hili linawafanya wanawake wengi kuwapenda mabaunsa kwa sababu hih hii ya ulinzi na usalama</span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Mwanaume mwenye nazo anaonekana kupendwa lakini hapa swala si fedha yake, bali anaonwa kama ndiye anayeweza
kuilinda familia. Ukikuta wanawake wanavutiwa na wanaume wenye fedha,
usishangae, kwani bado wanaongozwa na haja yao kuu ya kuhakikishiwa usalama wao.</span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><o:p></o:p></span><br /></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Kwa kifupi ni kwamba kinachotafutwa na wanawake ni amani nausalama.</span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><br /></span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Siku hizi fedha imechukua nafasi
katika kujihakikishia usalama wetu. Kila kitu siku hizi ni pesa na ndio
maana wanawake kwa dhana ile ile ya kujihakikishia usalama wanavutiwa na wanaume
wenye nazo.</span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0cm 0cm 10pt; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Sio kwa sababu ya tamaa...... La hasha, ni kutaka kuwa na uhakika na
maisha yake na familia yake.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0cm 0cm 10pt; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Mwanamume akikosa sifa ya fedha ataangaliwa kwa ujasiri na uchakarikaji.Kwa haya mwanamke anajua kwamba kwa
kushirikiana naye mbeleni maisha yatakuwa mazuri na
salama.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0cm 0cm 10pt; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Ikitokea kwa mfano kaolewa na mwanaume mzigo au siku hizi huwaita <i>"Dead alive" </i>au mwanaume suruali,<i> j</i>ukumu la kutafuta hulishika mwenyewe kwa sababu
hamna jinsi na mara nyingi hufanikiwa kuzikamata kwa sababu anafanya hivyo kwa
nia na dhamira ya kujihakikishia usalama.</span><o:p></o:p></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Kama vile wanaume wanavyokosea kuoa kwa kutopiga hesabu zao vizuri
katika kuoa vivo hivyo wanawake nao hukosea kwa kudanganyika na zile sifa za
mwanaume za muda mfupi bila kuchunguza vizuri zaidi. </span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><br /></span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Wapo ambao wakigundua
kwamba mwanaume aliyeolewa naye ni mvivu na asiyejali familia anafungasha na
kuondoka, lakini wapo ambao wanatafuta suluhu na kuamua kushika hatamu za
kuendesha nyumba hawa ni wale wanaoogopa kufanya makosa kwa mara ya pili yaani
kuondoka na kuangukia kwa mwanaume mwingine mwenye sifa zisizopendeza. Hawa
wanakubali matokeo na kuamua kusimama kama wao, hawayumbishwi na huwakubali
wenzi wao kama walivyo.</span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><o:p></o:p></span><br /></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Wanawake
wa aina hii mara nyingi kufanikiwa sana tofauti na wale wanaojipweteka na kubaki
wakilalamika. Lakini naomba niseme kuwa wanawake kwa kiasi kikubwa ni mashujaa
hawawezi kukaa na kuangalia familia ikianguka kwa sababu mwanaume hawawajibiki.
Wengi sana tena kiasi cha kutosha husimama na kushika nyumba kwani wanajua
kwamba nyumba ikianguka mara nyingi lawama huwaendea
wao.<o:p></o:p></span></span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><br /></span></span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Pia mwanamke huvutiwa na mwanaume anayejali usalama wa wazazi na ndugu zake Mwanamke yuko tayari kumpenda mume mwingine nje ya ndoa kama huyu mume ataonesha upekee katika kuwa chukua wazazi wake.</span></span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"></span><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0cm 0cm 10pt; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span lang="EN-US" style="color: black; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Kwa
mfano wapo wanaume wengi hali zinapokuwa ngumu huzikimbia familia zao na
kuzitelekeza hata kwa miaka kadhaa, lakini wakirudi wanakuta familia ipo mbali
kimandeleo na watoto wana hali nzuri. Hao ndiyo huitwa wanawake wa
shoka. Lakini maendeleo hay0 huwa hayaji hivi hivi, yuko mwanamume aliyependwa badala ya aliyeikimbia familia.<o:p></o:p></span></span></div>
<br />
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><span lang="EN-US" style="color: black; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Kwa hiyo swala la uelewa,umaridadi, utanashati katika siyo sifa zinazotazamwa na
wanaume bali ni ulinzi na upendo, </span></span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><span lang="EN-US" style="color: black; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><br /></span></span></div>
<div style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', Arial, Tahoma, sans-serif; font-size: 14px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-family: "georgia" , "times new roman" , serif; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"><span lang="EN-US" style="color: black; line-height: 16.1px; margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;">Kwa wanaume vigezo ni utii, na matunzo mazuri. Vitu hivi kwao ni muhimu katika swala zima la kutafuta mwenza.<span style="margin: 0px; padding-bottom: 0px; padding-left: 0px; padding-right: 0px; padding-top: 0px;"> </span></span></span></div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-58871463938395276612017-04-19T20:44:00.000-07:002017-04-19T21:19:13.697-07:00UJUMBE MZITO WA PAPA FRANCIS<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipN05x_fb7iGJBMCu8JIr5nAWvXdRqaiPcdy8hBIJwDM34k7cFKNR3X0DcdJ2e6MlWq5c_IaIymCSoBhkKVpmZh_IxjxHEnEosMnPkjO7OafwBzZTeNBrJbbGCEBXdrHD001O7fPPJupo5/s1600/IMG-20170416-WA0000.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="200" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipN05x_fb7iGJBMCu8JIr5nAWvXdRqaiPcdy8hBIJwDM34k7cFKNR3X0DcdJ2e6MlWq5c_IaIymCSoBhkKVpmZh_IxjxHEnEosMnPkjO7OafwBzZTeNBrJbbGCEBXdrHD001O7fPPJupo5/s200/IMG-20170416-WA0000.jpg" width="200" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Heri ya Pasaka. </td></tr>
</tbody></table>
UJUMBE MZITO WA PAPA FRANCIS<br />
Hakuna familia isiyo na mapungufu. Hatuna wazazi wasio na mapungufu, sisi pia si wakamilifu, hatuoi au kuolewa na mtu asiye na mapungufu, kadhalika watoto wetu nao si wakamilifu. Tunayo manung'uniko au malalamiko kila mmoja dhidi ya mwenzake. Tumevunjana moyo na kukatishana tamaa. Kwa hiyo, hakuna ndoa iliyokamilika wala familia iliyoboreka bila kuwa na mazoea au utamaduni wa kusameheana.<br />
<br />
Msamaha ni nguzo au msingi wa utulivu wa akili na uhai wa roho zetu. Kama hakuna msamaha, familia inakuwa uwanja wa migogoro na mlipuko wa ugomvi. Panapokosekana msamaha, familia inaugua. Msamaha unahuisha moyo, kwa kusafisha fikra na kuufanya moyo kuwa huru. Binadamu asiyesamehe hana amani moyoni na wala hana urafiki au muunganiko na Mungu.<br />
<br />
Maumivu ni sumu inayodhuru na kuua. Hebu kiponye kidonda hicho cha moyo endapo kuna dalili za kujiumiza. Mtu asiyesamehe anajisababishia mwenyewe ugonjwa wa mwili, kiakili na kiroho. Ndiyo maana familia inapaswa kuwa sehemu ya uhai na si kifo; eneo la uponyaji na sio mahali pa magonjwa; jukwaa la msamaha na si la uovu. Msamaha huleta furaha pale uchungu ulipoleta maumivu; huleta uponyaji hata pale ambapo maumivu yalisababisha magonjwa.<br />
<br />
Ujumbe huu wa Baba Mtakatifu umfikie kila mmoja wetu leo katika familia yake. Leo basi tuutafakari ujumbe huo muhimu.<br />
<br />
Ewe Mwenyezi Mungu Tusamehe makosa yetu tunayoyajua na yale tusiyoyajua, Aamin.<br />
<br />
Muhimu:Kauli hii haimlengi mtu fulani , bali ni mafundisho kwa mimi mwenyewe na jamii yote kwa ujumla.</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-35745463899900083612017-04-11T23:36:00.000-07:002017-04-12T20:32:13.910-07:00 METHALI MIA SITA NA KUMI (610)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0jKDopjIRj3cOJbj_qGTT-1BHRumXk-rKMMtQydK_emrrJFtbHp72bR1xFh7o60E3_07QpK7llTvcntpvd8ZgVx1nD_f1oPe__7B_p90UAlBb2D0qm6Th-dylsDYN7Po_zFK3tlJkVEZV/s1600/14919788306741156590905.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="200" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0jKDopjIRj3cOJbj_qGTT-1BHRumXk-rKMMtQydK_emrrJFtbHp72bR1xFh7o60E3_07QpK7llTvcntpvd8ZgVx1nD_f1oPe__7B_p90UAlBb2D0qm6Th-dylsDYN7Po_zFK3tlJkVEZV/s200/14919788306741156590905.jpg" width="112" /></a></div>
METHALI MIA SITA NA KUMI (610)<br />
1. Aanguaye huanguliwa.<br />
2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu.<br />
3. Abebwaye hujikaza.<br />
4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti.<br />
5. Adui aangukapo, mnyanyue.<br />
6. Adui mpende.<br />
7. Adui wa mtu ni mtu.<br />
8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna.<br />
9. Ahadi ni deni.<br />
10. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.<br />
11. Akiba haiozi.<br />
12. Akili ni mali.<br />
13. Akili ni nywele kila mtu ana zake.<br />
14. Akili nyingi huondowa maarifa.<br />
15. Akutukanae hakuchagulii tusi.<br />
16. Akipenda chongo huita kengeza.<br />
17. Akufaae kwa dhiki, ndiye rafiki.<br />
18. Akufanyiaye ubaya, mlipe wema.<br />
19. Akupaye kisogo si mwenzio.<br />
20. Akutendaye mtende, mche asiyekutenda.<br />
21. Alisifuye jua, limeuangaza.<br />
22. Aliye juu msubiri chini.<br />
23. Aliye kando, haangukiwi na mti.<br />
24. Aliye kupa wewe kiti (kibao) ndiye aliye nipa mimi kumbi.<br />
25. Aliye kutwika, ndiye atakaye kutua.<br />
26. Akufukuzae hakwambii toka.<br />
27. Aliyekupa mkeka ndiye aliyenipa kumbesa.<br />
28. Amani haipatikani mpaka kwa ncha ya upanga.<br />
29. Ana hasira za mkizi.<br />
30. Anayekuja pasi na hodi, huondoka bila ya kuaga.<br />
31. Angurumapo simba, mcheza ni nani?<br />
32. Aninyimaye mbazi kanipunguzia mashuzi.<br />
33. Apewaye ndiye aongezwaye.<br />
34. Anaejipiga mwenyewe, halii.<br />
35. Asifuye mvuwa imemnyea.<br />
36. Asiye kubali kushindwa si mshindani.<br />
37. Asiye kujua, hakuthamini.<br />
38. Asiye kuwapo na lake halipo.<br />
39. Asiye lelewa na mamae hulelewa na ulimwengu.<br />
40. Asiye na mengi, ana machache.<br />
41. Asiye uliza, hanalo ajifunzalo.<br />
42. Asiyejua maana, haambiwi maana.<br />
43. Atangaye na jua hujuwa.<br />
44. Atangazaye mirimo, si mwana wa ruwari (Liwali).<br />
45. Atekaye maji mtoni hatukani mamba.<br />
46. Avumaye baharini papa kumbe wengi wapo.<br />
47. Baada ya dhiki faraja.<br />
48. Bahari hailindwi.<br />
49. Bamba na waume ni bamba, hakuna bamba la mume.<br />
50. Bandu bandu huisha gogo.<br />
51. Baniani mbaya, kiatu chake dawa.<br />
52. Bendera hufuata upepo.<br />
53. Biashara asubuhi.<br />
54. Bilisi wa mtu ni mtu.<br />
55. Bora kinga kuliko tiba.<br />
56. Bora lawama kuliko fedheha.<br />
57. Bora mchawi kuliko fitina.<br />
58. Biashara asubuhi.<br />
59. Bora nusu shari kuliko shari kamili.<br />
60. Bwawa limeingia ruba.<br />
61. Cha mtu mavi.<br />
62. Chaka la samba, halilali nguruwe.<br />
63. Chamlevi huliwa na mgema.<br />
64. Chanda chema huvikwa pete.<br />
65. Chelewa chelewa, utakuta mtoto si wako.<br />
66. Choko mchokoe pweza, binaadamu hutomuweza.<br />
67. Chombo cha kuzama hakina usukani.<br />
68. Chovya - chovya yamaliza buyu la asali.<br />
69. Chui hakumbatiwi.<br />
70. Chururu si ndo ndo ndo.<br />
71. Dalili ya mvua mawingu.<br />
72. Damu nzito kuliko maji.<br />
73. Daraja livuke ulifikapo.<br />
74. Dawa ya moto ni moto.<br />
75. Daraja ukilibomoa, ujue kuogelea.<br />
76. Dau la mnyonge haliendi joshi, likienda joshi ni matakwa ya Mungu.<br />
77. Dawa ya moto ni moto.<br />
78. Donda ndugu halina dawa.<br />
79. Dua ya kuku haimpati mwewe.<br />
80. Fadhila huna, hata hisani hukumbuki?<br />
81. Fadhila ya nyuki ni moto.<br />
82. Fadhila ya punda ni mateke (mashuz)<br />
83. Fahari ya macho haifilisi duka.<br />
84. Farasi hamuwawezi, tembo mtawalishani?<br />
85. Fata nyuki ule asali.<br />
86. Fimbo ya mbali haiui nyoka.<br />
87. Fumbo mfumbe mjinga, mwerevu huligangua.<br />
88. Funika kombe mwanakharamu apite.<br />
89. Ganda la mua la jana, chungu kaona kivuno.<br />
90. Gome la udi, si la mnuka uvundo.<br />
91. Haba na haba, hujaza kibaba.<br />
92. Haki ya mtu hailiki.<br />
93. Hakuna masika yaso mbu.<br />
94. Hakuna msiba usio na mwenziwe.<br />
95. Hakuna siri ya watu wawili.<br />
96. Hakuna ziada mbovu.<br />
97. Hala hala mti na macho.<br />
98. Hamadi ni ilio kibindoni, na silaha ni iliyo mkononi.<br />
99. Hapana marefu yasio na mwisho.<br />
100. Haraka haraka haina baraka.<br />
101. haraka haraka haina baraka.<br />
102. Haramu yako halali kwa mwenzio.<br />
103. Hasidi hasada.<br />
104. Hasidi mbaya.<br />
105. Hasira, hasara.<br />
106. Hatua ndefu hufupisha mwendo.<br />
107. Hauchi hauchi, unakucha.<br />
108. Hayawi hayawi, mara huwa.<br />
109. Heri kufa macho kuliko kufa moyo.<br />
110. Heri kujikwa kidole kuliko ulimi.<br />
111. Heri nitakula na nini?, kuliko nitakula nini?<br />
112. Heri ya marama kuliko kuzama.<br />
113. Hiari ya shinda utumwa.<br />
114. Hogo halihogoki mpaka kwa hogo jenziwe.<br />
115. Hucheka kovu asiye kuwa na jeraha.<br />
116. Ila ya kikwapa, kunuka pasipo kidonda.<br />
117. Yaliyoopita si ndwele, ganga yajayo.<br />
118. Iliyo jaa ndiyo ipunguzwayo.<br />
119. Imara ya jembe kaingojee shambani.<br />
120. Jambo usilolijua, usiku wa giza.<br />
121. Jina jema hungara gizani.<br />
122. Jini likujualo halikuli likakwisha.<br />
123. Jino la pembe si dawa ya pengo.<br />
124. Jitihada haiondoi kudura.<br />
125. Jitihadi haiondoi kudura.<br />
126. Jogoo la shamba haliwiki mjini.<br />
127. Jungu kuu, halikosi ukoko.<br />
128. Jununu fununu.<br />
129. Kafiri akufaaye, si muislamu asiye kufaa<br />
130. Kafiri akufaye si Isilamu asiyekufa.<br />
131. Kama hujui kufa,tazama kaburi.<br />
132. Kama wewe wasema cha nini, mwezio asema nitakipata lini.<br />
133. Kamba hukatika pabovu.<br />
134. Kanga hazai ugenini.<br />
135. Kawaida ni kama sheria.<br />
136. Kawia ufike.<br />
137. Kazi mbaya siyo mchezo mwema.<br />
138. Kelele za chura hazimzuwii ng'ombe kunywa maji.<br />
139. Kelele za mlango haziniwasi usingizi (Kelele za mlango hazimuudhi mwenye nyumba)<br />
140. Kenda karibu na kumi.<br />
141. Kesho kesho, kesho kiama.<br />
142. Kiburi si maungwana.<br />
143. Kibuzi na kibuzi hununua jahazi.<br />
144. Kichango kuchangizana.<br />
145. Kidole kimoja hakivunji chawa.<br />
146. Kikulacho ki nguoni mwako.<br />
147. Kikushindacho kukila usikitie ila.<br />
148. Kila chombo kwa wimblile.<br />
149. Kila mbwa hubwekea mlangoni kwao.<br />
150. Kila mlango na ufunguwo wake.<br />
151. Kila mtoto na koja lake.<br />
152. Kila mtu huzikwa na kaburi lake.<br />
153. Kila mtu na bahati yake.<br />
154. Kila mwamba ngoma ,ngozi huivuta kwake.<br />
155. Kila mtu hulilia mamae.<br />
156. Kila ndege huruka kwa ubawa wake.<br />
157. Kila shetani na mbuyu wake.<br />
158. Kilimia kikizama kwa jua, huzuka kwa mvua, na kikizama kwa mvua, huzuka kwa jua.<br />
159. Kilio huanza mfiwa ndipo wa mbali wakaingia.<br />
160. Kimya kingi kina mshindo mkubwa.<br />
161. Kinga na kinga ndipo moto uwakapo.<br />
162. Kingiacho mjini si haramu.<br />
163. Kinyozi hajinyoi.<br />
164. Kinywa ni jumba la maneno.<br />
165. Kipendacho moyo dawa.<br />
166. Kipofu hasahau mkongojo wake.<br />
167. Kipya kinyemi ingawa kidonda.<br />
168. Kisebusebu na kiroho papo.<br />
169. Kisokula mlimwengu, sera nale.<br />
170. Kisokula mlimwengu,sera nale.<br />
171. Kisu kimenifika mfupani.<br />
172. Kitanda usicho kilalia hukijui kunguni wake.<br />
173. Kitumbua kimeingia mchanga.<br />
174. Kivuli cha fimbo hakimfichi mtu jua.<br />
175. Kiwi cha yule ni chema cha; hata ulimwengu uwishe.<br />
176. Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.<br />
177. Konzi ya maji, haifumbatiki.<br />
178. Konzo ya maji haifumbatiki.<br />
179. Kosa moja haliachi mke.<br />
180. Kozi mwandada, kulala na njaa kupenda.<br />
181. Kuagiza kufyekeza.<br />
182. Kuambizana kuko kusikilizana hapana.<br />
183. Kucha M'ngu si kilemba cheupe.<br />
184. Kuchamba kwingi, kuondoka na mavi.<br />
185. Kufa kufaana.<br />
186. Kufa kwa jamaa, harusi.<br />
187. Kufa kwa mdomo,mate hutawanyika.<br />
188. Kufanaya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa.<br />
189. Kuishi kwingi, kuona mengi.<br />
190. Kujikwa si kuanguka,bali ni kwenda mbele.<br />
191. Kujikwaa si kuanguka, bali ni kwenda mbele.<br />
192. Kukopa harusi kulipa matanga.<br />
193. Kukopa harusi, kulipa matanga.<br />
194. Kuku havunji yai lake.<br />
195. Kuku mgeni hakosi kamba mguuni.<br />
196. Kula kutamu ,kulima mavune.<br />
197. Kulea mimba si kazi kazi kulea mwana.<br />
198. Kukopa harusi, kulipa matanga.<br />
199. Kumuashia taa kipofu ni kuharibu mafuta.<br />
200. Kunako matanga kume kufa mtu.<br />
201. Kunguru mwoga hukimbiza mbawa zake.<br />
202. Kupanda mchongoma, kushuka ndio ngoma.<br />
203. Kupata si werevu, na kukosa si ujinga.<br />
204. Kupoteya njia ndiyo kujua njia.<br />
205. Kurambaramba ndio kula, kunenepa kwake Mola.<br />
206. Kusikia si kuona.<br />
207. Kutangulia si kufika.<br />
208. Kutoa ni moyo usambe ni utajiri.<br />
209. Kutu kuu ni la mgeni.<br />
210. Kuugua sio kufa.<br />
211. Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.<br />
212. Kuzima koleo si mwisho wa uhunzi.<br />
213. Kwa mwoga huenda kicheko na kwa shujaa huenda kilio.<br />
214. Kweli ilio chungu, si uongo ulio mtamu.<br />
215. Kwenda mbio siyo kufika.<br />
216. Kwenye miti hakuna wajenzi.<br />
217. La kuvunda halina rubani.<br />
218. La kuvunda halina ubani.<br />
219. Lake mtu halimtapishi bali humchefua.<br />
220. Leo kwako, kesho kwa mwenzio.<br />
221. Leo ni leo asemayo kesho ni mwongo.<br />
222. Liandikwalo ndiyo liwalo.<br />
223. Lila na fila hazitangamani.<br />
224. Lipitalo, hupishwa .<br />
225. Lisemwalo lipo,ikiwa halipo laja.<br />
226. Lisilo na mkoma, hujikoma lilo.<br />
227. Lisilokuwapo moyoni, halipo machoni.<br />
228. Maafuu hapatilizwi.<br />
229. Macho hayana pazia.<br />
230. Mafahali wawili hawakai zizi moja.<br />
231. Maiti haulizwi sanda.<br />
232. Maji hayapandi mlima.<br />
233. Maji hufuata mkondo.<br />
234. Maji ukiyavuliya nguo huna budi kuyaoga.<br />
235. Maji usiyoyafika hujui wingi wake.<br />
236. Maji ya kifuu, bahari ya chungu.<br />
237. Maji yakijaa hupwa.<br />
238. Maji yakimwagika hayazoleki.<br />
239. Maji yamenifika shingoni.<br />
240. Majuto ni mjukuu.<br />
241. Mali ya bahili huliwa na wadudu.<br />
242. Mama ni mama, hata kama ni rikwama.<br />
243. Mama nipe radhi kuishi na watu kazi.<br />
244. Mambo kunga.<br />
245. Manahodha wengi chombo huenda mrama.<br />
246. Maneno makali hayavunji mfupa.<br />
247. Maneno mazuri humtowa nyoka pangoni.<br />
248. Maneno si mkuki.<br />
249. Mapenzi ni kikohozi, hayawezi kufichika.<br />
250. Masikini akipata matako hulia mbwata.<br />
251. Masikini haokoti,akiokota huambiwa kaiba.<br />
252. Masikini na mwanawe tajiri na mali yake.<br />
253. Maskini hana kinyongo.<br />
254. Mavi usioyala, wayawingiani kuku?<br />
255. Mavi ya kale hayanuki.<br />
256. Mbinu hufuata mwendo.<br />
257. Mbio za sakafuni huishia ukingoni.<br />
258. Mbiu ya mgambo ikilia kuna jambo.<br />
259. Mchagua jembe si mkulima.<br />
260. Mchagua nazi hupata koroma.<br />
261. Mchagua nazi si mfuaji.<br />
262. Mchakacho ujao,halulengwi na jiwe.<br />
263. Mchama ago hanyeli,huenda akauya papo.<br />
264. Mchamba kwingi mara ujitia dole.<br />
265. Mcheka kilema hafi bila kumpata.<br />
266. Mchele mmoja mapishi mengi.<br />
267. Mchelea mwana kulia hulia yeye..<br />
268. Mcheza hawi kiwete, ngoma yataka matao.<br />
269. Mcheza kwao hutuzwa.<br />
270. Mcheza na tope humrukia.<br />
271. Mchezea mavi, hayaachi kumnuka.<br />
272. Mchezea zuri, baya humfika.<br />
273. Mchimba kisima hungia mwenyewe.<br />
274. Mchonga mwiko hukimbiza mkono wake.<br />
275. Mchuma janga hula na wakwao.<br />
276. Mchumia juani,hulia kivulini.<br />
277. Mdharau biu, hubiuka yeye.<br />
278. Mdharau mwiba humchoma.<br />
279. Meno ya mbwa hayaumani.<br />
280. Mfa maji haachi kutapatapa.<br />
281. Mfa maji hukamata maji.<br />
282. Mficha uchi hazai.<br />
283. Mfinyazi hulia gaeni.<br />
284. Mfuata nyuki hakosi asali.<br />
285. Mfukuzwa kwao hana pakwenda.<br />
286. Mgaagaa na upwa hali ugari kande.<br />
287. Mganga hajigangi.<br />
288. Mgema akisifiwa tembo hulitia maji.<br />
289. Mgeni ni kuku mweupe.<br />
290. Mgeni njoo mwenyeji apone.<br />
291. Mgomba haushindwi na mkunguwe.<br />
292. Mgonjwa haulizwi uji.<br />
293. Miye nyumba ya udongo, sihimili vishindo.<br />
294. Mjinga akierevuka mwerevu yupo mashakani.<br />
295. Mjinga mpe kilemba utamuona mwendowe.<br />
296. Mjumbe hauawi.<br />
297. Mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi.<br />
298. Mkamatwa na ngozi ndiye mwizi.<br />
299. Mkamia maji hayanywi.<br />
300. Mkamia maji hayanywi.<br />
301. Mkataa la mkuu huvunjika guu.<br />
302. Mkataa wengi ni mchawi.<br />
303. Mkataa ya Musa hupata ya Firauna.<br />
304. Mke ni nguo, mgomba kupalilia.<br />
305. Mkono moja hauchinji ng'ombe.<br />
306. Mkono moja haulei mwana.<br />
307. Mkono mtupu haulambwi.<br />
308. Mkono usioweza kuukata,ubusu.<br />
309. Mkosa kitoweo humangiria.<br />
310. Mkuki kwa nguruwe, kwa mwanadamu uchungu.<br />
311. Mkulima ni mmoja walaji ni wengi.<br />
312. Mla cha mwenziwe na chake huliwa.<br />
313. Mla cha uchungu na tamu hakosi.<br />
314. Mla kuku wa mwenziwe miguu humwelekea.<br />
315. Mla mbuzi hulipa ngombe.<br />
316. Mla mla leo mla jana kala nini?<br />
317. Mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe.<br />
318. Mlala na maiti haachi kulia lia.<br />
319. Mlenga jiwe kundini hajui limpataye.<br />
320. Mlimbua nchi ni mwananchi.<br />
321. Mnyamaa kadumbu.<br />
322. Mnywa maji kwa mkono mmoja,Kiu yake i pale pale.<br />
323. Moja shika, si kumi nenda urudi.<br />
324. Moto hauzai moto.<br />
325. Mpanda farasi wawili hupasuka msamba.<br />
326. Mpanda ngazi hushuka.<br />
327. Mpanda ovyo hula ovyo.<br />
328. Mpemba akipata gogo hanyii chini.<br />
329. Mpemba hakimbii mvua ndogo.<br />
330. Mpende akupendae asiyekupenda achana naye.<br />
331. Mpiga ngumi ukuta huumiza mkonowe.<br />
332. Mpofuka ukongweni,hapotewi na njia.<br />
333. Msafiri kafiri.<br />
334. Msafiri masikini ajapokuwa sultani.<br />
335. Msasi haogopi mwiba.<br />
336. Msema kweli hukimbiwa na rafiki zake.<br />
337. Msema pweke hakosi.<br />
338. Mshika kisu, hashiki makalini.<br />
339. Mshale kwenda msituni haukupotea.<br />
340. Mshoni hachagui nguo.<br />
341. Msi bahati, habahatishi.<br />
342. Msi mbele, hana nyuma.<br />
343. Msishukuru mja, hamshukuru Molawe.<br />
344. Msitukane wagema na ulevi ungalipo.<br />
345. Msitukane wakunga na uzazi ungalipo.<br />
346. Mstahimilivu hula mbivu.<br />
347. Mtaka cha mvunguni sharti ainame.<br />
348. Mtaka lake hasindwi.<br />
349. Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba.<br />
350. Mtaka unda haneni.<br />
351. Mtaka uzuri hudhurika.<br />
352. Mtaka yote hukosa yote.<br />
353. Mtegemea nundu haachi kunona.<br />
354. mtegemea nundu, haachi konona.<br />
355. Mtego bila ya chambo, haunasi.<br />
356. Mtembezi hula miguu yake.<br />
357. Mteuzi heshi tamaa.<br />
358. Mti hauwendi ila kwa nyenzo.<br />
359. Mtondoo haufi maji.<br />
360. Mtoto akililia wembe mpe.<br />
361. Mtoto umleyavyo ndivyo akuavyo.<br />
362. Mtoto wa nyoka ni nyoka.<br />
363. Mtu hakatai mwito,hukata aitwalo.<br />
364. Mtu hujikuna ajipatapo.<br />
365. Mtu huulizwa amevaani ,haulizwi amekulani.<br />
366. Mtumai cha ndugu hufa masikini.<br />
367. Mtumi wa kunga haambiwi maana.<br />
368. Mtumikie kafiri upate mradi wako.<br />
369. Mtupa jongoo hutupa na mti wake.<br />
370. Muhitaji khanithi walau kana rijaali.<br />
371. Muiba yai leo kesho hua mwizi wa ng'ombe.<br />
372. Mume wa mama ni baba.<br />
373. Mungu hamfichi mnafiki.<br />
374. Mungu si asumani.<br />
375. Muonja asali haonji mara moja.<br />
376. Muuza sanda, mauti kwake harusi.<br />
377. Mvua nguo, huchutama.<br />
378. Mvumbika changa hula mbovu.<br />
379. Mvumbika pevu hula mbivu na mvumbika changa hula mbovu.<br />
380. Mvungu mkeka.<br />
381. Mvunja nchi ni mwananchi.<br />
382. Mvuvi ajuwa pweza alipo.<br />
383. Mwacha asili ni mtumwa.<br />
384. Mwamba na wako hukutuma umwambiye.<br />
385. Mwamini Mungu si mtovu.<br />
386. Mwana maji wa kwale kufa maji mazowea.<br />
387. Mwana mkuwa nawe ni mwenzio kama wewe.<br />
388. Mwana simba ni simba.The child of lion is a lion.<br />
389. Mwana wa kuku hafunzwi kuchakura.<br />
390. Mwana wa mtu ni kizushi, akizuka, zuka naye.<br />
391. Mwanga mpe mtoto kulea.<br />
392. Mwangaza mbili moja humponyoka.<br />
393. Mwanzo kokochi mwisho nazi.<br />
394. Mwanzo wa chanzo ni chane mbili.<br />
395. Mwanzo wa ngoma ni lele.<br />
396. Mwapiza la nje hupata la ndani.<br />
397. Mwekaji kisasi haambiwi mwerevu.<br />
398. Mwenda bure si mkaa bure,huenda akaokota.<br />
399. Mwenda mbio hujikwa kidole.<br />
400. Mwenda omo na tezi marejeo ni ngamani.<br />
401. Mwenda pole hajikwai.<br />
402. Mwenda wazimu hapewi panga.<br />
403. Mwenda wazimu hapoi, bali hupata nafuu.<br />
404. Mwenye haja hwenda chooni.<br />
405. Mwenye kelele hana neno.<br />
406. Mwenye kovu usidhani kapowa.<br />
407. Mwenye kubebwa hujikaza.<br />
408. Mwenye kuchinja hachelei kuchuna.<br />
409. Mwenye kuumwa na nyoka akiona jani hushtuka.<br />
410. Mwenye macho haambiwi tazama.<br />
411. Mwenye mdomo hapotei.<br />
412. Mwenye nguvu mpishe.<br />
413. Mwenye njaa hana miko.<br />
414. Mwenye pupa hadiriki kula tamu.<br />
415. Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.<br />
416. Mwenye shoka hakosi kuni.<br />
417. Mwenye tumbo ni tumbole, angafunga mkaja.<br />
418. Mwenzako akinyolewa wewe tia maji.<br />
419. Mwibaji na watwana, mlifi ni mwungwana.<br />
420. Mwili wa mwenzio ni kando ya mwilio.<br />
421. Mwizi hushikwa na mwizi mwenziwe.<br />
422. Mwomba chumvi huombea chunguche.<br />
423. Mwosha hadhuru maiti.<br />
424. Mwosha huoshwa.<br />
425. Mwosha husitiri maiti.<br />
426. Mzaha,mzaha, mara hutumbuka usaha.<br />
427. Mzazi haachi ujusi.<br />
428. Mzigo usiouweza unaubebea nini?<br />
429. Mzigo Wa mwenzio ni kanda Ia usufi.<br />
430. Mzika pembe ndiye mzua pembe.<br />
431. Mzowea kutwaa, kutoa ni vita.<br />
432. Mzowea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi.<br />
433. Mzungu Wa kula hafundishwi mwana.<br />
434. Nahodha wengi, chombo huenda mrama.<br />
435. Nani kama mama?<br />
436. Natuone ndipo twambe, kusikia Si kuona.<br />
437. Nazi haishindani na jiwe.<br />
438. Nazi mbovu harabu ya nzima.<br />
439. Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.<br />
440. Ndege mwigo hana mazowea.<br />
441. Ndevu sio shani, hata beberu anazo.<br />
442. Ndugu chungu, jirani mkungu.<br />
443. Ndugu mwui afadhali kuwa naye.<br />
444. Ndugu wakigombana, chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kikapu ukavune.<br />
445. Ngoja! ngoja? huumiza matumbo.<br />
446. Ngoma ivumayo haidumu.<br />
447. Ngoma ivumayo haikawii kupasuka.<br />
448. Ngoma ya kitoto, haikeshi.<br />
449. Ng'ombe avunjikapo guu hurejea zizini.<br />
450. Ng'ombe haelemewi na nunduye.<br />
451. Ngombe wa Maskini hazai.<br />
452. Ngozi ivute ili maji. ( Udongo upate uli maji )<br />
453. Nguo ya kuazima, Haistiri matako.<br />
454. Nia njema ni tabibu, nia mbaya huharibu.<br />
455. Nifae na mvua nikufae na jua.<br />
456. Nimekula asali udogoni, utamu ungali gegoni.<br />
457. Nimekupaka wanja, wewe wanipaka pilipili.<br />
458. Nimerejesha kikombe na kisahani chake.<br />
459. Njia ya muongo fupi.<br />
460. Njia ya mwongo ni fupi.<br />
461. Njia ya siku zote haina alama.<br />
462. Nta Si asali; nalikuwa nazo Si uchunga.<br />
463. Nyani haoni kundule, huliona la mwenziwe.<br />
464. Nyani haoni kundule.<br />
465. Nyimbo mbaya haibembelezewi mtoto.<br />
466. Nyimbo ya kufunzwa haikeshi ngoma.<br />
467. Nyongeza huenda kwenye chungu.<br />
468. Nyota njema huonekana asubuhi.<br />
469. Nyumba usiyolala ndani huijui ila yake.<br />
470. Nyumba ya udongo haihimili vishindo.<br />
471. Nzi kufa juu ya kidonda Si haramu. (Jihadi ya nzi, kufa kidondani)<br />
472. Ondoa dari uwezeke paa.<br />
473. Pabaya pako Si pema pa mwenzako.<br />
474. Padogo pako Si pakubwa pa mwenzako.<br />
475. Painamapo ndipo painukapo.<br />
476. Paka akiondoka, panya hutawala.<br />
477. Paka hakubali kulala chali.<br />
478. Paka hashibi kwa wali, matilabaye ni panya.<br />
479. Paka wa nyumba haingwa.<br />
480. Panapo wengi hapaharibiki neno.<br />
481. Papo kwa papo kamba hukata jiwe.<br />
482. Pele hupewa msi kucha.<br />
483. Pema usijapo pema; ukipema Si pema tena.<br />
484. Penye kuku wengi usimwage mtama.<br />
485. Penye mafundi, hapakosi wanafunzi.<br />
486. Penye mbaya wako, hapakosi mwema wako/na mwema wako hakosi.<br />
487. Penye miti hakuna wajenzi.<br />
488. Penye nia pana njia.<br />
489. Penye urembo ndipo penye urimbo.<br />
490. Penye wazee haliharibiki neno.<br />
491. Penye wengi pana mengi.<br />
492. Penye wengi pana Mungu.<br />
493. Pilipili usoila, wewe inakuwashia nini?<br />
494. Pole pole ndio mwendo.<br />
495. Pwagu hupata pwaguzi.<br />
496. Radhi ni bora kuliko mali .<br />
497. Radhi za wazee, ni fimbo.<br />
498. Sahani iliyofunikwa, kilichomo kimesitirika.<br />
499. Sahau ni dawa ya Waja.<br />
500. Samaki mmoja akioza, huoza wote.<br />
501. Samaki mpinde angali mbichi.<br />
502. Shida haina hodi.<br />
503. Shida huzaa maarifa.<br />
504. Shika! Shika! na mwenyewe uwe nyuma.<br />
505. Shimo Ia ulimi mkono haufutiki.<br />
506. Shoka lisilo mpini halichanji kuni.<br />
507. Si kila king'aacho ni dhahabu.<br />
508. Si kila mwenye makucha huwa simba.<br />
509. Si Mungu mtupu na mkono wa mtu.<br />
510. Sikio halilali na njaa.<br />
511. Sikio halipwani kichwa. (Sikio halipiti kichwa).<br />
512. Sikio Ia kufa halisikii dawa.<br />
513. Siri ya mtungi aijuaye ni kata.<br />
514. Sitaacha kula mkate kwa kuogopa kiungulia.<br />
515. Siku njema huonekana asubuhi.<br />
516. Siku utakayokwenda uchi, ndiyo siku utakayokutana na mkweo.<br />
517. Siku ya kufa nyani, miti yote huteleza.<br />
518. Siku za mwizi, arubaini.<br />
519. Simba mwenda kimya (pole) ndiye mla nyama.<br />
520. Simbiko haisimbuki ila kwa msukosuko.<br />
521. Sio shehe bali ni shehena.<br />
522. Siri ya maiti aijuaye muosha.<br />
523. Sitafuga ndwele na waganga tele.<br />
524. Sitapiki nyongo harudi haramba.<br />
525. Subira ni ufunguo Wa faraja.<br />
526. Sumu mpe paka, mbuzi utamdhulumu.<br />
527. Sumu ya neno ni neno.<br />
528. Tabia ni ngozi ya mwili.<br />
529. Tamaa mbele, mauti nyuma.<br />
530. Taratibu ndio mwendo.<br />
531. Tawi kavu kuanguka si ajabu.<br />
532. Teke Ia kuku halimuumizi mwanawe<br />
533. Tonga si tuwi<br />
534. Tunda jema halikawii mtini.<br />
535. Ucheshi wa mtoto ni anga Ia nyumba.<br />
536. Ujuzi hauzeeki.<br />
537. Uchungu wa mwana, aujue mzazi.<br />
538. Udongo uwahi ungali maji (Udongo upate uli maji)<br />
539. Udugu wa nazi hukutania chunguni (Udugu wa nazi hukutana pakachani)<br />
540. Uji hajauonja, tayari ushamuunguza<br />
541. Ukenda kwa wenye chongo, fumba lako jicho.<br />
542. Ukimpa shubiri huchukua pima.<br />
543. Ukimuiga tembo kunya, utapasuka Makalio.<br />
544. Ukimwamsha alolala utalala weye.<br />
545. Ukinyofoa mnofu, ukumbuke kuguguna mfupa.<br />
546. Ukiona kwako kunaungua kwa mwenzako kunateketea.<br />
547. Ukiona moshi, chini kuna moto.<br />
548. Ukiona neno, usiposema neno, hutapatikana na neno.<br />
549. Ukiona vinaelea, vimeundwa.<br />
550. Ukiona zinduna, na ambari iko nyuma.<br />
551. Ukistahi mke ndugu, huzai nae.<br />
552. Ukitaja nyoka, shika fimbo mkononi.<br />
553. Ukitaka kula nguruwe, chagua aliye nona.<br />
554. Ukitaka salama ya dunia, zuia ulimi wako.<br />
555. Ukiujua wa mbele, nina ujua wa nyuma.<br />
556. Ukupigao ndio ukufunzao.<br />
557. Ukuukuu wa kamba Si upya wa ukambaa.<br />
558. Ulimi hauna mfupa.<br />
559. Ulimi unauma kuliko meno.<br />
560. Ulipendalo hupati, hupata ujaaliwalo.<br />
561. Ulivyoligema, utalinywa.<br />
562. Umeadimika kama la jogoo.<br />
563. Umegeuka mung'unye waharibika ukubwani.<br />
564. Umejigeuza pweza, unajipalia makaa?<br />
565. Umekuwa bata akili kwa watoto?<br />
566. Umekuwa nguva, huhimili kishindo?<br />
567. Umeruka mkojo unakanyaga mavi.<br />
568. Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.<br />
569. Unajenga kwa mwenzio na kwako kunaporomoka!!<br />
570. Unakuja juu kama moto wa kifuu.<br />
571. Unamlaumu mwewe, kipanga yuwesha kuku.<br />
572. Ungalijua alacho nyuki, usingalionja asali.<br />
573. Ushikwapo shikamana (Ukibebwa usijiachie).<br />
574. Usiache kunanua kwa kutega.<br />
575. Usiache mbachao kwa msala upitao.<br />
576. Usiache tawi kabla ya kushika tawi.<br />
577. Usiandikie mate na wino ungalipo<br />
578. Usicheze na simba, ukamtia mkono kinywani.<br />
579. Usijifanye kuku mweupe.<br />
580. Usikaange mbuyu ukawaachia wenye meno<br />
581. Usile na kipofu ukamgusa rnkono.<br />
582. Usimgombe mkwezi, nazi imeliwa na mwezi.<br />
583. Usiniache njia panda.<br />
584. Usinikumbushe kilio matangani.<br />
585. Usinipake mafuta kwa nyuma ya chupa.<br />
586. Usinivishe kilemba cha ukoka.<br />
587. Usione simba kapigwa na mvua.<br />
588. Usipoziba ufa utajenga ukuta.<br />
589. Usisafirie nyota ya mwenzio.<br />
590. Usisahau ubaharia kwa sababu ya unahodha.<br />
591. Usishindane na Kari; Kari ni mja wa Mungu.<br />
592. Usitukane wagema na ulevi ungalipo.<br />
593. Usitukane wakunga na uzazi 'ungalipo.<br />
594. Utakosa mtoto na maji ya moto.<br />
595. Usiyavuke maji usiyoweza kuyaoga.<br />
596. Utaula na chua kwa uvivu wa kuchagua.<br />
597. Vita havina macho.<br />
598. Vita si lele mama.<br />
599. Vita vya panzi, neema ya kunguru<br />
600. Waarabu wa pemba, hujuana kwa vilemba<br />
601. Wache waseme.<br />
602. Wafadhilaka wapundaka.<br />
603. Wagombanao ndio wapatanao.<br />
604. Watu wanahisabu nazi, wewe unahisabu makoroma.<br />
605. Wapiganapo tembo wawili ziumiazo ni nyasi.<br />
606. Watetea ndizi, mgomba si wao.<br />
607. Wazuri haweshi.<br />
608. Wema hauozi..<br />
609. wengi wape.<br />
610. Zinguo la mtukufu, ni ufito.</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-3441113323248296522017-04-10T07:35:00.000-07:002017-04-10T13:48:11.191-07:00METHALI, NAHAU, NI VIPERA VYA SEMI<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdZKWDnqJqs0_UUeAIiEMmy3pEVO81cCQC87_ufjlqMJbmQdwglBbDVzg8BY4ZzCTat4w3LmocWDYaJw_Lej4usn-yLvRK9Yr20AV-LYMS6TSHKQ2UsNXQnqlObpuXmlu4y43zplJEtYCp/s1600/IMG_20170410_113236.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdZKWDnqJqs0_UUeAIiEMmy3pEVO81cCQC87_ufjlqMJbmQdwglBbDVzg8BY4ZzCTat4w3LmocWDYaJw_Lej4usn-yLvRK9Yr20AV-LYMS6TSHKQ2UsNXQnqlObpuXmlu4y43zplJEtYCp/s320/IMG_20170410_113236.jpg" width="180" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Kamusi ni hazina la lugha</td></tr>
</tbody></table>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_yfG7ulQ_qu9zcAK0tmLvf4wOAkEQ90iQ20L3NtRabOQeWqh87rCbsTKOvtFGQQGvnNwRDZFX6oUNKNSRPRgv788v0fKriSixse59NrPljrUV4brZPq88Pc1WmnR-nP-o5TGmBTxM1P6Z/s1600/flash+%25282%2529.gif" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_yfG7ulQ_qu9zcAK0tmLvf4wOAkEQ90iQ20L3NtRabOQeWqh87rCbsTKOvtFGQQGvnNwRDZFX6oUNKNSRPRgv788v0fKriSixse59NrPljrUV4brZPq88Pc1WmnR-nP-o5TGmBTxM1P6Z/s1600/flash+%25282%2529.gif" /></a><span style="text-align: left;">METHALI, NAHAU NI VIPERA VYA SEMI.</span></div>
(Fasihi Simulizi)<br />
Fasihi simulizi ina tanzu zake na Semi ni moja ya tanzu zake. Utanzu huu nao una VIPERA vyake ambayo ni methali, nahau, misemo, simo, vitanza ndimi, vichezea meno na mgafumbo ambayo hujumuisha vitendawili, chemsha bongo, malumbo na mizungu.<br />
<br />
Katika somo hili nitaelezea kwa kifupi maana na kutoa mifano ya Methali na Nahau na kuonesha ukaribu wa nahau, misemo na methali.<br />
<br />
Methali na nahau zote ni<br />
semi zitumiazo lugha fupi fupi na ya mkato.<br />
<br />
Methali<br />
Maana.<br />
Methali ni usemi wa kimapokeo, japo zipo methali zinazozaliwa kila wakati na nyingine kufa. ambao unaotumiwa kwa kufumbia jambo kwa maneno ya kawaida bali kwa njia ya mkato huku ukibainisha ukweli au kutolea ushauri kwa kulenga kwa usahihi kile kinachozungumziwa.<br />
<br />
Kwa ufupi methali ni kauli inayobeba busara au falsafa za jamii husika.<br />
<br />
Mifano ya methali za kimapokeo ni:<br />
i. Pema usijapo pema ukipema si pema tena.<br />
ii. Kozi mwana mandanda kulala njaa kupenda.<br />
iii. Mwenda omo na tezi marejeo ni ngamani.<br />
iv. Mwapiza la nje hupata la ndani.<br />
v. Macho hayana pazia.<br />
vi. Ukilima pakubwa ukivuna pamekwisha.<br />
<br />
Mifano ya methali zilizozaliwa hivi karibuni kwa uchache ni:<br />
i. Usiteme 'big G' yako kwa karanga za kuonjeshwa.<br />
ii.Ukilima shamba njiani ujue kulinda ndege.<br />
iii.Ukitaka kujua mwenendo wa mjinga mvishe kilemba.<br />
iv. Kiyoo cha gari hakifungwi katika tairi ya gari<br />
v. Ama kweli kama hujui unakokwenda huwezi kupotea.<br />
vi. Akimbiaye peke yake siku zote yeye ni mshindi.<br />
vii. Usiku rafikiye ni giza.l<br />
<br />
Misemo<br />
Maana<br />
Msemo ni fungu la maneno lenye maana mahsusi lenye kutoa fundisho ama kuelezea dhana fulani kwa j amii lisilo na kitenzi ndani yake.<br />
<br />
Wengi huchanganya misemo na nahau. Tofauti kubwa kati ya tungo hizi ni kitenzi. Nahau huwa na kitenzi lakini msemo hauna kitenzi ndani yake<br />
<br />
Ifuatayo ni mifano michache ya misemo ya Kiswahili na maana zake:<br />
i. Mkono wa birika=mchoyo<br />
ii. Sindano na uzi. =ushirikiano au umoja<br />
iii. Kiti moto=nyama ya nguruwe au misukosuko ya madaraka.<br />
iv. Hamadi kibindoni=akiba uliyo nayo mkononi.<br />
v. Mwana haramu= mtoto wa nje ya ndoa.<br />
vi. Kiwi cha macho= tamaa ya mapenzi.<br />
viii. Mkono mrefu = mwizi<br />
viii. Akali ya watu= watu wachache.<br />
ix. Umti wa watu = watu wengi.<br />
<br />
Katika mkutadha wa maongezi aghalabu misemo huongezewa kitenzi na kutenda kazi ya nahau lakini maana hubakia kuwa ile ile ya awali.<br />
<br />
Nahau<br />
Maana<br />
Usemi mfupi ulio na kitenzi unaotumia maneno ya kikawaida, lakini yakiwa na maana iliyojificha na iliyotofauti na maana ya maneno hayo.<br />
mfano:<br />
i). Kujikaza kisabuni = kutia bidii,<br />
ii).kuvaa miwani = kulewa,<br />
iii).Kuoga mwaka= kusherehekea kumaliza mwaka kwa salama.<br />
<br />
Zifuatazo ni nahau maarufu za lugha ya Kiswahili. Kila lugha ina nahau zake na kusudio kuu la matumizi ya nahau ni kuifanya lugha kuwa safi.Neno hili lina asili ya Kiarabu na maana yake ya asili ikiwa ni usafi wa lugha ikimaanisha matumizi sahihi ya lugha.<br />
<br />
1 Amekula chumvi nyingi=ameishi miaka.<br />
mingi<br />
2, Ana mkono wa birika= mtu mchoyo<br />
3.Ametutupa mkono= amefariki, amekufa<br />
4.Ameaga dunia=amekufa, amefariki<br />
5.Amevaa miwani=amelewa<br />
6.Amepiga kite=amependeza<br />
7.Amepara jiko=kaoa<br />
8.Amefumga pingu za maisha=ameolewa<br />
9.Anawalanda wazazi wake =<br />
kawafanana wazazi wake kwa sura<br />
10. Kawachukua wazazi wake=anafanana<br />
na wazazi wake kwa sura na tabia.<br />
11.Kawabeba wazazi wake = anawajali na<br />
kuwatunza wazazi wake.<br />
12. Chemsha bongo = fikiri kwa makini na<br />
haraka.<br />
13.Amekuwa toinyo=hana pua.<br />
14. Amekuwa popo =amekuwa kigeugeu<br />
15. Ahadi ni deni = timiza ahadi yako<br />
16.Amewachukua wazee wake =<br />
anawatunza vizuri wazazi<br />
17.Amekuwa mwalimu= yu msemaji sana<br />
18.Amemwaga unga = amefukuzwa kazi<br />
19..Ana ulimu wa upanga=ana maneno<br />
makali<br />
20.Ameongeza unga = mepanda cheo<br />
21.Agizia risasi = piga risasi<br />
22.Kuchungulia kaburi= kunusurika kifo<br />
23..Fyata mkia= nyamaza kimya<br />
24.Fimbo zimemwota mgongoni=ana<br />
alama za mapigo ya fmbo mgongoni<br />
25.Hamadi kibindoni= akiba iliyopo<br />
mkononi]<br />
26.Hawapikiki chungu<br />
kimoja=hawapatani kamwe<br />
27.Kupika majungu = kumteta mtu kwa<br />
siri<br />
28.Kumvika mtu kilemba cha ukoka =<br />
umsifu mtu kwa unafiki<br />
29Kula mlungula /kula rushwa = kupokea<br />
rushwa<br />
30.Kupelekwa miyomboni = kutiwa au<br />
kupelekwa jandoni<br />
31.Kujipalia mkaa = ujitia matatani<br />
32.Kumeza au kumezzea mate = utamani<br />
33.Kumuuma mtu sikio = kumnong'oneza<br />
mtu jambo la siri<br />
34.Kumpa nyama ya ulimi =<br />
kumdanganya mtu kwa maneno<br />
matamu<br />
35.Kumchimba mtu = kumpeleleza mtu<br />
siri yake<br />
36.Kutia chumvi katika mazungumzo =<br />
uongea habari za uwongo<br />
37.Vunjika moyo = kata tamaa<br />
38.Kata maini = kutia uchungu<br />
39. Kujikosoa = kujisahihisha <br />
40.Kutia utambi = kuchochea ugomvi<br />
41.Kumeza maneno = kutunza siri<br />
moyoni<br />
42.Kula njama kufanya mkutano wa siri.<br />
43.Kumkalia mtu kitako = kumsema<br />
au kumsengenya mtu<br />
44.Kupiga mtu vijembe = kumsema mtu<br />
kwa fumbo<br />
45.Kiinua mgong = malipo ya pongezi ya<br />
uzeeni bada ya kustaafu kazi<br />
46.Kazi ya majungu = kazi ya kumpatia<br />
mtu posho<br />
47.Kaza kamba au kaza roho =usikate tamaa<br />
48..Kumwonyesha mgongo = kujificha<br />
49.Kuona cha mtema kuni = kupata<br />
mateso au kuuliwa kwa kukatwa<br />
kichwa<br />
50.Maneno ya uwani = maneno yasiyo na<br />
maana au porojo<br />
51.Mate ya fisi = tamaa kupita kiasi<br />
52.Kata tamaa = vunjika moyo kutokuwa<br />
na hamu ya jambo fulani.<br />
53. Mbiu ya mgambo = tangazo<br />
54.Mungu amemnyooshea kidole = mungu amemuadhibu<br />
55.Mkubwa jalala = kila lawama hutupwa kwa mkubwa<br />
56.Mkaa jikoni= mvivu wa kutembea<br />
57.Mungu si Athumani= mungu hapendelei<br />
58.Paka mafuta kwa mgongo wa chupa = danganya<br />
59.Usiwe kabaila = usichume tokana na jasho la mwingine<br />
60.Usiwe kupe = fanya kazi<br />
61.Usiwe bwanyenye = usichume kwa vitega uchumi vyake.<br />
62. Usiwe na mirija = usinyonye wenzako<br />
63.Utawala msonga= utawala wa wachache<br />
64.Usiwe nyang'au = nchi moja kuifanyia nyingine ubaya na udhulumati.<br />
65.Usiwe kikaragosi = nchi kuwa kibaraka wa nchi kubwa.<br />
66.Usiwe chui katika ngozi ya kondoo=kujifanya rafiki kumbe ni adui<br />
67.Kutoa ya mwaka =kufanya jambo zuri na la pekee<br />
68.Kumpa mtu ukweli wake = kumwambia mtu wazi ubaya wake.<br />
69.Pua kukaribiana kushikana na uso =kukunja uso kwa hasira<br />
70.Kusema kutoka moyono=kunena kilicho kweli<br />
71.Sina hali= sijiwezi kiuchumi<br />
72.Kupiga uvuvi = kukaa tu bila kazi<br />
73.Kupiga kubwa = kwenda moja kwa moja, kusepa<br />
74.Kumwekea mtu deko = kulipiza kisasi<br />
Mtu mwenye ndimi mbili = kigeugeu<br />
75.Miamba ya mitishamba =wanga hodari wa kienyeji<br />
76.Kupiga supu = kutegea kazi wengine wafanye<br />
77.Kupiga mali shoka = kugawana mali au urithi<br />
78. Kula vumbi kuhangaika maisha, pata tabu kutafuta riziki<br />
79.Mafungulia ng'ombe =muda wa kati ya saa mbili na saa tatu asubuhi.<br />
80.Kutia kiraka =fichia siri<br />
81.Kumlainisha mtu= kumzungumzia mtu maneno matamu mpaka akubali matakwa yako.<br />
82. Kupiga pamba=kuvaa vizuri<br />
83.Kufulia = kuishiwa<br />
84.Umangimeza=uongozi wa kuamrisha watu, udikiteta au uongozi wa imla<br />
<br />
Na hizi ni kwa uchache tu, ziko nyingi za zamani na za sasa ambazo sijazielezea kama: kupiga kite, kuondoa kiwi cha macho, kupiga hema, kunawa mikono, nakadhalika.</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com161tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-1921240093720150632017-04-06T15:10:00.000-07:002017-04-06T15:20:59.998-07:00<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgq2e8zhQz25PYwhHI-hT2eZEAIHVs12saGmOgWVTtQqm4dW8v6VZjdMhzIEIiJ1_3PImnTufcrLgJ1MikSxVMS9sMtkNk0ohPTsM9houhTISJTPE4NOTir-DEsCcRg8OATKiL-8WXq91AE/s1600/diabetes.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="200" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgq2e8zhQz25PYwhHI-hT2eZEAIHVs12saGmOgWVTtQqm4dW8v6VZjdMhzIEIiJ1_3PImnTufcrLgJ1MikSxVMS9sMtkNk0ohPTsM9houhTISJTPE4NOTir-DEsCcRg8OATKiL-8WXq91AE/s1600/diabetes.jpg" width="200" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="font-size: 12.8px; text-align: center;">TIME ya Januari 12, 2004 </td></tr>
</tbody></table>
Ugonjwa wa sukari umekuwa tishio siku hizi. Ugonjwa huu haushambulii wazee, watoto au vijana tu bali makundi yote haya yamekuwa yakisumbuliwa na ugomjwa huu.<br />
<br />
<br />
Tishio hili haliko Tanzania peke yake bali liko ulimwenguni kote Hata hivyo viwango vya kuathirika huweza kutofautiana toka nchi moja na nyingine lakini haipo nchi iwezayo kudai iko salama na tishio la ugonjwa huu.<br />
<br />
Ugonjwa huu hauna tiba ila zipo dawa za kumfanya mgonjwa kuishi kwa matumaini na kupunguza athari zitokanazo na ugonjwa huu.<br />
<br />
Pamoja na dawa hizi wagonjwa wengi tunashindwa kufuata masharti ya kudhibiti kikamilifu athari zitokanazo na ugonjwa huu katika miili yetu.<br />
<br />
HII NI KUTOKANA NA KUTOJUA ATHARI za ugonjwa huu kwetu PILI KUTOJUA NJIA SAHIHI ZA KUDHIBITI ATHARI HIZI.<br />
<br />
Sasa hivi wagonjwa wa sukari tunadanganywa sana na watu kuhusu tiba na kupoteza maelfu ya pesa pasipo na mafanikio.Njia sahihi ni kutumia dawa za hospitali za kuzuia athari zitokanazo na ugonjwa huu toka kwa waganga wa mahospitali. Tiba mbadala sahihi haswa haswa ni vyakula na mazoezi kusaidia hizi hizi za mahospbinitalini katika kudhibiti athari zitokanazo na ugonjwa huu.<br />
<br />
Dawa za hospitalini ziko katika makundi makuu matano.<br />
1.Kwanza zipo za kuchochea kongosho kuzalisha isulin zaidi (Sulfonylureas).<br />
2. Pili ni (Meglitinides) hizi nazo kama kundi la kwanza huishajiisha kongosho kuzalisha insulin<br />
zaidi<br />
3.Kundi la tatu ni (Biguanides) Hizi hulikataza ini kutoa sukari (glucose) nyingi na husisimua misuli<br />
kutumia sukari zaidi kutoka katika damu.<br />
4.Kundi la nne linaitwa (Thiazolidinediones) Hizi ni dawa za hivi karibuni tu ambazo huiwezesha<br />
insulin kusukuma (gulucose) sukari na mafuta kuingia katika misuli kwenda kuzalisha nishati<br />
mwilini.<br />
5.Kundi la tano ni (Alpha -Glucosidase Inhibitors) hii hufannyia kazi kwenye utumbo mwembamba<br />
kuzuia mikate na vyakula vya wanga kubadilishwa kuwa sukari (glucose)<br />
<br />
Pili ni vema kujipima kiasi chako cha sukari katika damu ili kujua kupanda na kushuka kwa sukari katika mwili wako.<br />
<br />
Dalili ziashiriazo kuwa na ugonjwa huu za awali ni hizi:<br />
1.Kukojoa mara kwa mara hasa usiku.<br />
2.Kuona kwa mawengewenge, Macho kupoteza uoni wake wa kawaida.<br />
3.Kuwa na kiu kali isiyoisha.<br />
4.Kuwa na njaa kali kama ya mtoto.<br />
5.Kupoteza uzito kusiko kwa kawaida kwa kipindi kifupi.<br />
6.Kuwa na vidonda visivyopona haraka.<br />
7.Mwili kuchoka kwa hali isiyo ya kawaida.<br />
8.Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.<br />
9.Kiuno kuuma hasa ukitaka kusimama.<br />
10.Miguu na mikono kufa ganzi hasa nyakati za asubuhi.<br />
11.Kutopata usingizi mapema na ukilala hutaki kuamka na uamkapo unakuwa umechoka sana.<br />
12.Kupata choo kigumu na huwa hakipatikani kwa wakati wa kawaida.<br />
13.Uzito wa mwili kuongezeka sana na huku huli sana.<br />
<br />
Dalili za ugonjwa huu ni nyingi mno ila za msingi ni hizi hapo juu.Tukiwa wagonjwa wa sukari tunapaswa kushirikiana na kubadilishana uzoefu na njia za kudhibiti athari zake.Hili hakika ni muhimu kulipata kutoka kwa kila mmoja wetu.KUMBUKA UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHDIFU.<br />
<br />
Niligundua nina ugonjwa huu toka mwaka 1997 lakini sikuwa na dalili nilizoeleza hapo juu.Tatizo la awali kwangu lilikuwa kuongezeka uzito na kuvimba miguu.Hali hii iliniogopesha nikajihisi nina tatizo la moyo au figo hivyo nikawaona madakitari na ndipo nilipobainika kuwa nina ugonjwa wa kisukari.<br />
<br />
Nilianza kusoma maandiko mbalimbali ya ugonjwa huu na ndipo nilipo kutana na gazeti la TIME la Januari 12, 2004 gazeti hili lilieleza kwa kina juu ya ugonjwa huu. Waandishi wa makala haya ni Christine Gorman na Kate Noble..Makala yao yalikuwa na kichwa kilichosema " Why so many are gating Diabetes" Ikiwa na maana KWANINI KISUKARI KINAWAKUMBA WENGI. Lilikuwa ni swali lilotaka majibu.Humo walieleza kuwa kisuksri hakijapatiwa dawa kamili na haijulikani kwa hakika kwanini watu wanakiugua.<br />
<br />
Maelezo ya tafiti mbali mbali yalionesha nini chanzo yalitolewa na nini kifanyike kuzuia kupata ugonjwa huu yalitolewa pia.<br />
<br />
Mtindo wa maisha , mazingira na urithi vilielezwa kuwa ni sababu kubwa za mtu kupata ugonjwa huu.Kwa kawaida kisukari si ugonjwa wa kuambukiza.Ni ugonjwa ambao mwili unashindwa kutumia sukari kama inavyotakiwa.<br />
<br />
Kisukari ni ugonjwa ambao unaweza kutambulika kwa namna kuu nne.<br />
1. Kwanza ni kwa njia ya kuangalia kiwango cha sukari katika damu.Kiwango sahihi kisizidi<br />
m/moll 7 kabla ya kula chochote ndani ya saa 8 hadi 10, Kitaalamu upimaji huu huitwa FBG<br />
(Fasting Blood Suger).Kwa kawaida mwili ukiwa hauna tatizo katika kutumia sukari baada ya<br />
muda huo lazima sukari katika damu iwe katika kiwango sahihi.Sukari ikiwa zaidi ya kiwango<br />
hicho lazima mwili una shida katika kubadili sukari katika damu kuwa nishati.<br />
<br />
2. Kipimo cha pili cha kujua mtu ana sukari au hana ni (GTT) Glucose Tolerance Test. Kikawaida<br />
m/moll za mtu asiye na kisukari ni chini ya 7. Kipimo hiki ni baada ya kula na kutumia sukari,<br />
Kama baada ya kula na kutumia sukari kiwango cha sukari katika damu kitaonekana kuwa sukari<br />
katika damu ni kati ya 7 na 11 m/moll muhusika atakuwa si mwenye kisukari.<br />
<br />
3. Namna ya tatu ya kujua kuwa mtu ana sukari ni kwa njia ya kuona jinsi 'insulin' inavyogoma<br />
kufungua 'cell' ili ipokee sukari kutoka katika damu ikazalishe nishati. Insulin ni homoni<br />
izalishwayo na kongosho ifanyayo kazi kama ufunguo wa kufungua mlango.Yaweza ikawa nyingi<br />
na ya kutosha lakini ikagoma kufungua au ikawa kidogo ikawa haitoshi.Wenye uhaba wa insulini<br />
mara nyingi ni wale wa aina ya kwanza ya kisukari na wenye nyingi iliyogoma ni wale wa aina ya<br />
pili ya kisukari.Kipimo hiki ni kigumu kidogo katika kupima kisukari kwani sukari ya mgonjwa<br />
yaweza kuwa sawa lakini insulini haipo kabisa ama ipo lakini imegoma kufanya kazi.Kipimo hiki<br />
kinaitwa (IR) Insulin Resistance.<br />
<br />
4 .Namna ya nne ni kuisha kwa sukari mwilini. Hali hii inaitwa (hypoglysomia) Sukari mwilini ikiwa<br />
chini ya ' mill moll' nne (4) ni hatari hivyo inatakiwa kupandishwa haraka kwa kumpatia mgonjwa<br />
kitu cha sukari haraka ili kuipandisha.Wagonjwa wengi wa sukari hupoteza maisha sukari yao<br />
ikishuka sana zaidi ya hapo.<br />
<br />
Namna ya kudhibiti ongezeko la sukari ni KUACHA mazoea mabaya ya kunywa pombe kali na za kupitiliza, kula nyama choma kwa wingi, kula chips mayai, kunywa soda sana, kuvuta sigara, kula vyakula viyeyushwavyo haraka tumboni, kutofanya mazoezi na kutunza unene, Ndiyo, wapo wembamba na wana kisukari lakini hatari kubwa ya kupata kisukari iko kwa watu wanene zaidi.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<iframe width="320" height="266" class="YOUTUBE-iframe-video" data-thumbnail-src="https://i.ytimg.com/vi/M-ASdhQs4U8/0.jpg" src="https://www.youtube.com/embed/M-ASdhQs4U8?feature=player_embedded" frameborder="0" allowfullscreen></iframe></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<br />
Pata maelezo zaidi toka katika clip yangu hii fupi ya dakika saba tu na naomba maoni yako<br />
<br />
<br /></div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-86835119533773252452017-03-07T12:45:00.000-08:002017-03-07T12:45:03.072-08:00UKOO WA ALI (Shaghira ) MTHOO. MROKI NZANO <div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="_5x46" style="margin-bottom: 11px;">
<div class="clearfix _5va3" style="margin-bottom: -6px; zoom: 1;">
<div class="clearfix _42ef" style="overflow: hidden; zoom: 1;">
<div class="_5va4" style="padding-bottom: 6px;">
<div class="_6a _5u5j" style="display: inline-block; width: 428.667px;">
<div class="_6a _5u5j _6b" style="display: inline-block; vertical-align: middle; width: 428.667px;">
<h5 class="_5pbw _5vra" data-ft="{"tn":"C"}" id="js_z" style="font-size: 14px; line-height: 1.38; margin: 0px 0px 2px; padding: 0px 22px 0px 0px;">
<span class="fwn fcg" style="background-color: red;"><span style="color: blue;"><br /></span></span></h5>
<h5 class="_5pbw _5vra" data-ft="{"tn":"C"}" id="js_z" style="font-size: 14px; line-height: 1.38; margin: 0px 0px 2px; padding: 0px 22px 0px 0px;">
<span class="fwn fcg" style="background-color: red;"><span style="color: blue;"><br /></span></span></h5>
<h5 class="_5pbw _5vra" data-ft="{"tn":"C"}" id="js_z" style="font-size: 14px; line-height: 1.38; margin: 0px 0px 2px; padding: 0px 22px 0px 0px;">
<span class="fwn fcg" style="background-color: red;"><div class="_46-h" style="height: 238px; overflow: hidden; position: relative; width: 237px;">
<span style="color: blue;"><img alt="Image may contain: 1 person, outdoor" class="_46-i img" height="336" src="https://z-m-scontent.fjnb2-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-0/p240x240/17156191_1444633198912629_5558893445030017458_n.jpg?_nc_eui2=v1%3AAeHCWuOJbDpqjfF2OOZpCagZLTpTkQ2Ya6qODpgSwMRmf2Opw3fGZNXwrBre4CbMJK5ZzIKRbpTPtGW32IMN7LJeAQWhOpen9zCfHdX09y_5GLnAR0WC274hcTOVl7Svg-w&_nc_ad=z-m&oh=62549666a13229bd46ee2d34091b4fd5&oe=596D402E" style="border: 0px; left: -1px; position: absolute; top: -24px;" width="240" /></span></div>
</span></h5>
<h5 class="_5pbw _5vra" data-ft="{"tn":"C"}" id="js_z" style="font-size: 14px; line-height: 1.38; margin: 0px 0px 2px; padding: 0px 22px 0px 0px;">
<span style="background-color: red; color: blue;"><br /></span></h5>
<h5 class="_5pbw _5vra" data-ft="{"tn":"C"}" id="js_z" style="font-size: 14px; line-height: 1.38; margin: 0px 0px 2px; padding: 0px 22px 0px 0px;">
<span class="fwn fcg" style="background-color: red;"><span style="color: white;">BABU HASSANI SHAGHIRA MTHOO</span></span></h5>
<h5 class="_5pbw _5vra" data-ft="{"tn":"C"}" id="js_z" style="color: #1d2129; font-size: 14px; font-weight: normal; line-height: 1.38; margin: 0px 0px 2px; padding: 0px 22px 0px 0px;">
<span class="fwn fcg" style="color: #90949c;"><span class="fwb" style="font-weight: bold;"><a class="profileLink" data-ft="{"tn":"l"}" data-hovercard-prefer-more-content-show="1" data-hovercard="/ajax/hovercard/user.php?id=100000978874237" href="https://www.facebook.com/emsangi" style="color: #365899; cursor: pointer; text-decoration: none;">Eliamini Hassan ALI Salimu Ali Msangi</a>.<a href="https://www.facebook.com/emsangi" style="color: #365899; cursor: pointer; text-decoration: none;"></a></span> </span></h5>
<div class="_5pcp _5lel" style="color: #90949c; position: relative;">
<div class="_6a _43_1 _4f-9 _nws _21p0 _fol" id="u_o_7" style="display: inline-block; margin: -5px -5px -4px -4px; position: relative;">
<div class="_6a uiPopover" id="u_o_8" style="display: inline-block;">
<a aria-expanded="false" aria-haspopup="true" aria-label="Shared with Your friends" class="_42ft _4jy0 _55pi _5vto _55_p _2agf _p _1zg8 _3m8n _4jy3 _517h _51sy _59pe" data-hover="tooltip" data-testid="privacy_selector_1444627728913176" data-tooltip-alignh="right" data-tooltip-content="Your friends" href="https://www.facebook.com/emsangi/posts/1444627728913176#" id="u_o_9" rel="toggle" role="button" style="-webkit-font-smoothing: antialiased; background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: none; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; border-radius: 2px; border: 1px solid transparent; box-sizing: content-box; color: #4267b2; cursor: pointer; display: block; font-size: 12px; font-weight: bold; line-height: 22px; max-width: 26px; padding: 0px 3px; position: relative; text-align: center; text-decoration: none; text-shadow: none; transition: background-color 200ms cubic-bezier(0.08, 0.52, 0.52, 1), box-shadow 200ms cubic-bezier(0.08, 0.52, 0.52, 1), transform 200ms cubic-bezier(0.08, 0.52, 0.52, 1); vertical-align: middle; white-space: nowrap; word-wrap: normal;"><span class="_55pe" style="color: #999999; display: inline-block; max-width: 12px; overflow: hidden; text-overflow: ellipsis; vertical-align: top;"><i class="mrs img sp_KBDvVbLuGNE sx_5a17ad" style="background-image: url("/rsrc.php/v3/yA/r/rYOS-hDs5xd.png"); background-position: -62px -104px; background-repeat: no-repeat; background-size: auto; bottom: 1px; display: inline-block; height: 12px; margin-right: 5px; position: relative; vertical-align: middle; width: 12px;"></i></span><i class="_3-99 img sp_QmSIfSt1HmK sx_20afd0" style="background-image: url("/rsrc.php/v3/ya/r/ppShModX2Oo.png"); background-position: -122px -196px; background-repeat: no-repeat; background-size: auto; bottom: 1px; display: inline-block; height: 8px; margin-left: 4px; position: relative; vertical-align: middle; width: 9px;"></i></a></div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
<div class="_5pbx userContent" data-ft="{"tn":"K"}" id="js_11" style="font-size: 14px; line-height: 1.38;">
<div style="margin-bottom: 6px;">
Pata mtiririko wa ukoo wa Salimu Shaghira kutoka kwa BANGALALA kwa Ufupi.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Wasangi ni uzao wa Bangalala aliyetoka huko Kenya sehemu itwayo Usangi miaka mingi iliyopita.Bangalala alizaa watoto wawili Yambii na Mnyatta.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mnyatta yeye alirudi Kenya.Kwa hiyo habari zake hazijulikani kwa upana.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Yambii akamzaa Mang'a.Mang'a naye akamzaa Ndorokwa.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Ndorokwa akazaa mtoto akamwita jina la baba yake Mang'a. Huyu Mang'a Jr. akamzaa Mahu.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mahu akamzaa Akavyo..Akavyo akamzaa Kiyanga.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Kiyanga akamzaa Mfuta, Mfuta akazaa watoto wawili Nzano na Setonga.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Sasa hivi nafuatilia uzao wa Setonga.<br />Yeyote anayejua uzao tokea setonga hadi hapi alipo anipe mtiririko huo.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Wasangi kwa sasa tiko wengi ili uweze kutambulika kuwa wewe ni nani na ni wa baba au ni wa kutoka kwa babuci yupi tunapaswa tuandike majina matatu au zaidi.Jina moja lilkifuatwa na Msang kwa mfano Abdalla Msangi, Ramadhani Msangi, au Adam Msangi halitoshi kukutambulisha kikamilifu.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Sasa, baada ya hilo angalizo, tuendelee na uzao wa Nzano.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Kwa upande wa Nzano yeye alioa wanawake wengi. Kwa jinsi hii akazaa watoto wanne. Ijumbi akiwa ni mtoto wake wa kwanza akifuata Kisarika na Komeja.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mroki alikuwa mtoto wa nne wa Nzano, na wa mwisho kwa mke wa mwisho.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Ijumbi alizaa ukoo wa kina Senakanga ambao ni kina. Senguji na Bondera.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Komeja akawazaa Mlawa, Mramba, Idhina na Mchaimwa Huyu Mchaimwa alikuwa mwanamke uzao wake ni ukoo wa Saidi Mcholo.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Kisarika akawazaa Kisineni, Nguma,Ishiwa, Mghamba na Kinyonge Kinyonge ukoo wake ni wa kina Chakupewa.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Kisarika, Kisineni, Nguma, Mghamba koo zao ni za kufuatilia sina maeleza yake.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Tukija kwa Mroki mtoto wa Nzano wa mwisho kwa mke mdogo, huyu Mroki alimzaa mtoto mmoja akamwita Mthoo. Mthoo alizaliwa peke yake kama alivyozaliwa baba yake.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mthoo alizaa watoto watatu Shaghira,Vichike na Nguluma.Vichike alikwa ni mwanamke na alikuwa ndiye mtoto wa kwanza kuzaliwa, akifuatiwa na Shaghira na Nguluma akiwa ni mziwanda.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Shaghira alikuwa mwiisilamu na aliitwa(Ali). Shaghira alizaa watoto wanne Hassaniakiwa wa kwanza akifuatiwa na Salimu, Ibrahimu na Selemani akiwa ndiye wa mwisho kwao.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Salimu akawazaa Ali (Shaghira Jr), Hatibu na Nauche. Huyu ni Nauche ni wa kike na ni kitinda mimba wa babu Salimu aka Kigingi</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
(Mbishi yakwe Namwai)</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Chui aliyezaliwa na Namwai. Namwai ni mama yake.Babu Salimu.Babu Salimu alikuwa akijigamba kwa namna hiyo.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Mimi nimezaliwa na Ali (Shaghira Jr.) Salimu mtoto wa kwanza wa Salimu. Niliitwa Hassani jina la baba mkubwa wa babangu .hivyo mimi ni Hassan Jr</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Huyu Hassan ambaye nimeitwa jina lake anaitwa Mthoo jina la babu yake hivyo na mimi ninatwa Mthoo wa tatu. Jina lake jingine la utani (nick name) aliitwa TILISHO.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Na mimi nina watoto Watatu Ali, Riziwani na Hatibu.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Ali ni jina la baba wa babu zangu. Alikuwa kasilimu na alikuwa imamu.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
ALI mwanangu ni Ali wa tatu.<br />HUU NDIO MTI WA UKOO wa Salimu Ali (Shaghira)Mthoo.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
KOO NYINGINE HAPO KATIKATI NI ZA KUJAZIA.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
SIMULIZI hii nimesimuliwa na Babu Hassan ALi ambaye kwa jina la babu aliitwa Mthoo. Na mimi pia ni Mthoo wa tatu.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Eliamini : Msangi Nawashukuruni nyote mlio like post hii. Kwa kuwa tawi letu limeanzia kwa Nzano, nitaendeleza mtambao wa Wasangi wa tawi hili.Naomba ushirikiano wenu Wasangi wa kwa Nzano na Setonga.</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Like · Reply · 1 h<br />Malaho Omari :Hahahaha weee kaka umenifurahisha sana mimi ni malaho mtoto wa mzee OMARI (SABUNI) wewe tumeachana hapo kwa setonga setonga alimzaa marisa na shanjarika marisa akamzaa Malaho na huyu malaho akamzaa salimu malaho JUMA malaho (babake mshare) Omari malaho...See more</div>
<div style="margin-bottom: 6px; margin-top: 6px;">
Like · Reply · 1 hr<br />Eliamini Msangi :VYAKWA KIAMBO TUKO KARIBU SANA NAO, NAMI NITAFUATILIA.wasangi bwana wameenea sana.Omari mshare yule aliyekuwa akiishi Kwakoa.Mzee BONDERA baba yake na JUMANNE NA ERNEST BONDERA.</div>
<div style="display: inline; margin-top: 6px;">
Chini kushoto ni babu Hassan Ali kulia babu Salimu Ali</div>
</div>
<div class="_3x-2">
<div data-ft="{"tn":"H"}">
<div class="mtm" style="margin-top: 10px;">
<div class="_2a2q" style="height: 238px; overflow: hidden; position: relative; width: 476px;">
<a ajaxify="https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1444633198912629&set=pcb.1444627728913176&type=3&size=684%2C960&source=13&player_origin=unknown" class="_5dec _xcx" data-ft="{"tn":"E"}" data-render-location="permalink" href="https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1444633198912629&set=pcb.1444627728913176&type=3" id="u_o_4" rel="theater" style="background-color: white; color: #365899; cursor: pointer; display: block; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 12px; height: 238px; left: 0px; position: absolute; text-decoration: none; top: 0px; width: 237px;"><div class="_46-h" style="height: 238px; overflow: hidden; position: relative; width: 237px;">
<img alt="Image may contain: 1 person, outdoor" class="_46-i img" height="336" src="https://z-m-scontent.fjnb2-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-0/p240x240/17156191_1444633198912629_5558893445030017458_n.jpg?_nc_eui2=v1%3AAeHCWuOJbDpqjfF2OOZpCagZLTpTkQ2Ya6qODpgSwMRmf2Opw3fGZNXwrBre4CbMJK5ZzIKRbpTPtGW32IMN7LJeAQWhOpen9zCfHdX09y_5GLnAR0WC274hcTOVl7Svg-w&_nc_ad=z-m&oh=62549666a13229bd46ee2d34091b4fd5&oe=596D402E" style="border: 0px; left: -1px; position: absolute; top: -24px;" width="240" /></div>
</a><a ajaxify="https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1444633168912632&set=pcb.1444627728913176&type=3&size=865%2C960&source=13&player_origin=unknown" class="_5dec _xcx" data-ft="{"tn":"E"}" data-render-location="permalink" href="https://www.facebook.com/photo.php?fbid=1444633168912632&set=pcb.1444627728913176&type=3" id="u_o_5" rel="theater" style="background-color: white; color: #365899; cursor: pointer; display: block; font-family: Helvetica, Arial, sans-serif; font-size: 12px; height: 238px; left: 239px; position: absolute; text-decoration: none; top: 0px; width: 237px;"></a></div>
</div>
</div>
</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-13844072108673003042017-02-06T05:13:00.001-08:002017-02-06T05:24:15.527-08:00Matokeo ya kidato cha nne CSEE 2016<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
Matokeo kidato cha nne mwaka 2016<br />
<br />
http://necta.go.tz/matokeo/2016/ftna/index.h<br />
<br />
*MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATOKA*<br />
<br />
Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016.<br />
Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%.<br />
<br />
*MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATOKA*<br />
<br />
Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%. Soma<br />
<br />
Kujua Shulekidato kumi Bora na kumi za Mwisho bofya link ifuatayo<br />
<br />
<br />
https://goo.gl/NZWTeW<br />
<br />
<br /></div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-56922748306468638002017-01-20T04:56:00.001-08:002017-01-20T05:29:26.847-08:00Barua za kiofisi na ufunguo wa pikipiki wa Mwl Msangi vyapotea<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7oxf6zFFPqsT1LJ64TFzwaXDLfTPt8tGCAGbSe8NjzyWhMS5OSxGG_7WpNmoEGZJ04JXM8T0eQI6NxqQh1sQS1GRxLkXCi3_cquOOqQHx_PA-_pbzmf8WuThzLIUnRmNCUfin7spoFRZv/s1600/IMG_20170120_160924.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7oxf6zFFPqsT1LJ64TFzwaXDLfTPt8tGCAGbSe8NjzyWhMS5OSxGG_7WpNmoEGZJ04JXM8T0eQI6NxqQh1sQS1GRxLkXCi3_cquOOqQHx_PA-_pbzmf8WuThzLIUnRmNCUfin7spoFRZv/s320/IMG_20170120_160924.jpg" width="180" /></a>Nimepoteza funguo za pikipiki yangu na 'remorte' yake na barua (documents) za kikazi maeneo ya Mkuyuni jijini Mwanza.Yeyote aliyeviokota namwomba anirejeshee. Kunazawadi nzuri. Nipigie kwa Namba+255754366352huu.upotevu umetokea Jumatano ya tarehe. 18-01-2017<br />
<br />
Maeneo nilikopita hiyo juzi. Niliipaki pikipiki kwa fundi kwa marekebisho madogo Mkuyuni Nilichua ufunguo nikapakia daladala kwenda mijini kwani nilikuwa napeleka form zaHBngu za kustaafu ofisi za PSPF.Nilipotoka PSPF nilienda Jiji Mwanza kwa kupeleka nakala ya form za form za PSPF nikiwa ofisi za TSD jiji, ndipo nilipobaini upotevu wa funguo hizo. Nilifuatilia ofisi za PSPF bila mafanikio.Nikafuatilia nilikoacha pikipiki huenda sikuzichomoa nako sikufanikiwa.Nikaamua kubadili 'switch'.<br />
<br />
Nikiwa katika harakati za kubadili hiyo 'switch' nikapigiwa simu kuwa nilipotoa form za PSPF nilisahau juu ya dirisha 'Salary slips' ambazo jioni yake Ida Mangasa jirani yangu aliniletea.<br />
<br />
Kasheshe ni hizo nyaraka zangu za kikazi na ufunguo wa 'tank' la mafuta na 'lock' ya pikipiki.<br />
<br />
Hizo barua nilikuwa nazo nilipokuwa<br />
nabadili 'switch' hapo Mkuyuni.<br />
<br />
Tumaini langu ni kwa wewe mkazi wa Mwanza utakayeusoma ujumbe huu na ukawa umebahatika kuona au kusiki aliyeokota barua hizo au kuona funguo hizo nisaidie kwa kunirejeshea vitu hivyo kwa kutumia namba ya simu nilotoa hapa ya +255754366352 au ya +255714366352.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7oxf6zFFPqsT1LJ64TFzwaXDLfTPt8tGCAGbSe8NjzyWhMS5OSxGG_7WpNmoEGZJ04JXM8T0eQI6NxqQh1sQS1GRxLkXCi3_cquOOqQHx_PA-_pbzmf8WuThzLIUnRmNCUfin7spoFRZv/s1600/IMG_20170120_160924.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7oxf6zFFPqsT1LJ64TFzwaXDLfTPt8tGCAGbSe8NjzyWhMS5OSxGG_7WpNmoEGZJ04JXM8T0eQI6NxqQh1sQS1GRxLkXCi3_cquOOqQHx_PA-_pbzmf8WuThzLIUnRmNCUfin7spoFRZv/s320/IMG_20170120_160924.jpg" width="180" /></a></div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-45359795873486117872015-07-28T08:24:00.000-07:002015-07-28T08:24:04.728-07:00Siasa za Mwaga Mboga na Mimi Nitupe Ugali Zaanza Bongo<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<span style="font-size: x-large;">Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Ngoyayi Lowasa ajiunga na UKAWA rasmi mchana huu wa tarehe 28 Julai 2015.</span><br />
<div class="clean-gray" style="font-family: 'Myriad Pro', 'Droid Sans', sans-serif; font-size: 13px;">
<div style="float: left;">
<h1 style="font-size: 28px; font-weight: normal; line-height: 28px; margin: 0px;">
<span style="color: blue;">MHE.EDWARD LOWASSA AKARIBISHWA RASMI KUJIUNGA NA UKAWA., MGOMBEA URAIS KUTANGAZWA AGOSTI 4</span></h1>
</div>
</div>
<div class="yaleo" style="clear: both; color: #444444; font-family: 'Myriad Pro', 'Droid Sans', sans-serif; font-size: 13px; margin-top: 20px; max-width: 640px;">
<div style="float: left; font-size: 14px; margin-top: 10px; padding-right: 32px; width: 544px;">
<img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBNYqRk439bP9MdHtXgBK4xwXdixzXDBAkJ0o5QygHgKnuX9sHWa3yVGqnA8iQ4sWKKVwN3d35JRc23idLAU1JFQUYj4IydzKj9tsWNKmVaUzwxwCtu1Dbnz1ecUx-QAd8n2IXCdrqzp6w/s72-c/_MG_0899.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" /><div class="picha">
<img border="0" height="314" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBNYqRk439bP9MdHtXgBK4xwXdixzXDBAkJ0o5QygHgKnuX9sHWa3yVGqnA8iQ4sWKKVwN3d35JRc23idLAU1JFQUYj4IydzKj9tsWNKmVaUzwxwCtu1Dbnz1ecUx-QAd8n2IXCdrqzp6w/s640/_MG_0899.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" width="640" /> Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi Mhe.James Mbatia (pichani kati) akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari mapema leo mchana kwenye makao makuu ya chama cha CUF jijini Dar,akiwa sambamba na baadhi ya viongozi wengine wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),pichani kushoto ni Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA,Mhe,Freeman Mbowe,Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha CUF-Prof.Ibrahim Lipumba na wa pili kulia ni Mwenyekitiwa chama cha NLD Dkt.Emmanuel Makaidi.Katika mkutano huo ulizungumzia pia kumkaribisha rasmi Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe.Edward Lowassa na Watanzania Wengine wanaotaka kuleta mabadiliko kuungana kupitia UKAWA ili kuiondoa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-MICHUZI MEDIA GROUP.<img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTtlW8mGEDlNWPKw0MMmLDaBbfhyCx_NUK1kWhoZR9-4KIjMjhOtaE6bFn2_8HGtLx7VlOF3gMuRUja5UdGT8hFjQAfXCRWQ5aawPqzh5oBQgeX1VI0PdlR7wMG0Pe9tkgP0gsx3dM2Cjl/s640/_MG_0889.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" width="640" /> Baadhi ya Wanahabari wakiwa kwenye mkutano wa viongozi wa Umoja wa UKAWA,uliofanyika mapema leo jijini Dar<img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqJekrty54Zr5shrON0-ePNrdKw8YlIGig53ZSYpfpsUHzB21PPUfhEdP2HYd6G1Gm5C9ySjn9O6iJJnjOXTzq7eRBaHWte94F7UWLp9EEiFhG5H_PT3LJjcBWVDt3CDxP1iza_L10mS-e/s640/_MG_0909.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" width="640" /> Mmoja wa Wahariri wa gazeti la Jamhuri,Deodatusi Balile akitaka ufafanusi kuhusiana na umoja huo wa UKAWA kumkaribisha rasmi Mhe.Lowassa kujiunga na UKAWA,kwenye mkutano wa Wanahabari uliofanyika katika makao makuu ya chama cha CUF jijini Dar<img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiHPz-teXyVhYqu3R2TLLBZPM5gYloDHeKEczlZ7rtyXCiE4B3_Ir8fQsoAGHig0U-tzruXFFm7wKPpqNq5dHcwIF4XuRp1k3LpOfXquPD43uhwf040lnqHbJ40e9IYksNoVAOwo2hfNmer/s640/_MG_0911.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" width="640" /> Mmoja wa waandishi mahiri kutoka gazeti la Raia Tanzania,Hafidhi Kidogo aikuliza swali kwa viongozi hao wa UKAWA,kwenye mkutano wa Wanahabari na umoja huo,uliofanyika katika makao makuu ya chama cha CUF jijini Dar.<img border="0" height="344" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiuq4dZIigLkw-svkQ22rdW_TApUqn_Wz0CPP-dvjR5Rp47vgnLAVwLhBAVvMciHTTGNMWtLBgmUXphpvKlnwwjoZ9s_2PhVxiPGM4-Xjxd2XScTGMOt2ZFizYxZYqAG-ffiWOLkep8G8Qf/s640/_MG_0928.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" width="640" /> Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha CUF-Prof.Ibrahim Lipumba akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari mapema leo mchana kwenye makao makuu ya chama hicho jijini Dar,akiwa sambamba na baadhi ya viongozi wengine wa wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),ambapo mkutano huo ulizungumzia pia kumkaribisha rasmi Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe.Edward Lowassa na Watanzania Wengine wanaotaka kuleta mabadiliko kuungana kupitia UKAWA ili kuiondoa CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu,kulia ni Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi Mhe.James Mbatia na kushoto ni Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA,Mhe,Freeman Mbowe pamoja na Mwenyekitiwa chama cha NLD Dkt.Emmanuel Makaidi (hayupo pichani)<img border="0" height="500" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4tD5x7HvfXKa66EVKZGma5VFu54DXQ52dH_2ZahYJuHEvSc9XCKXddYL9n_i8aorOLr2I-k-xO9awQ1N0ES9pzr-INqHwamOagcxAkZoxW0l8IZRLZlnPBh8Z-VZvh9qAXN2QuUhSPEtZ/s640/_MG_0985.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" width="640" /> Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi Mhe.James Mbatia akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari mapema leo mchana kwenye makao makuu ya chama cha CUF,jijini Dar.Mh Mbatia amesema kuwa mtu yoyote ana haki ya kujiunga na UKAWA."Umoja ni Nguvu na utengano ni udhaifu,kila chama kilichosajiliwa ni mpinzani kwa mwenzake,watanzania wanahitaji kutengenezewa katiba ambayo itaweka mfumo safi,hivyo mwanzoni mwa mwezi wa nane (wiki ijayo) tutamtangaza mgombea wetu kwa mbwembwe,mpaka sasa tumeishapiga hatua ambayo ni nzuri",amesema Mhe.Mbatia katika mkutano huo na Wanahabari.<img border="0" height="350" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgmOoOeshLg5Q8Se97bdrFcErcpzX07bJDxiQ5wqSFu_Hy14xxyeXJYHZ056KFHWDSykrrddltmQ7ZhyUQXgdBKu5g4Xp3oa9VAyjbTRcYFMBh5Te1LPG-iTnO6L7xvFJFVMAc4ztH4VmSm/s640/_MG_0999.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" width="640" /> Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi Mhe.James Mbatia akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari mapema leo mchana makao makuu ya chama cha CUF,jijini Dar.Mh Mbatia amesema kuwa mtu yoyote ana haki ya kujiunga na UKAWA."Umoja ni Nguvu na utengano ni udhaifu,kila chama kilichosajiliwa ni mpinzani kwa mwenzake,watanzania wanahitaji kutengenezewa katiba ambayo itaweka mfumo safi,hivyo mwanzoni mwa mwezi wa nane (wiki ijayo) tutamtangaza mgombea wetu kwa mbwembwe,mpaka sasa tumeishapiga hatua ambayo ni nzuri",amesema Mhe.Mbatia katika mkutano huo na Wanahabari.<img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxc-AKKei93ZBLUJciinA2YePlpyc-dNbHxJAgee7bjL2ajKknR8108z8RvYdUKWtW2WZeQ8J2rz1cgQsRwndLEchpaQZZwgceVFv93WxKCFSLPWnq883mcLkMSdG8Fe5vRhLqSO45AKc3/s640/_MG_1006.jpg" style="border: none; float: left; max-width: 640px; padding: 5px;" width="640" /> Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha CUF-Prof.Ibrahim Lipumba akipeana mkono na Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA,Mhe,Freeman Mbowe mara baada ya kuzungumza na Waaandishi wa Habari makao makuu ya chama cha CUF,mapema leo mchana jijini Dar,ambapo kwa pamoja kama UKAWA wamemkaribisha rasmi Mhe.Lowassa kujiunga na umoja huo na kwamba watampa nafasi.<br />Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.UMOJA wa katiba ya Wananchi nchini (UKAWA) vinamkaribisha Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa kujiunga katika na umoja huo pamoja na watanzania wengine katika mapambano ya kuindoa CCM madarakani.</div>
<br />
<br />Akizungumza na waandishi wa habari leo katika Makao Makuu ya Chama cha Wananchi (CUF), kwa niaba ya Mwenyekiti wa Umoja huo,Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia amesema wanawalika watanzania wote kujiunga na UKAWA katika kuweza kuleta mabadiliko katika kuhakikisha wanakiondoa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuweza kusimamia nchi.<br />Mbatia amesema kuwa wanamualika Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa kutokana na kuwa mchapakazi na mfuatilialiaji katika majukumu ambayo anayatoa na uwezo anao katika kusimamia.Amesema akiingia Lowassa katika umoja huo watashirikiana kwa karibu kutokana na kutambua kuwa ni mhamasishaji na ni mtu mwenye kuthubutu.<br />Aidha amesema kuwa watamsimamisha mgombea mmoja katika kila nafasi kupeperusha bendera ya UKAWA katika uchuguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.<br />
<br />Nae Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahimu Lipumba amesema tuhuma za ufisadi zinazomkabili Lowassa zinatokana na mfumo uliopo. Amesema wanatarajia kutaja jina la mgombea Urais Agosti Nne Mwaka huu na atapatikana kutokana na taraibu zilizowekwa na umoja huo.<br />Mbatia hakuweza kuweka wazi kuwa wanamkaribisha Lowassa kujiunga na chama kipi kutokana na ukawa sio chama kilichosajiliwa na msajili wa vyama vya siasa nchini.<br />
<br />Mwenyekiti wa NLD,Dk.Emmanuel Makaidi amesema Lowassa akigombea Urais atamkubali na tuhuma zinazomkabili kiongozi zingekuwa za kweli angepelekwa mahakamani lakini bado yupo na wenye tuhuma wamefikishwa mahakamani .<br />
<br />Katika mkutano wa UKAWA masuali yalilenga kwa Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa kujiunga huko na tuhuma zake wakati vyama hivyo vilikuwa vikinadi juu ya kutokuwa na usafi na pamoja na uhusikaji katika tuhuma ya mchakato wa umeme wa dharula kupitia kampuni ya Richmond.</div>
</div>
<br /></div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-16349016178087081192015-06-02T14:14:00.001-07:002015-06-02T14:19:54.438-07:00Mwigulu Lameck Nchemba Atangaza Nia Dodoma Leo.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhDfn5IaVzXf6vqun38fmct7UKYm2eh-S2V6XX_Cq6lG7qCRdDECwypPIoKBkl7MGw837MwU11xNJ4_NuSMU-rNsAtcIiQEbdRDnc320B45UCblISMoeVyX7Y8wjFaci49AQZeiO7mi9Lb_/s1600/mwiglu1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhDfn5IaVzXf6vqun38fmct7UKYm2eh-S2V6XX_Cq6lG7qCRdDECwypPIoKBkl7MGw837MwU11xNJ4_NuSMU-rNsAtcIiQEbdRDnc320B45UCblISMoeVyX7Y8wjFaci49AQZeiO7mi9Lb_/s640/mwiglu1.jpg" width="640" /></a><br />
<div style="text-align: center;">
<i style="background-color: white;"><span style="color: blue;">Naibu Waziri wa fedha na Mbunge wa Iramba Mwigulu </span></i></div>
<div style="text-align: center;">
<i style="background-color: white;"><span style="color: blue;">Lameck Nchemba ndani ya ukumbi wa Nyerere,</span></i></div>
<div style="text-align: center;">
<i style="background-color: white;"><span style="color: blue;">chuo cha Mipango mkoani Dodoma</span></i></div>
<br />
Leo Jumapili ya tarehe 31/05/2015 Naibu Waziri wa fedha na Mbunge wa Iramba Mwigulu Lameck Nchemba ndani ya ukumbi wa Nyerere,chuo cha Mipango mkoani Dodoma aweka nia yake ya kutaka kuwa Raisi Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya CCM.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
Kauli mbiu ya Mwigulu ni ‘Mabadiliko ni Vitendo Wakati ni Sasa.’<br />
Katika hotuba yake Mwigulu alianza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, wazee, ndugu zake, wananchi wake wa Iramba na wananchi wote waliohudhuria hafla hiyo ya kutangaza nia.<br />
<br />
Mwigulu pia amempongeza Rais Kikwete kwa kumuamini na kumteua katika nyadhifa mbalimbali.<br />
Amesema ameamua kutangaza nia akiwa mkoani Dodoma ili kuondoa dhana ya ‘ukwetukwetu’ iliyozoeleka miongoni mwa viongozi wengi.<br />
<br />
<br />
Akaongeza kuwa Dodoma ni makao makuu ya taifa na chama chake ndiyo maana amefanya hivyo.Na akichaguliwa serikali yake itahamia Dodoma.<br />
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi5hC1ZjCleuRSKNJQSLTTghKXxJzYt9CyKg2F1IXVKZjbAVSp1exSFZZz5EqxQobnnqQXS-mIkjuZ8o5Kqf0lMZc4eu9GnSILUs62J36dtWnoaAh7Vy0m9nF7l7-O7z9rMxMukgeLgdM3k/s1600/Mwigulu+2.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><br /></a>Aidha Mwigulu ameeleza mambo matatu yaliyomsukuma kutangaza nia kuwa ni pamoja na:<br />
-Kutaka Mabadiliko<br />
-Kujua mbinu za mabadiliko.<br />
-Utayari wa kufanya mabadiliko.<br />
<br />
Kiongozi huyo ameeleza jinsi anavyozijua fika shida za Watanzania na umasikini walionao kwani hajausoma kwenye vitabu bali ameuishi.<br />
Mwigulu ameeleza pia alivyobeba zege baada ya kumaliza chuo kikuu na mke wake akiwa mama ntilie akiwapikia yeye na vibarua wengine wa ujenzi.<br />
Mwigulu awa ni wa tatu ndani ya wana CCM walio jitokeza hadi sasa kutangaza nia.<br />
<br />
Leo hii hii nyakati za saa tano asubuhi hapa jijini Mwanza Mheshiwa Wassira alitangaza nia ya kuwa mmoja wa wanaotarajiwa kuteuliwa na CCM kugombea Uraisi hapo Octoba ndani ya kumbi maarufu hapa jijini Mwanza.Kauli mbiu yake ikiwa ni Uadilifu mbele na kusisitizia siasa za uchumi huria ndani ya falsafa ya Ujamaa kupitia ushirika.<br />
<br />
Mwigulu yeye katoka na kauli mbiu ya 'Mabadiliko ni vitendo wakati ni huu.' kama nilivyotangulia kuieleza.<br />
<br />
Jana kule Arusha ndani ya viwanja vya Shekh Amri Abeid Mheshimiwa Lowassa alikuja na kauli mbiu ya ; "Elmu kwanza." <br />
Mwigulu toka utotoni mwake wazazi wake wanadhihirisha kuwa ameonesha kuwa na kipaji cha uongozi.Hili limeonekana hadi akiwa shuleni,chuo kikuu mpaka sasa.<br />
<br />
Mwigulu anawaomba watanzania na wana CCM kumkubali na akaahidi kuwavusha kufikia uchumi wa kipato cha kati.<br />
<br />
Amesema tatizo kuu la nchi ni rushwa, ubadhirifu na kufanya kazi kwa mazoea. Amewahakikishia watanzaniai kwamba hivyo ndivyo vipau mbele vyake wakimpa ridhaa ya kuliongoza taifa hili.Kwani anayajua matatizo ya watanzania, amejiandaa na nia anayo.<br />
<br />
Aidha aliongezea kwa kusema kuwa yeye amebeba ajenda ya wananchi.na alichokieleza kinatokana na ufahamu wake kwa watanzania na wana CCM. na yuko tayari kuwatumikia kwa moyo wake wote na nguvu zake zote.Akisisitiza kuwa umasikini wa watanzania hakuusoma vitabuni bali ameuishi.<br />
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-5T-yLF7Z9MgTHTOGRsUjNUk40wLnLTDoWfVrGfUHLnqWa0XJWOaI99NNwbVloddwbD_ola1pjSGwWKzwLvqK-6jQJWONPRprULB6djzv45KO4IPs3gbJRzDWshHyFRKGI4FxGJs98VEy/s1600/mwigulu3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="212" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-5T-yLF7Z9MgTHTOGRsUjNUk40wLnLTDoWfVrGfUHLnqWa0XJWOaI99NNwbVloddwbD_ola1pjSGwWKzwLvqK-6jQJWONPRprULB6djzv45KO4IPs3gbJRzDWshHyFRKGI4FxGJs98VEy/s320/mwigulu3.jpg" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Mwigulu na Familia yake</td></tr>
</tbody></table>
Shida za maji na madawa anasema ameziishi. Akasimulia kisa cha chumba kilichokuwa kikifumgwa sana wakati wa utoto wao ni chumba cha maji na mtoto aliyekuwa anakunywa maji mara kwa mara alionekana kuwa ni mtoto mkorofi.<br />
<br />
Aliendelea kudai kuwa hatakuwa na huruma na uvumilivu kwa wala rushwa na wahujumu uchumi na atazingatia masilahi ya wafanyakazi.<br />
Kuhusu tatizo la ajira amesema kwa kufufua viwanda ambako vijana watafanya kazi kwa 'shift' kwa hatua hii anaamini itapunguza au kuondoa kabisa tatizo la ajira.<br />
<br />
Akisisitizia wajibu wa awamu yake,alieleza mafanikio ya awamu zilizotangulia na mafanikio yaliyopatikana katika awamu hizo.<br />
<br />
Alisema awamu ya kwanza ilifanikiwa katika kutafuta uhuru wa taifa hili na kujenga misingi ya umoja wa kitaifa na ya pili ilibadili mfumo wa uchumi wa nchi hii na kujenga uwezo wa watanzania kiuchumi na kupunguza serekali kushikilia njia za kiuchumi kwa asilimia mia moja na kuruhusu kusaidiwa.<br />
<br />
Kwa awamu ya tatu akasema ilijenga taasisi na mifumo ya huduma za kitaifa. Awamu ya nne imejishughulisha na miundo mbinu, Kujenga rasilimali watu na kujenga misingi ya uchumi wa kisasa.<br />
<br />
Akieleza kazi za awamu yake alishauri watu kutompima raisi kwa kile alichofanya kwani hakuna zawadi wanayopewa bali wawapime kwa yale wanayotarajia kufanya.<br />
"Raisi wa awamu ya tano atapimwa kwa kile atakachofanya na si kile alichowahi kufanya."akasisitizia.<br />
<br />
Akawabainisha wana CCM na watanzania wote kuwa yeye akipewa ridhaa ya kuliongoza taifa hili,afanya mambo makuu matatu, kazi ya kwanza na kubwa kulika zote ni kuipeleka nchi kuwa nchi ya kipato cha kati na wananchi wake kuwa wananchi wa kipato cha kati. Kazi ya pili akasema ni kujenga taifa linalojitegemea kibajeti. Kazi ya tatu kuwajenga uwezo wa wananchi wa kumiliki uchumi wao wenyewe.<br />
<br />
Akakomelea kwa kusema miaka hamsini ya kuwa taifa ombaoba na la watu masiki hali tunazo rasilimali za kututoa hapo sasa basi ni mwisho.<br />
<br />
Kuhusu muungano na ulinzi na usalama wa nchi alisema hivyo vitakuwa pia vipaumbele katika serikali yake.<br />
<br />
Kama mpenzi wa michezo,suala la michezo hakuliweka kando. Alimalizia kwa kudai kuwa yako mengi ila kutokana na muda hayo yatatosha kumpima kama anafaa au la.<br />
<br />
Aliendelea na suala lake ambalo likuwa kama silaha yake ya mapambano, suala la mazoea."Ukichagua kiongozi kwa mazoea atafanya kazi kwa mazoea na mazoea siku zota ni yale yanayomnufaisha mhusika yeye mwenyewe na si kwa masilahi ya wengi."Mara kadaa alirudia kauli hii.<br />
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi5hC1ZjCleuRSKNJQSLTTghKXxJzYt9CyKg2F1IXVKZjbAVSp1exSFZZz5EqxQobnnqQXS-mIkjuZ8o5Kqf0lMZc4eu9GnSILUs62J36dtWnoaAh7Vy0m9nF7l7-O7z9rMxMukgeLgdM3k/s1600/Mwigulu+2.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><img border="0" height="179" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi5hC1ZjCleuRSKNJQSLTTghKXxJzYt9CyKg2F1IXVKZjbAVSp1exSFZZz5EqxQobnnqQXS-mIkjuZ8o5Kqf0lMZc4eu9GnSILUs62J36dtWnoaAh7Vy0m9nF7l7-O7z9rMxMukgeLgdM3k/s320/Mwigulu+2.jpg" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i><span style="font-size: x-small;">UKUMBI ULIVYOKUWA UMEJAA</span></i>.</td></tr>
</tbody></table>
Taarifa zinadai wako watangaza nia zaidi ya thelathini kutoka kwa CCM peke yake bado hatujaanza kusikia kutoka vyama vingine. Watanzania kazi kwetu kuwasikiliza na kuchambua upi mpunga kwenye kauli za wanaojinadi hawa na zipi ni pumba.<br />
<div>
MWIGULI HAKIKA PAMOJA NA VIJINENO VYA HAPA NA PALE YAELEKEA AKAWA CHAGUO LA WENGI.</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-58807538226093613272015-05-30T13:13:00.000-07:002015-05-30T16:00:57.582-07:00Hotuba Ya Mh. Edward Lowassa Aliyoitoa LEO jijini Arusha Wakati Akitangaza Nia Ya Kuomba Kuteuliwa na CCM Kuwa Mgombea Urais Wa Tanzania. <div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEip0YEnCSpZgQQwV3a2np1M6jQU9lPNVqlthWFtT4yIucvBEqfgBi0blgrTxvlypw0w-nUju6nvscMKEKfzo3rgqSja3N_aU1sexwdjy52uLFbw0h_uNH9yLsFGWhnTjEFmhECRhbGf6hlR/s1600/MMGL22.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="212" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEip0YEnCSpZgQQwV3a2np1M6jQU9lPNVqlthWFtT4yIucvBEqfgBi0blgrTxvlypw0w-nUju6nvscMKEKfzo3rgqSja3N_aU1sexwdjy52uLFbw0h_uNH9yLsFGWhnTjEFmhECRhbGf6hlR/s320/MMGL22.jpg" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Lowassa akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea ofisi ya CCM<br />
mkoa wa Arusha. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM <br />
wa mkoa wa Arusha, Ndg. Onesmo Ole Nangole</td></tr>
</tbody></table>
Jumamosi, Mei,30, 2015<br />
UTANGULIZI:<br />
Ndugu zangu wana-CCM na Watanzania wenzangu,<br />
Hii ni siku muhimu kwangu na kwa nchi yetu. Leo nimeamua kuwaita ili kuwatangazia rasmi Watanzania wenzangu azma yangu ya kutaka kuomba ridhaa ya chama chetu, Chama Cha Mapinduzi (CCM), niweze kuteuliwa kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.<br />
<br />
Nasema hii ni siku muhimu kwangu kwa sababu naamini historia yangu itainakili kama ni siku ambayo kwa mara ya pili katika maisha yangu nimejitokeza kuwania kuiongoza nchi yetu kupitia chama chetu. Mara ya kwanza ilikuwa ni mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi hapa nchini nilipojitokeza nikiwa pamoja na Rais Jakaya Kikwete; wakati ule sote tulikuwa wanasiasa vijana. Tulikwenda pamoja kuchukua fomu ndani ya Chama na baadaye tukafanya mazungumzo ya pamoja na waandishi wa habari.Tulileta hamasa kubwa pale tulipofanya jambo ambalo halikuzoeleka kwa Watanzania kwa kutangaza kwamba yeyote atakayepita kati ya wawili sisi basi mwenzake ambaye hatafanikiwa angemuunga mkono.<br />
<br />
Ningeweza kujitokeza tena mwaka 2005 lakini nikaamua kwa dhati kabisa kumuunga mkono moja kwa moja Rais Jakaya Kikwete.<br />
<br />
Nikiwa Mwenyekiti wa Kampeni niliwaongoza wenzangu kufanikisha ushindi mkubwa wa mgombea tuliyemuunga mkono na baadaye ushindi mkubwa wa asilimia 80 wa Chama Cha Mapinduzi kwenye uchaguzi mkuu wa 2005.<br />
<br />
Nitaeleza kwa nini nimeamua kujitokeza tena mwaka huu na kwa nini naamini mimi ndiye mtu sahihi wa kuiongoza nchi yetu wakati huu. Mpaka hapa itoshe tu kuwaeleza ni kwa kwa nini naamini leo ni siku muhimu kwangu.<br />
<br />
Lakini nasema ni siku muhimu kwa nchi yetu pia. Nasema hivyokwa sababu naamini inajibu wito wa mahitaji ya sasa ya uongozi wa Taifa letu wa kumpata kiongozi imara atakayewaongoza Watanzania kujenga taifa imara. Na hili pia nitalieleza kwa kina.<br />
<br />
Hali ya Nchi na Matarajio ya Watu:<br />
Miaka 48 iliyopita katika jiji hili la Arusha, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage alianzisha mchakato wa kujenga taifa huru kiuchumi na kupiga vita maadui umaskini, ujinga na maradhi kwakutumia silaha ya kujitegemea.<br />
<br />
Leo hii, wakati taifa likijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu ujao, hatuna budi kutafakari tulikotoka, tulipo na tunapotaka kwenda ili tuweze kubuni upya mikakati ya kuhitimisha azma aliyo kuwa nayo Mwalimu, ili tujenge taifa huru, lenye utulivu, mshikamano, amani na maendeleo.<br />
<br />
Nchi yetu hivi sasa inapita katika kipindi kigumu cha mpito katika maeneo yote makuu ya maisha yetu – katika siasa, katika uchumi na katika maisha ya kijamii.<br />
<br />
Kisiasa, tumeshuhudia kuongezeka kwa vuguvugu la mfumo wa vyama vingi ambapo ushindani kati ya vyama vya siasa unazidi kuwa mkali na kwa bahati mbaya kufikia sura ya kuonekana kama vile ni mapambano ya watu binafsi badala ya mapambano ya sera na dira ya kuongoza nchi.<br />
<br />
Tunashuhudia kuongezeka uhasama binafsi kati ya wanasiasa ndani ya chama kimoja kimoja na pia kati ya wanasiasa wa chama kimoja dhidi ya kingine. Kadiri siku zinavyokwenda, hali inazidi kuzorota na ikiachiwa kuendelea nchi yetu inaweza kujikuta mahali pabaya.<br />
<br />
Kukua kwa ushindani ni jambo jema linalokomaza na kurutubisha demokrasia yetu na tukiwa na ushindani wenye afya unaweza kuwa chachu ya kuleta mabadiliko mema kwa wananchi na kupelekea kuongezeka kwa kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika nchi yetu.<br />
<br />
Kinyume chake ushindani unaochukua sura ya chuki binafsi au kukomoana na hata kulipizana visasi si ushindani wenye tija na tunapaswa kuutafutia tiba.<br />
<br />
Tunahitaji uongozi imara kusimamia kipindi cha mpito kutoka siasa muflisi za aina hii na kuelekea kwenye siasa mpya zinazoimarisha ushindani wenye tija unaojikita katika kushindana katika kuwapatia huduma bora Watanzania.<br />
<br />
Kiuchumi, tumeshuhudia ukuaji mzuri na kuongezeka kwa mapato ya ndani ya Serikali na uimarishaji wa mfumo wa uwajibikaji na ulipaji kodi.<br />
<br />
Kwa upande mwengine, Serikali ya Rais BenjaminiMkapa na Rais Jakaya Kikwete imefanya kazi kubwa katika uendelezaji wa sekta ya mafuta na gesi asilia ambapo kiwango kikubwa cha gesi asilia kimegunduliwa.<br />
<br />
Tanzania sasa imekuwa ni miongoni mwa nchi zinazovutia uwekezaji mkubwa katika sekta hiyo ambayo inatajwa kwamba inaweza kuja kubadilisha kabisa maisha ya Watanzania.<br />
<br />
Hata hivyo, kipindi hiki cha mpito kuelekea ujenzi wa uchumi wa kisasa kimeshuhudia kuongezeka kwa hofu na wasiwasi miongoni mwa wananchi kwamba hawatonufaika naukuaji huu wa uchumi na ugunduzi wa utajiri mkubwa wa gesi asilia.<br />
<br />
Kwa upande mwingine, vijana wanataka kuona ukuaji wa uchumi na ugunduzi wa utajiri huo unakwenda sambamba na uzalishaji wa ajira zenye maana ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha yao.<br />
<br />
Niliwahi kusema kwamba tatizo la ukosefu wa ajira likiachiwa bila ya kutafutiwa ufumbuzi imara ni bomu linalosubiri kulipuka.<br />
<br />
Vijana wasio na ajira hupoteza matumaini na ni rahisi kughilibiwa kuingiza nchi katika machafuko.Tunahitaji uongozi imara kuweza kuikabili hali hiyo na kuitafutia suluhisho maridhawa.<br />
<br />
Kijamii, kipindi cha karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa ya tabia miongoni mwa raia katika hali ambayo haijawahi kuwa sehemu ya utamaduni wa Watanzania.<br />
<br />
Kumekuwa na ongezeko la kutisha la matukio ya uhalifu linalokwenda sambamba na wananchi kuonyesha wanapoteza imani na taasisi zinazosimamia sheria na usalama na kuamua kujichukulia sheria mikononi mwao.<br />
<br />
Kumeripotiwa matukio mengi yakiwemo ya kuvamiwa vituo vya polisi, askari kupigwa na kuporwa silaha, matumizi makubwa ya nguvu katika utatuzi wa migogoro mbalimbali hasa ile ya kijamii, mathalani migogoro ya wakulima na wafugaji, mivutano ya kidini na pia mivutano baina ya viongozi wa dini wenyewe kwa wenyewe na baina ya viongozi wa dini na wale wa Serikali.<br />
<br />
Matokeo yakemshikamano wa taifa nao unaingia majaribuni. Mara nyingine wananchi wanatuuliza viongozi iwapo hii ndiyo nchi tuliyoachiwa na waasisi wetu. Tunahitaji uongozi imara wa kukabiliana na changamoto hizi na kurudisha mshikamano wa taifa letu na watu wake.<br />
<br />
<br />
Watanzania Wanataka Mabadiliko;<br />
Ndugu zangu, mnaweza kujiuliza kwa nini nimeyaeleza yote hayo na yana mahusiano gani na dhamira yangu ya kutangaza nia ya kutaka kuiongoza nchi yetu kupitia CCM?<br />
<br />
Nimeyaeleza haya kwa sababu haya na matukio mengine yanayoendelea nchini yamepelekea Watanzania kutaka mabadiliko.<br />
<br />
Watanzania wanataka mabadiliko yatakayowawezesha kuzishinda changamoto hizi na kuwaongoza kujenga Taifa imara ambalo kila mwananchi wake anaishi akiwa na uhakika wa mahitaji yake muhimu na papo hapo akijiridhisha kwamba leo yake ni bora kuliko jana yake, na kesho yake itakuwa bora zaidi kuliko leo yake.<br />
<br />
Kwa maneno mengine, Watanzania wanahitaji mabadiliko yatakayowapa uongozi imara unaoweza kuwaongoza kujenga taifaimara. Hii ndio Safari ya Matumaini.<br />
<br />
Chama chetu, Chama Cha Mapinduzi (CCM), na watangulizi wake, TANU na ASP, kimepata bahati ya kuungwa mkono na Watanzania tokea enzi za kupigania uhuru, wakati wa Uhuru wa Tanganyika na Mapinduzi ya Zanzibar, na pia miaka yote tokea Uhuru, Mapinduzi na hatimaye Muungano wetu. Watanzania hawajawahi kushuhudia chama kingine kikiongoza Serikali zetu zaidi ya CCM. Wamekiamini na wanaendelea kukiamini.<br />
<br />
Hata katika yale majimbo machache ya nchi yetu ambayo hatukufanya vizuri katika uchaguzi, ukiangalia kwa undani utaona si kwamba watu wa maeneo hayo wana matatizo na CCM kama Chama bali wana matatizo na baadhi ya viongozi ambao walishindwa kukiwakilisha vyema Chama na kutambua matakwa ya wananchi hao.<br />
<br />
Mimi naamini kwamba hata katika kipindi hiki ambapo Watanzania wanaonekana kutaka mabadiliko bado wanaendelea kuamini kwamba watayapata mabadiliko hayo ndani ya CCM.<br />
<br />
Lakini kama alivyotupa wasia Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, mwaka 1995 wakati wa uchaguzi mkuu wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi hapa nchini, Watanzania wasipoyapata mabadiliko hayo ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM.<br />
<br />
Mimi naamini kwamba CCM tunao uwezo wa kuwapa Watanzania mabadiliko wanayoyataka. Tuwape imani na imani hiyo iwe ni ya dhati na ya ukweli kwamba CCM inao uwezo wa kuwapa uongozi imara wanaouhitaji kwa ajili ya kujenga taifa imara.<br />
<br />
Vyama vya siasa vinajumuisha watu na vinaongozwa na watu. Moja ya hulka ya binadamu ni kubadilika kulingana na mahitaji ya mazingira anayoishi.<br />
<br />
Kwa maneno mengine, binadamu ni ‘dynamic’. Kwa sababu hiyo basi, hata vyama vya siasa vinapaswa kuwa ‘dynamic’.<br />
<br />
CCM haijapata kuwa na upungufu wa sifa ya ‘dynamism’. Kwa zaidi ya miongo mitano sasa, CCM (na kabla yake TANU na ASP) iliweza kubadili dira na mwelekeo wake ili kwenda sambamba na mahitaji ya Watanzania ya wakati husika.<br />
<br />
Ndiyo maana tumepita katika vipindi tofauti vya mpito kwa mafanikio makubwa licha ya changamoto nyingi zilizotukabili.<br />
<br />
Tanzania imeendelea kuwa nchi ya amani licha ya kubadili mfumo wetu wa siasa kutoka ule wa chama kimoja kuja vyama vingi; licha ya kubadili mwelekeo wa uchumi wetu kutoka ule wa dola kumiliki njia zote kuu za uchumi kuja katika uchumi wa soko unaozingatia ushiriki mpana wa Watanzania wa matabaka yote; na hata karibuni kabisa katika mchakato wa kuipatia nchi yetu Katiba mpya.<br />
<br />
Tanzania tumeweza kufanya mabadiliko ya uongozi mara nne katika hali ya amani na maelewano, jambo ambalo nchi nyingi za Afrika zimeshindwa.<br />
<br />
Ni imani yangu kwamba tukijikubalisha tunaweza tena kuwapa Watanzania wanachokitaka katika zama hizi za sasa.<br />
<br />
Lakini ni lazima tuoneshe dhamira hiyo kwa dhati ili, kama alivyotuasa Mwalimu Nyerere, Watanzania wasiyatafute mabadiliko hayo nje ya CCM.<br />
<br />
Nasisitiza tena kwamba CCM inao uwezo wa kuwapa Watanzania mabadiliko wanayoyataka, lakini pia wananchi wana hiali kuchagua mabadiliko wanayoyataka.<br />
<br />
Uongozi unaohitajika kuleta mabadiliko yanayotakiwa:<br />
Rais Jakaya Kikwete amefanya kazi kubwa katika kipindi chake na kama ambavyo amekuwa akisisitiza mara kwa mara katika hotuba zake za karibuni ni kwamba yeye ametekeleza wajibu wake kwa kuweka misingi imara ya ujenzi wa Taifa la kisasa lenye uchumi madhubuti na unaoweza kukua kwa kasi.<br />
<br />
Amesema anamwachia atakayemkabidhi uongozi wa nchi yetu baada ya yeye kumaliza muda wake kuendeleza pale atakapoachia.<br />
<br />
Kwa maoni yangu ili kuifanya kazi hiyo na kuzikabili changamoto nilizozieleza, nchi yetu inahitaji uongozi wenye sifa zifuatazo:<br />
<br />
- Uongozi wenye uthubutu, usioogopa kufanya kufanya maamuzi magumu;<br />
- Uongozi thabiti na usioyumba;<br />
- Uongozi makini na mahiri;<br />
- Uongozi wenye ubunifu na wenye upeo mkubwa;<br />
- Uongozi utakaozikabili changamoto kifua mbele na siyo kuzikimbia;<br />
- Uongozi unaoamini katika mfumo shirikishi katika ujenzi wa Taifa;<br />
- Uongozi unaozingatia muda katika kutekeleza majukumu yake.<br />
<br />
Naamini pia kwamba wananchi wanataka Rais ajaye wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awe na sifa kuu zifuatazo:<br />
<br />
- Aweze kuwaunganisha Watanzania (kukabiliana na viashiria vya migawanyiko ya aina mbali mbali inayoinyemelea Tanzania);<br />
<br />
- Aweze kuja na sera na mikakati ya kuinua uchumi wa Tanzania na kukuza pato la Mtanzania;ikiwemo kupunguza tofauti ya kipato kati ya aliyekuwanacho na wasiokuwanacho;<br />
<br />
- Aweze kuja na sera na mikakati ya kuzalisha ajira kwa vijana wetu;<br />
<br />
- Aweze kutokomeza mianya ya rushwa kwa vitendo;<br />
- Aweze kuwa mfano wa kuchapa kazi na kuwajibika;<br />
- Asimamie nidhamu ya matumizi ndani ya Serikali;<br />
- Aweze kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Serikali;<br />
- Aweze kutumia fursa yetu ya kijiografia kibiashara<br />
<br />
Uongozi Imara,Taifa Imara<br />
Naamini kwamba uongozi wa juu wa nchi katika nafasi ya Urais si kazi ya lelemama na unahitaji utashi. Kabla hata ya kutakiwa na wenzako ni lazima kwanza wewe mwenyewe uamini na uwaaminishe wenzio kwamba unao uwezo wa kuwaongoza wananchi wenzako. Na katika hilo, rekodi yako ni lazima izungumze na kulithibitisha hilo.<br />
<br />
Binafsi nina hazina ya uzoefu na rekodi njema ya matokeo ya kazi nilizozifanya katika uongozi na utumishi wa umma ndani ya CCM na ndani ya Serikali. Nilianza kazi nikiwa Katibu Msaidizi wa CCM katika mikoa ya Shinyanga, Arusha na Moshi.<br />
<br />
Nimekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Kamati Kuu ya CCM. Niliingia Bungeni mwaka 1985 na baadae mzee wangu, Rais Ali Hassan Mwinyi, akaniamini kwa kuniteua kuwa Waziri.<br />
<br />
Nimekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Ardhi, Makaazi na Maendeleo ya Miji, Waziri wa Mazingira, Waziri wa Maji na hatimaye Waziri Mkuu.<br />
<br />
Miongoni mwa mafanikio ninayojivunia katika uongozi na utumishi wangu, na ambayo Watanzania wanayatambua na naamini wanayathamini, ni pamoja na:<br />
<br />
- Nikiwa Waziri wa Maji chini ya uongozi mahiri wa Rais Mkapa,tulithubutu kushawishi na kuongoza hatua za kukataa kufungika na makubaliano yaliyowekwa na wakoloni ambayo yalikuwa yanazizuia nchi zilizopakana na Ziwa Victoria zisiweze kufaidika ipasavyo na maji ya Ziwa hilo. Leo hii ndugu zangu wa Kanda ya Ziwa wanafaidika na ujasiri wetu katika kukabiliana na suala hilo zito.<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhjz664DC-065LXpTSnh_8DkFr_rGP00qpiaACHL-c4dw0c0EYdnKTzBfi_9LfYsMDsBKm0zhmh-q1EHD82cEPGhqMtLErVdeY3mx4v8ZV0z3rML_w_wtppIHrHOQP0NrOpnuHYtQy0bJyb/s1600/lowasa+arusha+2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="263" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhjz664DC-065LXpTSnh_8DkFr_rGP00qpiaACHL-c4dw0c0EYdnKTzBfi_9LfYsMDsBKm0zhmh-q1EHD82cEPGhqMtLErVdeY3mx4v8ZV0z3rML_w_wtppIHrHOQP0NrOpnuHYtQy0bJyb/s400/lowasa+arusha+2.jpg" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i><span style="font-family: Helvetica Neue, Arial, Helvetica, sans-serif;">Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Arusha, Ndg. Onesmo Ole Nangole akizungumza machache mbele ya Mtangaza nia ya kuwania Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa alieambatana na Mkewe, Mama Regina Lowassa pamoja na wanaCCM wengine.</span></i></td></tr>
</tbody></table>
- Nikiwa Waziri wa Mazingira, tulipanda miti mingi zaidi kuliko wakati mwingine wowote tokea Uhuru na pia kuwakabili kikamilifu na kuwachukulia hatua waliochafua na kuharibu mazingira.<br />
<br />
- Nikiwa Waziri Mkuu, tulisimamia agizo la Rais Kikwete na kufanikisha utekelezaji wake ndani ya miaka miwili kwa kujenga shule nyingi za sekondari kuliko wakati mwingine wowote tokea Uhuru.<br />
<br />
- Kipindi hicho hicho, tulisimamia agizo la Rais Kikwete la kuanzisha Chuo Kikuu cha Dodoma na kuhakikisha kinakamilishwa kwa wakati. Leo hii Chuo Kikuu hicho ni fahari ya Tanzania.<br />
<br />
Tunapomtafuta Rais wa Jamhuri ya Muungano ni lazima tukumbuke kwamba tunamtafuta mtu ambaye atakuwa pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama katika nchi yetu. Na kwa Chama Cha Mapinduzi tunamtafuta mtu ambaye atakuwa pia Mwenyekiti wa Chama chetu.<br />
<br />
Naamini kwa vigezo vyote, nina kila sifa ya kubeba dhamana hizo nzito. Katika mambo ambayo najivunia na sitoyasahau katika historia yangu ni kushiriki kwangu kuilinda nchi yangu pale ilipohitajika.<br />
<br />
Nilishiriki kikamilifu katika Vita vya Kagera nikiwa miongoni askari wa mstari wa mbele wa mapambano. Nikiwa Mbunge nilipata heshima ya kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama. Naamini Watanzania hawatakuwa na wasiwasi wa usalama wao nikiwa Amiri Jeshi Mkuu.<br />
<br />
Nimeeleza uzoefu wangu kwenye Chama na huo hauhitaji maelezo zaidi. Ninakijua vyema Chama Cha Mapinduzi kiasi cha kutosha kabisa kukiongoza kama Mwenyekiti wake pale wakati utakapofika.<br />
<br />
Wana-CCM wanajua nikikabidhiwa uongozi, Chama chetu kitakuwa chini ya nahodha madhubuti, mzoefu na asiyeyumba.<br />
<br />
Kutokana na rekodi yangu hii, naamini ninazo sifa za kuwaongoza Watanzania wenzangu katika zama mpya za ujenzi wa Taifa la kisasa lenye watu wazalendo walioshikamana na lenye uchumi imara unaomnufaisha kila Mtanzania. Naamini ninao uwezo wa kuwapa Watanzania Uongozi imara kwa ajili ya ujenzi wa Taifa Imara.<br />
<br />
Dira yangu na Matarajio ya Watanzania<br />
Mfumo tuliojiwekea hapa nchini unaelekeza kila chama cha siasa kinachosimamisha mgombea Urais na kinachowania kuongoza nchi yetu kuja na Ilani ya Uchaguzi ambayo ndiyo inayoweka misingi ya sera zitakazofuatwa na Serikali itakayoongozwa na chama hicho pale kinapopewa ridhaa ya kuongoza nchi.<br />
<br />
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuwa ni cha kupigiwa mfano katika kutayarisha Ilani bora na ndiyo maana mara zote kimepewa ridhaa ya kuongoza nchi yetu. Tumefanya hivyo tokea enzi za mfumo wa chama kimoja na tumeendelea kufanya vizuri katika mfumo wa kushindanisha sera kupitia vyama vingi.<br />
<br />
Najua kwamba Ilani ya CCM ya mwaka 2015 imo katika hatua za mwisho za kukamilishwa na itakapopata baraka za vikao vya Chama itakuwa ndiyo msingi wa utendaji wa Serikali ya Awamu ya Tano itakayochaguliwa Oktoba mwaka huu.<br />
<br />
Hata hivyo, naamini pia kwamba mgombea mwenyewe anayetaka ridhaa ya Chama na ya Watanzania kuongoza nchi naye anapaswa kueleza dira yake.<br />
<br />
Mimi, baada ya kutafakari kwa kina changamoto tulizo nazo na matarajio na matumaini waliyo nayo Watanzania, naamini kwamba Uongozi imara unaolenga kujenga Taifa imara unapaswa kuwa na dira yenye malengo yafuatayo:<br />
<br />
- Kuimarisha Muungano wetu kwa kuyashughulikia yanayotutenganisha na kuyafanyia kazi ili yasivuruge yale yanayotuunganisha ambayo ni mengi zaidi na makubwa zaidi.<br />
<br />
- Kushughulikia matumizi mabaya ya siasa za udini na ukabila kwa kuimarisha siasa zilizoshiba uzalendo na zenye kutuelekeza kwenye Utanzania wetu.<br />
<br />
- Kujenga uchumi imara na wa kisasa, na ambao ni shirikishi unaomnufaisha kila Mtanzania aliyeko mjini au kijijini. Tunapaswa kubadili hali tuliyo nayo sasa ambapo Kilimo kinaonekana kama kimesahauliwa na wakulima wetu wanaonekana wanakata tamaa.<br />
<br />
Wafugaji na wavuvi nao wanahisi sekta zao hazijapewa umuhimu unaostahiki. Tunahitaji kuondokana na hali iliyopo sasa ya kuwa Taifa linalouza malighafi na badala yake kuwa Taifa linalosindika na kusarifu mazao na kutengeneza wenyewe bidhaa zitokanazo na malighafi yake.<br />
<br />
Ndani ya miaka mitano ijayo tutahakikishatunaiondolea Tanzania sifa ya kusafirisha malighafi na badala yake kusindika mazao yanayozalishwa hapa nchini kama pamba, kahawa, chai na korosho na kuyaongezea thamani (value addition).Mkakati huu utazalisha ajira nyingi na kuongeza mapato ya fedha za kigeni nchini.<br />
<br />
Tunahitaji kujielekeza kwenye kujenga viwanda na kuleta ajira. Tuna vivutio vingi sana vya utalii lakini bado Tanzania inapitwa na nchi kama Afrika Kusini katika kuingiza idadi kubwa ya watalii.<br />
<br />
Kwa nini nchi kama Dubai iweze kuvutia watalii kwa mamilioni na Tanzania tushindwe? Tunapaswa kukabiliana kikamilifu na hisia zilizopo miongoni mwa wananchi kwamba Tanzania hainufaiki ipasavyo na utajiri wa rasilimali zake nyingi ilizo nazo.<br />
<br />
Tutajipanga zaidi kuhakikisha tunanufaika kama nchi na rasilimali zetu kama madini na gesi asilia. Hii ndio Safari ya Matumaini<br />
<br />
- Kukuza kipato cha wananchi na kunyanyua hali za maisha ya watu wetu. Tunapaswa kuhakikisha kuwa ukuaji wa uchumi tunaouzungumzia unamnufaisha Mtanzania aliyeko mjini au kijijini na kwamba hali za Watanzania wa matabaka yote zinanyanyuka na kwamba wanaridhika na kuuona uhalisi wa ukuaji wa maendeleo tunayoyazungumzia.<br />
<br />
- Kuondokana na sifa mbaya ya kuwa Taifa ombaomba. Kwa wingi wa rasilimali tulizo nazo na neema ya ardhi, maziwa, mito na bahari Tanzania tuna kila sababu ya kuacha kuwa ‘bakuli la ombaomba’ na badala yake kuwa ‘mkoba wa neema’ katika Afrika.We can transform our nation from being the begging bowl to become the bread basket of Africa.<br />
<br />
- Kujenga mfumo mpya wa elimu unaojielekeza kuwatayarisha vijana wetu waweze kuajirika, kujiajiri na kushindana katika soko la ajira.<br />
<br />
Tumepiga hatua kadhaa katika elimu lakini kiwango cha elimu bado ni hafifu. Pamoja na kuwa na shahada (degrees), bado wahitimu wetu hawawezi kushindana kwenye soko la ajira.<br />
<br />
Wakati tunazungumzia kuunganisha soko la ajira katika Afrika Mashariki,hatuna budi kujikita kubadili mfumo wetu wa elimu na kuuelekeza kwenye mafunzo ya ufundi na stadi yanayowajenga wahitimu wetu kuwa wabunifu na wenye kujiamini katika kukabiliana na changamoto za maendeleo duniani.<br />
<br />
- Kuhakikisha tunakabiliana ipasavyo na kulipunguza kwa kiasi kikubwa kama si kulimaliza kabisa tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama. Ni jambo la kusikitisha kwamba tumezungukwa na mito na maziwa lakini bado watu wetu hawana maji ya kunywa hata ndani ya Dar es Salaam.<br />
<br />
- Kujenga na kusimamia mfumo imara wa kutekeleza sera na sheria tunazozitunga na kuzipitisha kwa lengo la kumtumikia Mtanzania na kumjengea uwezo wa kubadili maisha yake ili tuweze kwenda sambamba na viwango vya kimataifa. Tanzania imepata sera na sheria nzuri sana lakini utekelezaji wake umekuwa hafifu.<br />
<br />
Tumekuwa wepesi wa kutunga sera na sheria lakini wazito mno wa kuzitekeleza na kuzisimamia. Uongozi imara wenye kulenga ujenzi wa Taifa imara utahakikisha tunakuwa mfano wa utekelezaji wa sera na sheria tulizo nazo na mpya zitakazotungwa kukabiliana na malengo tuliyojiwekea.<br />
<br />
Mambo haya niliyoyaeleza hapa ndiyo yatakayokuwa msingi mkuu wa utendaji wa Serikali nitakayoiongoza pale nitakapopewa ridhaa ya kubeba bendera ya CCM katika nafasi ya Urais na pia nitakapopewa ridhaa ya kuliongoza Taifa letu kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka huu.<br />
<br />
Ramani ya Uongozi Imara Ninaouamini 9 Leadership Roadmap)<br />
Kama nilivyotangulia kusema, kazi ya kuongoza nchi si lelemama na hasa unapoongozwa na dhamira ya dhati na msukumo wa ndani ya nafsi unaojielekeza kubadilisha maisha ya wananchi wenzako waliokuamini uwaongoze. Kwa vyovyote vile, hiyo haiwezi kuwa kazi ya mtu mmoja. Ni kazi ya pamoja.<br />
<br />
Lakini ili muweze kufanya kazi kama timu moja iliyojipanga kisawasawa kuleta mabadiliko yanayohitajika na ili muweze kweli kutoa Uongozi imara unaojikita kujenga Taifa imara hapana budi kiongozi mkuu anayeongoza timu hiyo aweke ramani anayokusudia kuifuata katika kutoa uongoziimara anaoukusudia yaani ‘Leadership Roadmap’.<br />
<br />
Pamoja na kuwa sehemu ya uongozi huko nyuma, kutakuwa na maamuzi na matumaini mapya. Ramani ya uongozi imaraninayokusudia kuutoa kwa wenzangu na ambayo nitaitumia kuiongoza timu yangu katika kuwatumikia Watanzania wenzangu itajikita katika maeneo yafuatayo:<br />
<br />
1. Kurejea kwenye Katiba katika kuainisha nia, dhamira na malengo yetu ya kujenga jamii inayozingatia misingi ya demokrasia, udugu na amani. Muhimu katika hili ni kukemea tabia mbaya zinazochochea mfarakano katika jamii kama vile matumizi mabaya ya siasa za udini na ukabila.<br />
<br />
Aidha moja ya misingi muhimu ya Katiba ni Muungano wetu. Itakuwa dhamira yangu kuimarisha misingi ya Muungano pamoja na udugu wa damu nahistoria ya ushirikiano iliyojengwa na waasisi wetu, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Sheikh Amri Abeid Karume na kuyaenzi Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.<br />
<br />
2. Kujenga fikra mpya za kurejesha kujiamini na kufufua azma ya kujitegemea kama Taifa. Ni dhahiri kuwa pamoja na rasilimali zetu, bado Tanzania ni taifa tegemezi. Bado tunajidanganya kuwa wafadhili watatujengea nchi. Tukumbuke, nchi zinajengwa nawananchi wake.<br />
<br />
Nasi pia lazima tujikomboe kifkra na tuondokane na utamaduni wa kuwa tegemezi. Tuanze kwa kujipiga kifua kwa kujiamini kuwa tunaweza kujitegemea na kuijenga Tanzania sisi wenyewe.Kujiamini na kujitegemea ndio uhuru wa kweli.<br />
<br />
3. Kujenga uzalendo, uadilifu ikiwa ni pamoja na kuimarisha uwazi katika shughuli zote za serikali na kupambana na rushwa.Watanzania tumepoteza uzalendo kwa kiasi kikubwa. Kuna vitendo vinavyoashiria kuwa hatuipendi tena nchi yetu.<br />
<br />
Tunashabikia wizi na rushwa. Inabidi turejee kwenye misingi ya taifa letu misingi ya uadilifu na uzalendo. Tukumbuke kuwa hatuwezi kujenga uchumi wa kisasa kama tutaruhusu rushwa ishamiri.<br />
<br />
Wawekezaji hawataleta mitaji yao kwa wingi kama rushwa itaendelea kutawala katika huduma serikali na wananchi hawawezi kupata huduma bora kama rushwa itaendelea kutawala. Ni lazima tuipinge rushwa kwa vitendo sio maneno.<br />
<br />
4. Kujenga Serikali madhubuti, makini na yenye nidhamu inayoendeshwa kwa misingi ya sheria, uwazi na uwajibikaji.Maendeleo ya watu hayawezekani bila serikali kusimamiautekelezaji sera na miradi na kuleta ufanisi katika kutoa huduma na kusimamia maendeleo. Tumekuwa wepesi wa kutunga sera lakini wazito wa kuzitekeleza na kuzisimamia.<br />
<br />
<br />
5. Kuleta msukumo mpya wa ushirikiano kati ya serikali na sekta binafsi katika ujenzi wa uchumi wa kisasa na unaojitegemea. Sekta binafsi ndiyo nyenzo ya uchumi imara. Inazalisha mali, ajira na kuchangia kwa kiasi kikubwa katika pato la taifa kwa kulipa kodi.<br />
<br />
Ilisekta hii itoe mchango unaotakiwa katika maendeleo ni lazima ifanye kazi na serikali kwa karibu. Tukumbuke, bila uchumi imarahakuna huduma bora!<br />
<br />
<br />
6. Uwekezaji katika huduma za jamii. Elimu na afya bora, mazingira, makazi safi na maji salama ndiyo mihimili ya maendeleo ya watu.<br />
<br />
Hii inawezekana tu iwapo serikali itakuwa na sera na utashi wa kuutambua uboreshaji wa huduma za jamii kama ndiyo lengo kuu la maendeleo ya nchi. Serikali nitayoiongoza itahakikisha kuwa kila Mtanzania anapata elimu bora na inayogharamiwa na serikali kama mimi na wenzangu tulivyopata.<br />
<br />
Wakatitunazungumzia kuunganisha soko la ajira katika Afrika Mashariki, hatuna budi kurekebisha mfumo wetu wa elimu na kuuelekeza kwenye mafunzo ya ufundi na ustadi yanayowajenga wahitimu wetu kuwa wabunifu, wenye kujiamini, wenye uwezo kushindana katika soko la ajira na wa kujiajiri. Napenda kusisitiza kuwa elimu ndiyo muhimili wa maendeleo, ndiyo mkombozi wa kweli wa binadamu. Mimi ni mfano hai wa ukombozi wa elimu.<br />
<br />
Elimu ndiyoimenivusha kutoka kijijini kwetu Ngarash na kunipa upeo wa kitaifa. Mama akiwa na elimu atajua umuhimu wa kumpeleka mwanae shule, anapata lishe bora na chanjo stahili na kuwa anaishi katika mazingira safi. Elimu ndilo jibu la umaskini, maradhi na ujinga.Taifa lililo elimika ni taifa lenye maendeleo.<br />
<br />
7. Kujenga uchumi shirikishi unaolenga kuondoa umaskini.Mkakati wa kuondoa umaskini Tanzania lazima ujikite kwenye nguzo za ushiriki wa kila Mtanzania katika uchumi wa taifa.<br />
<br />
Kwa misingi hii, tukiweza kupunguza umaskini, tutaweza pia kupunguzatofauti za kipato ambazo tukiziacha ziendelee kukua kwa kiasi cha sasa, zinaweza kuhatarisha utulivu na amani katika jamii yetu.Uchumi shirikishi ndio silaha dhidi ya umaskini.<br />
<br />
8. Kuimarisha ulinzi wa nchi na usalama wa raia na ujirani mwema.Itakuwa nia yangu kuimarisha misingi iliyojengwa kulinda na kudumisha umoja na amani nchini.<br />
<br />
Kadhalika, nitahakikisha kuwa usalama wa mipaka ya Tanzania unaimarishwa kwa misingi ya ujirani mwema na kutanzua migogoro na matatatizo yoyote na nchi jirani, kwa njia ya diplomasia na mazungumzo.<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: right; margin-left: 1em; text-align: right;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgw78v3mj4Yh21Gka4qOcfgjcWu4V9CiVMbYAOm5AQzlmF0RAL_3cWpzjob4Jcf_N3HeAI4r_TTtZAq6htEjeNZ0bljAXeDA2MM4At4EnN9-VFOXOC1pve08r3GgMOY3I-cx6MMD00vCtq/s1600/lowasa+arusha.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="209" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgw78v3mj4Yh21Gka4qOcfgjcWu4V9CiVMbYAOm5AQzlmF0RAL_3cWpzjob4Jcf_N3HeAI4r_TTtZAq6htEjeNZ0bljAXeDA2MM4At4EnN9-VFOXOC1pve08r3GgMOY3I-cx6MMD00vCtq/s320/lowasa+arusha.jpg" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Gari iliyombeba Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward <br />
Lowassa ikipita nje ya uwanja wa Sheih Amri Abeid<br />
, jijini Arusha mapema leo asubuhi wakati akielekea <br />
kwenye ofisi za CCM mkoa wa Arusha.</td></tr>
</tbody></table>
<br />
Hitimisho:<br />
Hii ndiyo misingi na dira ya uongozi wangu. Nachelea kusema kuwa haitakuwa kazi rahisi. Lakini kwa ushirikiano wa kila mmoja na maamuzi magumu, yote yanawezekana.<br />
<br />
Tumeona nchi nyingi zilizosimamiwa na utawala thabiti wa serikali za kimaendeleo zikikabili na kupunguza umaskini katika kizazi kimoja. Kama mataifa mengine yamefanikiwa, tena bila raslimali kama zetu, kwa nini sisi tushindwe?<br />
<br />
Tuna kila sababu ya kufanya maamuzi magumu sasa ili kuwajengea Watanzania matumaini mapya ya maendeleo. Naomba nisisitize kuwa katika uongozi wangu hakutakuwa na nafasi ya majungu, na visasi. Hatutaangalia nyuma bali tutasonga mbele kwani ndicho Watanzania wanakitarajiakutoka kwa uongozi uliojengwa kwenye misingi bora.<br />
<br />
Ndugu Watanzania:-<br />
Ni maono yangu kuwa siku si nyingi nchi yetu itaanza safari yenye uelekeo wa matumaini na neema tele kwa wananchi.<br />
<br />
Ni maono yangu kuwa siku si nyingi sisi kama Watanzania kwa umoja wetu tutajivunia kuishi katika nchi tunayoipenda na inayoendeshwa kwa misingi ya utawala bora, chini ya serikali ya kimaendeleo iliyojengwa kwenye fikra mpya za uzalendo, uadilifu, utendaji na uwajibikaji.<br />
<br />
Ni maono yangu kuwa Peke yangu sitaweza, lakini kwa maamuzi magumu na ushirikiano wa kila mmoja wetu ikiwa ni pamoja na wagombea wenzangu ndani ya CCM, inawezekana kuanza safari hii ya Matumaini Mapya.<br />
<br />
Kabla ya kumaliza hotuba yangu hii fupi, kuna mambo matatu ningependa kuyaweka wazi hapa.<br />
<br />
La kwanza, linahusu msingi wa uongozi ninaouamini na ambao nimeusema mara kadhaa hapa. Msingi huo ni UWAJIBIKAJI.Watanzania wananifahamu mimi si mtu wa maneno, ni mtu wa vitendo. Naamini kwa dhati kabisa kwamba huwezi kuwa na Uongozi imara utakaoweza kusimamia ujenzi wa Taifa imara iwapo huna ujasiri wa kuwajibika. Mimi nimeongoza kwa mfano, na pale ilipobidi, nilikubali kuwajibika na kubeba dhamana ya uongozinilipojiuzulu nafasi ya Waziri Mkuu.<br />
<br />
La pili, mimi si mtu wa visasi. Siamini katika kuangalia ya nyuma. Yaliyopita si ndwele, tugange yajayo. Na kwa nini tuangalie nyuma wakati kama taifa tuna kazi kubwa sana mbele yetu inayohitaji kufanywa? Mimi ni Mkristo; najifunza kutoka kwa Bwana Yesu ambaye alipoulizwa: “Nisamehe mara ngapi?” Alijibu, “Samehe mara sabini mara saba”. Nitaenzi na kudumisha utamaduni huu wenye sura ya utu na heshima.<br />
<br />
La Tatu, natambua kwamba dhamana ya Urais ni shughuli nzito hasa kwa taifa ambalo lina changamoto nyingi. Nataka niwahakikishie Watanzania wenzangu kwamba afya yangu ni njema kuweza kuwatumikia katika jukumu hili zito. Pamoja na vijineno vinavyosemwa pembeni, mimi mwenyewe ndiye ninayejijua zaidi. Nawahakikishia kuwa nisingekuja hapa leo na kueleza nia yangu hii ingekuwa sina uhakika na afya yangu.<br />
<br />
Natoa RAI kwa Chama changu cha CCM, nadhani umefika wakati kwamba tutende tofauti na mazoea, watu wote walioonyesha nia ya kutaka kuongoza, liundwe jopo la madaktari wa ndani na nje ya nchi tupimwe afya zetu, kwa hili najitolea kuwa wa KWANZA KUPIMWA afya yangu<br />
<br />
Safari tuianze leo, hatuna kesho nyingine.<br />
Ahsanteni sana kwa kunisikiliza.<br />
<div>
<br />
HABARI ZIHUSIANAZO NA HII.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<iframe width="320" height="266" class="YOUTUBE-iframe-video" data-thumbnail-src="https://i.ytimg.com/vi/a5Oi32ogCRM/0.jpg" src="https://www.youtube.com/embed/a5Oi32ogCRM?feature=player_embedded" frameborder="0" allowfullscreen></iframe></div>
<ul style="text-align: left;">
<li>Mwanakijiji wa jamii forum na wanao muunga mkono wadai 'LOWASA' Hauziki kwa undani wake <span style="color: blue;"><a href="http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/857084-lowassa-hafai-yes-i-said-it-sababu-ya-i.html">bofia hapa</a>.</span></li>
<li>Kwenye jamii forum hiyo hiyo mjadala wa Raisi yupi kati ya KIKWETE, NYERERE, MWINYI na MKAPA anaongoza kwa kuwapima kwa criteria za<span style="background-color: #fafafa; color: #333333; font-family: Tahoma, Calibri, Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 13px;">:- 1. Maendeleo ya watu 2. Maendeleo ya Vitu 3. Umoja wa Kitaifa na 4. Muungano wetu. Maoni mbalimbali yametolewawa,kuyapata kwa undani wake </span><span style="color: blue;"><a href="http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/849424-if-we-rank-tanzanian-presidents-since-independence-to-date.html">bofia hapa</a></span></li>
<li>Ushawishi wa wachungaji wazaa matunda.KWA UNDANI pata video hii. </li>
</ul>
</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-87866994179220473982015-03-07T13:36:00.000-08:002015-03-07T13:36:20.247-08:00Mwanza Secondari Yapigwa Bao 3-1 na Shule ya Kimataifa ya Isamilo katika Mechi ya Kirafiki.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name" style="background-color: white; color: #444444; font-stretch: normal; margin: 0px; position: relative;">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: small;"><br /></span></h3>
<div class="post-header" style="background-color: white; color: #444444; line-height: 1.6; margin: 0px 0px 1em;">
<div class="post-header-line-1">
</div>
</div>
<div class="post-body entry-content" id="post-body-8028563149432261231" itemprop="description articleBody" style="background-color: white; color: #444444; line-height: 12.1333341598511px; position: relative; width: 586.666687011719px;">
<div dir="ltr" trbidi="on">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody>
<tr><td><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOJ0DikcXWtBGHY4V_W3sit2VoV4ZbSQv73lJpb4jrvFRiM4AsKalB7UdLVK0Vd6rqt4iFFUrECY39XqGatXnCEXY3cfwZp-d_I9V00f4osY47Czz4y-lXiRQQ9ndKNsWYyGNyxwEN4Kw/s1600/Timu+zote+2.jpg" imageanchor="1" style="color: #4d469c; margin-left: auto; margin-right: auto; text-decoration: none;"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><img border="0" height="225" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjOJ0DikcXWtBGHY4V_W3sit2VoV4ZbSQv73lJpb4jrvFRiM4AsKalB7UdLVK0Vd6rqt4iFFUrECY39XqGatXnCEXY3cfwZp-d_I9V00f4osY47Czz4y-lXiRQQ9ndKNsWYyGNyxwEN4Kw/s1600/Timu+zote+2.jpg" style="-webkit-box-shadow: rgba(0, 0, 0, 0.2) 0px 0px 0px; background: transparent; border-radius: 0px; border: 1px solid transparent; box-shadow: rgba(0, 0, 0, 0.2) 0px 0px 0px; padding: 8px; position: relative;" width="400" /></span></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: small;">Timu zote mbili Isamilo na Mwanza Sekondari zikiwa kwenye mkao wa picha ya pamoja.</span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Jana Ijumaa baada ya swala ya Ijumaa, timu ya walimu Mwanza Sekondari na Shule ya Kimataifa ya Isamilo (Isamilo International School) zote za hapa jiji la Mwanza, zilikuwa na mechi ya kirafiki ya mpira wa miguu wanaume.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Mchuano huu wa mpira uliozishirikisha timu hizi mbili za shule za sekondari jijini hapa, ulikuwa ni kivutio kikibwa cha kuanzia mapumziko ya mwishoni mwa juma.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Kwenye kinyanganyiro hiki Isamilo iliwachapa Mwanza sekondari bao tatu kwa moja. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Mabao yote yalifungwa kipindi cha kwanza.Goli la kwanza la Isamilo lilifungwa na Mwl.Manda Rafaeli na la pili na Mwl. Peter Kiswaga kwa mkwaju aloupiga akiwa kiasi cha mita 80 hadi langoni mwa goli la ‘ Mwaseco’ na kumbabatiza mlinda lango na mpira kutinga kimiani. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Goli la kufutia machozi la 'Mwaseco' lilifungwa na Mwl. Elias Charles kwa mkwaju alioupokea toka kwa Mwl. David Nestory.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Goli la tatu la Isamilo lililodumu hadi kipenga cha mwisho lilifungwa kipindi hicho hicho cha kwanza na Mwl. Nijel Moye baada ya kizaa zaa kilichotokea langoni mwa goli la ‘Mwaseco’ baada ya mkwaju wa kona ulioletwa langoni na Mwl. Cairl.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Timu ya Mwanza Sekondari iliundwa na kikosi cha walimu wafuatao. Mwl. David Nestory huyu ni mkuu wa shule ya Mwanza Sekondari na alicheza namba 11.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Wengine ni Mwl. Abeli Kalilo ambaye alikiwa nahodha wa timu akicheza nambari 8. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Sanjari nao ni Mwl. Ahmed Hamdan nambari 4 mgongoni , Mwl.Boaz Edward nambari 9, Mwl. Eliasi Charles nambari 10. na mlinda lango wao Mwl. Shata Elia.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Timu hizi zilichezesha wachezaji saba saba. Mchezaji wa saba wa Mwaseco' ni Mwl.<span style="line-height: 20.6999988555908px;"> </span><span style="line-height: 20.6999988555908px;">Jeremiah Kinshuli aliyevalia jezi namba 7 mgongoni. </span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 20.6999988555908px;"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><span style="line-height: 20.6999988555908px;">Waliokuwa kwenye benchi kwa 'Mwaseco' ni </span>Mwl. Dickson Masomi, Abswamadu Nyenye, Ramadhani Bilali na Vitalius Marisiale.</span></div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody>
<tr><td><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmVlh6peRg7E3ehdwW9XwJm8BVbPiihJfsJyazDZZZ4JejKLMAsGmzTNzo8odncodFInhwP6OFg0nUD0XC_CYmwJprEudemYtSzewYMCV8S_BJwcx86wyZ2ALCbLxsThhRYF4TAucOG1k/s1600/MWASECO+TEAM.jpg" imageanchor="1" style="color: #4d469c; margin-left: auto; margin-right: auto; text-decoration: none;"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><img border="0" height="225" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmVlh6peRg7E3ehdwW9XwJm8BVbPiihJfsJyazDZZZ4JejKLMAsGmzTNzo8odncodFInhwP6OFg0nUD0XC_CYmwJprEudemYtSzewYMCV8S_BJwcx86wyZ2ALCbLxsThhRYF4TAucOG1k/s1600/MWASECO+TEAM.jpg" style="-webkit-box-shadow: rgba(0, 0, 0, 0.2) 0px 0px 0px; background: transparent; border-radius: 0px; border: 1px solid transparent; box-shadow: rgba(0, 0, 0, 0.2) 0px 0px 0px; padding: 8px; position: relative;" width="400" /></span></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: small;">Kikosi kizima cha 'Mwaseco ' Wana 'SOMA MPAKA UFE' na washauri wa timu wakiwa katika pozi la picha ya pamoja</span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"> Safu ya Isamilo iliundwa na Mwl. Appollo aliyekuwa langoni. Mwl. Marx nambari 13, Mwl. Jake nambari 10, Mwl. Nijel Moye nambari 4,Mwl. Cairl nambari 3, Mwl. Peter Kiswaga nambari 14, na Mwl.Manda Rafaeli nambari 7. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Walokuwa benchini kwa upande wa Isamilo ni: Mwl. Joseph Sospeter, Mwl.Godfrey Francis na Mwl. Robert Robert.<span style="line-height: 20.6999988555908px;"><o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Timu zote zilicheza mchezo mzuri wa kistaarabu usio na fujo.Katika kipindi cha pili mpira ulichezwa kwa pasi nyingi na kwa kasi kubwa lakini hakukuwa na timu yeyote iliyoliona lango la mwenzie. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Kwa upande wa timu ya 'Mwaseco' mchezaji Ahmed Hamdani alikuwa ndiye nyota wa mchezo kwa kuidhibiti timu ya Isamilo kuliona lango lao. Hasa kipindi cha pili aliweka juhudi za ziada.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Timu ya Isamilo ilipambwa na walimu wageni. Kati ya wachezaji wao kumi nusu walikuwa wenyeji na nusu nyingine wageni. Hii ni kwa sababu shule hii ni ya kimataifa hivyo ina walimu wazungu wengi.</span><table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody>
<tr><td><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvH78VmIgufHy-TN0-s5nZ4UmX8uI9kmNFokAHiYA69FhLBa-9BRb2j8PwFp06canQjwqVkCLq3lpxXX79S4gQf8vRbbTJG9r1a66LDT0i0hAniKWRl_O-KfQrlEt5BmimFzIupTUnXHM/s1600/Wfungaji+wa+timi+mbili.jpg" imageanchor="1" style="color: #4d469c; margin-left: auto; margin-right: auto; text-decoration: none;"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><img border="0" height="225" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvH78VmIgufHy-TN0-s5nZ4UmX8uI9kmNFokAHiYA69FhLBa-9BRb2j8PwFp06canQjwqVkCLq3lpxXX79S4gQf8vRbbTJG9r1a66LDT0i0hAniKWRl_O-KfQrlEt5BmimFzIupTUnXHM/s1600/Wfungaji+wa+timi+mbili.jpg" style="-webkit-box-shadow: rgba(0, 0, 0, 0.2) 0px 0px 0px; background: transparent; border-radius: 0px; border: 1px solid transparent; box-shadow: rgba(0, 0, 0, 0.2) 0px 0px 0px; padding: 8px; position: relative;" width="400" /></span></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: small;">Eliasi Charles mfungaji wa goli la Mwaseko na mfunngaji mwenzie Nigeli Moye wa Isamolo na mgongoni mwao aliya na glovzi mikonono ni mlinzi wa Isamilo Mwl.Appollo'</span></td></tr>
</tbody></table>
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Pamoja na kufungwakipindi cha kwanza, kipindi cha pili wana Mwaseco walijihami vilivyo kwa kuelekeza mipira ya hatari kwenye lango la Isamilo na kuwazibiti kuongeza mabao.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Pamoja na makeke yao haya hawakuweza kulipenya lango la Isamilo. Kikwazo chao kikubwa kilikuwa ni mlinda lango wa Isamilo Mwl. Appollo. Hakika mlinda mlango huyu alikuwa nyota kwa timu hii ya Isamilo.Alikuwa akidaka mipira iliyokuwa ni magoli dhahiri.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Hadi kipenga cha mwisho magoli yalikuwa Mwaseco moja na Isamilo tatu.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Kwa wana Mwaseco zaidi ya kufungwa, mchezo huu ulionesha mabadiliko kiasi fulani kwao kwani Ijumaa iliyopita ya tarehe 27 Februari 2015 walicheza na Sekondari ya Bugarika wakachapwa mabao SABA kwa ‘nunge.’</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span></div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><br /></span><div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;">Pale mwishoni mwa mechi nilimuuliza nahodhda wa 'Mwaseco' Mwl. Abeli kalilo kama kwa vichopo hivi vikali viwili mfululizo bado wanayo hamu ya kualika timu nyingine? Naye akalijibu kwamba wanakaribisha maombi toka timu yeyote iliyo tayari kucheza nao huku akionesha hamu ya kuwaalika Shule ya Sekondari Nsumba kwa madai eti Nsumba haina historia ya kuwafunga.</span></div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; padding: 4px; position: relative; text-align: center;"><tbody>
<tr><td><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitOlnIAYgkFQ_BP1g0nVdrpvkrHH35E8WkPg6u7-XuWCo0tC-FA8jCYkxA2w5H_6o4nSOhX074gJVSpMw54fjwdmZ4oHWqypo0hqr5lvDKOqbJph9QVom5kyr9lTkshh8ujx4PCa9Zfcg/s1600/Mwl+kimei.jpg" imageanchor="1" style="color: #4d469c; margin-left: auto; margin-right: auto; text-decoration: none;"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif;"><img border="0" height="400" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitOlnIAYgkFQ_BP1g0nVdrpvkrHH35E8WkPg6u7-XuWCo0tC-FA8jCYkxA2w5H_6o4nSOhX074gJVSpMw54fjwdmZ4oHWqypo0hqr5lvDKOqbJph9QVom5kyr9lTkshh8ujx4PCa9Zfcg/s1600/Mwl+kimei.jpg" style="-webkit-box-shadow: rgba(0, 0, 0, 0.2) 0px 0px 0px; background: transparent; border-radius: 0px; border: 1px solid transparent; box-shadow: rgba(0, 0, 0, 0.2) 0px 0px 0px; padding: 8px; position: relative;" width="223" /></span></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="font-size: 10.3999996185303px;"><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: small;">Mwl Elibariki Kimei wa 'Mwaseco' na Mwl, wa Isamilo wakiongea na kati yao kijana wa Mwl wa Isamilo<br /> akishangilia ushindi wa Isamilo baada ya kipenga cha mwisho.</span></td></tr>
</tbody></table>
</div>
</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-30135782433350019452015-02-15T02:06:00.000-08:002015-02-15T02:28:16.360-08:00Mwanza Secondary School SCEE 2015 Overall Performance.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<h1 class="post-title single-title" itemprop="name" style="background-color: white; font-family: Oswald; font-size: 32px; font-stretch: normal; font-weight: normal; margin: 0px; position: relative; word-wrap: break-word;">
</h1>
<h1 class="post-title single-title" itemprop="name" style="background-color: white; font-family: Oswald; font-size: 32px; font-stretch: normal; font-weight: normal; margin: 0px; position: relative; word-wrap: break-word;">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5ZG4adNJC_eLbcqKDmWBAwR0ENjmXiFQPR9xFqyWqJVXhVWbLj1BLfFaamIBCjPrUrhsr8_LT8B99GLdzpZjwSzYWx81ARiogsbOZF7kF8v48b7ig5f_kA23Hphnywcn0xVdMEkJXlJyx/s1600/Mwz+ssi-222.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5ZG4adNJC_eLbcqKDmWBAwR0ENjmXiFQPR9xFqyWqJVXhVWbLj1BLfFaamIBCjPrUrhsr8_LT8B99GLdzpZjwSzYWx81ARiogsbOZF7kF8v48b7ig5f_kA23Hphnywcn0xVdMEkJXlJyx/s1600/Mwz+ssi-222.jpg" height="240" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">MWANZA Secondary School view</span></td></tr>
</tbody></table>
FORM FOUR NATIONAL EXAMINATION RESULT FOR SECONDARY SCHOOL EDUCATION IS OUT.</h1>
<br />
<div class="meta" style="background-color: white; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 16px; line-height: 22.3999996185303px; position: relative; word-wrap: break-word;">
<div class="post-info" style="margin: 10px 5px 5px 0px; max-width: 70%; position: relative; word-wrap: break-word; z-index: 9;">
<br />
<br />
<br />
<br /></div>
<div class="post-apps" style="background: none; margin: 10px 5px 5px 0px; opacity: 1; position: absolute; right: 0px; top: 0px; width: 720px; word-wrap: break-word; z-index: 1;">
<a class="zoom-text zoom-out-text" href="http://www.ehmsangi.com/2015/02/form-four-national-examination-result.html#A-" style="background: rgb(248, 248, 248); color: #333333; float: right; font-family: Oswald; font-stretch: normal; line-height: 12px; margin: -10px 0px 0px; padding: 5px 5px 8px; position: relative; text-decoration: none; text-transform: uppercase; word-wrap: break-word;">A<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-stretch: normal; line-height: 12px; position: relative; word-wrap: break-word;">-</span></a><br />
<div class="addthis_toolbox addthis_default_style addthis_16x16_style" style="float: right; line-height: 12px; position: relative; width: 540px; word-wrap: break-word;">
<a class="addthis_button_email at300b" href="http://www.ehmsangi.com/2015/02/form-four-national-examination-result.html#" style="background: rgb(240, 240, 240); color: #333333; cursor: pointer; float: left; font-family: Oswald; font-stretch: normal; line-height: 12px; margin: -10px 0px 0px; padding: 5px 5px 6px 0px; position: relative; text-decoration: none; text-transform: uppercase; width: auto; word-wrap: break-word;" target="_blank" title="Email"><span class="at4-icon aticon-email"><span class="at_a11y" style="height: 1px !important; line-height: 12px; margin: -2px 5px 0px 10px; overflow: hidden !important; position: absolute !important; top: auto !important; width: 1px !important; word-wrap: break-word;">SHARE ON EMAIL</span></span>EMAIL</a><a class="addthis_button_print at300b" href="http://www.ehmsangi.com/2015/02/form-four-national-examination-result.html#" style="background: rgb(248, 248, 248); color: #333333; cursor: pointer; float: left; font-family: Oswald; font-stretch: normal; line-height: 12px; margin: -10px 0px 0px; padding: 5px; position: relative; text-decoration: none; text-transform: uppercase; width: auto; word-wrap: break-word;" title="Print"><span class="at4-icon aticon-print"><span class="at_a11y" style="height: 1px !important; line-height: 12px; margin: -1px 6px 0px 0px; overflow: hidden !important; position: absolute !important; top: auto !important; width: 1px !important; word-wrap: break-word;">SHARE ON PRINT</span></span>PRINT</a><br />
<br />
<br />
<div class="atclear" style="clear: both; line-height: 12px; position: relative; word-wrap: break-word;">
</div>
</div>
</div>
<div class="clear" style="clear: both; float: none; margin: 10px 5px 5px 0px; position: relative; word-wrap: break-word;">
</div>
</div>
<div class="post-single-body post-body" id="post-body-659531014723662718" itemprop="articleBody" style="background-color: white; border-top-color: rgb(238, 238, 238); border-top-style: solid; border-top-width: 1px; margin: 10px 0px 0px; padding: 10px 0px 0px; position: relative; width: 720px; word-wrap: break-word;">
<div dir="ltr" style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; line-height: 1.5em; position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-size: 16px;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJLJ5feeCekxwjp2IOn_ouCGdzg43BDlyDTz3UjtQzVRhlUrK0adw9WOmJi6Gk6VYLNxAEp60BQPI376cLNIAqr1On-M2d1oEhAgbl1zUr_S7Oj_J8R372l-LdqZrJTjYObuv2PQJZ_XHX/s1600/flash.gif" imageanchor="1" style="clear: left; color: #d12f2f; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em; position: relative; text-decoration: none; word-wrap: break-word;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJLJ5feeCekxwjp2IOn_ouCGdzg43BDlyDTz3UjtQzVRhlUrK0adw9WOmJi6Gk6VYLNxAEp60BQPI376cLNIAqr1On-M2d1oEhAgbl1zUr_S7Oj_J8R372l-LdqZrJTjYObuv2PQJZ_XHX/s1600/flash.gif" style="border: none; height: auto; max-width: 100%; position: relative; word-wrap: break-word;" /></a> </span><span style="font-size: large;">To get OVERALL results for private centers and secondary schools <a href="http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/olevel2014.htm" style="color: #d12f2f; position: relative; text-decoration: none; word-wrap: break-word;" target="_blank">Click here</a></span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;"><br style="position: relative; word-wrap: break-word;" /></span><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJLJ5feeCekxwjp2IOn_ouCGdzg43BDlyDTz3UjtQzVRhlUrK0adw9WOmJi6Gk6VYLNxAEp60BQPI376cLNIAqr1On-M2d1oEhAgbl1zUr_S7Oj_J8R372l-LdqZrJTjYObuv2PQJZ_XHX/s1600/flash.gif" imageanchor="1" style="clear: left; color: #d12f2f; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em; position: relative; text-decoration: none; word-wrap: break-word;"><span style="font-size: large;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJLJ5feeCekxwjp2IOn_ouCGdzg43BDlyDTz3UjtQzVRhlUrK0adw9WOmJi6Gk6VYLNxAEp60BQPI376cLNIAqr1On-M2d1oEhAgbl1zUr_S7Oj_J8R372l-LdqZrJTjYObuv2PQJZ_XHX/s1600/flash.gif" style="border: none; height: auto; max-width: 100%; position: relative; word-wrap: break-word;" /></span></a><span style="font-size: large;">For Mwanza secondary school <a href="http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/CSEE%202014/s0333.htm" style="color: #d12f2f; position: relative; text-decoration: none; word-wrap: break-word;" target="_blank">click here</a><br style="position: relative; word-wrap: break-word;" /><br style="position: relative; word-wrap: break-word;" /><br style="position: relative; word-wrap: break-word;" /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJLJ5feeCekxwjp2IOn_ouCGdzg43BDlyDTz3UjtQzVRhlUrK0adw9WOmJi6Gk6VYLNxAEp60BQPI376cLNIAqr1On-M2d1oEhAgbl1zUr_S7Oj_J8R372l-LdqZrJTjYObuv2PQJZ_XHX/s1600/flash.gif" imageanchor="1" style="clear: left; color: #d12f2f; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em; position: relative; text-decoration: none; word-wrap: break-word;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJLJ5feeCekxwjp2IOn_ouCGdzg43BDlyDTz3UjtQzVRhlUrK0adw9WOmJi6Gk6VYLNxAEp60BQPI376cLNIAqr1On-M2d1oEhAgbl1zUr_S7Oj_J8R372l-LdqZrJTjYObuv2PQJZ_XHX/s1600/flash.gif" style="border: none; height: auto; max-width: 100%; position: relative; word-wrap: break-word;" /></a>For QT <a href="http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/qt2014.html" style="color: #d12f2f; position: relative; text-decoration: none; word-wrap: break-word;" target="_blank">click here</a></span></div>
<div dir="ltr" style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; line-height: 1.5em; position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div dir="ltr" style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; line-height: 1.5em; position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-size: x-large;">Mwanza Secondary School overall performance.</span></div>
<div dir="ltr" style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; line-height: 1.5em; position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;">i). DISTINCTION = 9 MERIT = 29 CREDIT = 47 PASS = 100 </span></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;"> FAIL = 47.</span></span><br />
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;"><br /></span></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;"> ii).Registered 262, Absent 6, Sat 256, Withheld 24, </span></span><br />
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;"> NO-CA 0</span></span><span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large; line-height: 23.9999980926514px;">, Clean 224.</span><br />
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large; line-height: 23.9999980926514px;"><br /></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;"><span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif;">iii)The school is under</span><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"> </span></span><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="background-color: lightyellow;"><span style="color: navy;">CENTRE POSITION OF</span></span></span></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-size: large;"><span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="background-color: lightyellow;"><span style="color: navy;"> CATEGORY(REGION WISE) </span></span><span style="background-color: lightyellow; color: navy;">CENTRE </span></span></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: large;"><span style="background-color: lightyellow; color: navy;"> WITH 40 CANDIDATES OR MORE</span></span><br />
<span style="font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: large;"><span style="background-color: lightyellow; color: navy;"><br /></span></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;">iv).Total passed candidates -185,</span></span><br />
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;"><br /></span></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;">v).Regional position 60/174.</span></span><br />
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;"> </span></span></div>
<div dir="ltr" style="position: relative; word-wrap: break-word;" trbidi="on">
<span style="font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: large;"><span style="line-height: 23.9999980926514px;">vi). National position 521/2322 </span></span></div>
</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-62826665985327863912015-02-03T14:17:00.000-08:002015-02-03T14:17:38.481-08:00KAMPENI ZA UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA MTAA SWEYA ZAANZA.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4QBW0LDHKNh_DAEf_tfx9kZ6u0F3AKxXY4RH0YvCEmsx6JifKN4TvkgdEVnoebmMVwfIBibUDJm2v_Mm14JmWdNgOfXSPIbi3uYLKMPZuJXQSMuhCViOVvqIT0maIuibSIpk37VAaKPTs/s1600/ccm+sweya-5.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4QBW0LDHKNh_DAEf_tfx9kZ6u0F3AKxXY4RH0YvCEmsx6JifKN4TvkgdEVnoebmMVwfIBibUDJm2v_Mm14JmWdNgOfXSPIbi3uYLKMPZuJXQSMuhCViOVvqIT0maIuibSIpk37VAaKPTs/s1600/ccm+sweya-5.jpg" height="240" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">Kiongozi wa CCM kata, <br />akimkaribisha mgombea kwa tiketi<br />ya CCM, mama Mtalo kunadi <br />sera zake na kuomba kura</span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;">Uchanguzi wa mwenykiti wa mtaa Sweya ulioahirishwa kutokana na kufariki Bw. Pius Masome aliyekuwa mmoja wa wagombea kiti hicho kupitia CCM utarudiwa hapo Jumapili ijayo ya tarehe 8, Februari 2015.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Marehemu </span><span style="font-size: large;">Bw. Pius</span><span style="font-size: large;"> </span><span style="font-size: large;">alikuwa kasimama </span><span style="font-size: large;">kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM na mgombea mwenanzake Bw. Fred alisimama kwa tiketi ya CHADEMA.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Kwa bahati mbaya </span><span style="font-size: large;">Bw. Pius</span><span style="font-size: large;"> aliugua siku chache kabla ya uchaguzi</span><br />
<span style="font-size: large;">na siku hiyo uchaguzi ukifanyika alifariki akiwa katika matibabu hospitali ya Bugando kipindi kura zikiendelea kupigwa.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Siku ya Jumapili ya tarehe 1, Februari 2015 CHADEMA ndio walioanza kulipanda jukwaa na kuanza kunadi sera zao na siku iliyofuata ya Jumatatu tarehe 3,Februari 2015 CCM walilipanda jukwaa kuziweka wazi sera zao.</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Hakika safari hii wana Sweya wamekumbwa na changamoto la aina yake tofauti na awali linalotokana na mabadiliko waliyoyafanya wana CCM ya kumsimamisha mgombea mwanamke.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Kwa kura za awali CHADEMA ilikuwa ikiongoza zidi ya CCM katika mtaa huu wa Sweya na walishinda nafasi zote za wajumbe wa mtaa.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Tunachojiuliza ni kumbwa mabadiliko haya yatabadili mwelekeo na msimamo wa wana Sweya wengi waliowapa CHADEMA ushindi wa wajumbe wa serikali ya mtaa?</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Bw. Reverian Mtalo akimnadi mgombea wa CCM ambaye pia ni mkewe alisema, anaweza na ameridhia uamuzi wake huo.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">"Mke wangu amekua kiongozi katika ngazi mbalimbali kwenye vikundi vya kina mama, vya kijamii na vya kidini na aliponijulisha nia yake hii ya kugombea nafasi hii ya uenyekiti wa mtaa sikuwa na wasiwasi wala shaka yeyote,juu ya uamuzi wake huu na nilimruhusu na naamini anaweza" alisema Bw, Mtalo. </span><br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikCm9qUXJ0pgmwsVfGJYH_4w8jzZwXWSsIxriHDbR82fLj5colCrNzlweJsPZ6d9_Xo28WkAcvTB1XxfsCfqKM1-VgTOuVyLYGf5aKrWfhnoCb6xqJ7qtwF2ii7QS8pczU-nZsSRabIphv/s1600/ccm+sweya+-8.jpg" imageanchor="1" style="font-size: x-large; margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEikCm9qUXJ0pgmwsVfGJYH_4w8jzZwXWSsIxriHDbR82fLj5colCrNzlweJsPZ6d9_Xo28WkAcvTB1XxfsCfqKM1-VgTOuVyLYGf5aKrWfhnoCb6xqJ7qtwF2ii7QS8pczU-nZsSRabIphv/s1600/ccm+sweya+-8.jpg" height="480" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="text-align: left;"><span style="font-size: large;">Bw, Mtalo akimnadi mkewe</span></span><span style="font-size: large; text-align: left;">.</span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;">Shangwe na nderemo zilirindima kiwanjani humo pale Bw, Mtalo alipouliza swali,"Wanawake mnaweza hamuwezi?"</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Kikundi cha wacheza ngoma na maonesho ya sarakasi kiliingia uwanjani na kuonesha maonesho, ambayo yalizikonga nyoyo za wasikilza kampeni kisawasawa.</span><br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-GzgdxtPtxMcajDhmMn3tEGG1mEldByRC3qN4gTdAE4tb-e98azSsxAm3yFaewrW2Y1cgCgNd1Q-rfQFbxuICO9l_qkFRqJ8f91oYEvWLcnugZVpT7NJbcSB0FTQEF70-zYBlZ-r1NLvW/s1600/ccm+sweya-4.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-GzgdxtPtxMcajDhmMn3tEGG1mEldByRC3qN4gTdAE4tb-e98azSsxAm3yFaewrW2Y1cgCgNd1Q-rfQFbxuICO9l_qkFRqJ8f91oYEvWLcnugZVpT7NJbcSB0FTQEF70-zYBlZ-r1NLvW/s1600/ccm+sweya-4.jpg" height="484" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">Kikundi cha burudani 'kikijimwayamwaya' kweye kampeni hizi</span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Ukweli ni kwamba kampeni zinaonesha wagombea wa pande zote kuiva kisiasa na kutambua kile wanachokitaka kwani pande zote walimalizia kwa kuomba wananchi kuwapa kura za ndiyo.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Kilichobakia ni uamuzi wa wana sweya ni nani kati ya wagombea hawa kawashawishi kisera na wala sio malumbano ambayo wanaona hayana masilahi kwao.</span><br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-HdJf-d5GxZ1Z0CDA_imNlKg4oj9vcwG8BEQzunif_QVT4xiE8_hRxNCf6T9f7YFLH4YrwKFZw7Y7wvFedVeGrKz5vfBZrJ-Jor4S8PI5KT7q_K0Vpx_7imgnTE10DN8KEvMlL7DUKciO/s1600/ccm++sweya-3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-HdJf-d5GxZ1Z0CDA_imNlKg4oj9vcwG8BEQzunif_QVT4xiE8_hRxNCf6T9f7YFLH4YrwKFZw7Y7wvFedVeGrKz5vfBZrJ-Jor4S8PI5KT7q_K0Vpx_7imgnTE10DN8KEvMlL7DUKciO/s1600/ccm++sweya-3.jpg" height="480" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">Wana Sweya wakimsikiliza mgombea wa CCM kwa makini</span></td></tr>
</tbody></table>
<br />
<span style="font-size: large;">Baadhi ya wana Sweya walisikika wakidai kuwa wanataka kiongozi wa watu, mchapa kazi na mwenye sera zenye mashiko na suala la Chama si msingi MKUU kwao.</span><br />
<div>
<br /></div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-8362522216593939392015-01-25T09:10:00.003-08:002015-01-31T17:57:06.690-08:00MBWA TISHIO KWA WAKAZI WA SWEYA A NA B AULIWA <div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="MsoNormal">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-SLXCi-BaoubXzWU60qyx_yfaz1eUKlznLQGIgW1utbXJ_REQKB63CH_-dawP7oGh0u_EZFAA1XAlyrCE_5SCyApxyysl8M5WL-KpDcEcDAIX3sR_LXGxUxg55pryhkPr4on0np08BUIb/s1600/james+magoti.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-SLXCi-BaoubXzWU60qyx_yfaz1eUKlznLQGIgW1utbXJ_REQKB63CH_-dawP7oGh0u_EZFAA1XAlyrCE_5SCyApxyysl8M5WL-KpDcEcDAIX3sR_LXGxUxg55pryhkPr4on0np08BUIb/s1600/james+magoti.jpg" height="266" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">Mtoto James Magoti akisaidiwa </span><br />
<span style="font-size: large;">na kaka yake kuonesha</span><br />
<span style="font-size: large;"> sehemu aliyoumwa</span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Watoto
watano, mbuzi na mbwa wa Justine Mwenula wang’atwa katika mitaa ya Sweya A na B
Nyegezi, viunga vya Jiji la Mwanza na mbwa anayeshukiwa kuwa na kichaa. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Mbwa huyu
ameanza kung’ata kuanzia Jumamosi ya tarehe 24, Junuari watoto watatu, James
Magoti, Irene Mashaka na aliyejulikana kwa jina moja la Bahati.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"> Mbuzi aliyeng’twa ni wa ndugu John Ngugi na
inasemekana aliuliwa hapo hapo na mbwa huyu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><span style="line-height: 21.466667175293px;">Leo, Jumapili tarehe 25 Januari, 2015, asubuhi, balozi Otieno Kadondi aongoza kundi kubwa la wana Sweya wakiwa wamebeba mikuki, nondo, marungu na magongo kumsaka mbwa huyu.</span></span><br />
<span style="font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUMuEbM74ybg1XagUjJiRhB2XHqeyvIziZ6_DqsDO3Ns4-RKgmA7GYHnEmVxFpEaqNBFVylca8Q1jvWjg5CWdUKE7k-6ph6zzl_GU-lN_wlmrbtAGNQZouvwFPiY1GujHX_ViEi_SCkTrm/s1600/bahati.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUMuEbM74ybg1XagUjJiRhB2XHqeyvIziZ6_DqsDO3Ns4-RKgmA7GYHnEmVxFpEaqNBFVylca8Q1jvWjg5CWdUKE7k-6ph6zzl_GU-lN_wlmrbtAGNQZouvwFPiY1GujHX_ViEi_SCkTrm/s1600/bahati.jpg" height="499" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">Mtoto Bahati na majeraha ya meno ya mbwa mgongoni.</span></td></tr>
</tbody></table>
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Mwenyekiti
mteule ndugu Joseph Masome naye hakuwa nyuma, alishiriki zoezi hili la kumsaka
mbwa huyu aliyetokea kuwa tishio la mtaa wote wa Sweya ndani ya siku hizi
mbili.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Hasira za
wananch kwa mbwa huyu zilipanda zaidi pale mbwa huyu alipong’ata watoto wengine
wawili mmoja mtoto wa Bahati ambaye ni bubu na mwingine ambaye jina lake halikupatikana
kwa uhakika lakini ilidaiwa kuwa ni mjukuu wa Marehemu Chacha Kichele.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Baada ya
msako mkali kuzunguka mitaa yote ya Sweya A na Sweya B wanakijiji walifanikiwa
kumtia mikononi huyumbwa na kumuua hapo
hapo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Katika
harakati za kumsaka mbwa huyu mbwa wengi walionekana kuzagaa ovyo hapa na pale
pasi na kufungiwa ndani kama inavyotakiwa kwa wanaofuga wanyama hawa.<o:p></o:p></span><br />
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Imefahamika pia
kwamba kumezuka kamtindo ka baadhi ya watu kuwaingiza mbwa kwenye gari na
kwenda kuwatupa sehemu za mbali hususani nje ya mji kwa dhana kuwa hawawezi
kujua njia ya kurudi walikokuwa awali..<o:p></o:p></span><br />
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-size: large;"><br /></span></span>
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-size: large;"><br /></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiiXzjN_8akTC1wsU_KL_hNL0ri4A2U-IazwvGSXaW_9nwlbAgS8raVFkiJreDPnw3s93e9v3nhhLzwyqvigWnhIP90vRW-7DTwTLgErbYTnJHOTu0A14YuPOYKYK7Ce5mxxcDu2nt_FPIj/s1600/usakaji+ukiwa+unaendelea+-3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiiXzjN_8akTC1wsU_KL_hNL0ri4A2U-IazwvGSXaW_9nwlbAgS8raVFkiJreDPnw3s93e9v3nhhLzwyqvigWnhIP90vRW-7DTwTLgErbYTnJHOTu0A14YuPOYKYK7Ce5mxxcDu2nt_FPIj/s1600/usakaji+ukiwa+unaendelea+-3.jpg" height="609" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: 18.8888893127441px; line-height: 21.466667175293px; text-align: left;">Wana kijiji katika harakati za kumsaka mbwa nwenye kichaa </span></td></tr>
</tbody></table>
</div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-size: large;">Hali hii
inaonesha kuwa mbwa wanafugwa kiholela na wengi wakiwa hawajachanjwa kuwakinga
na ugonjwa wa kichaa cha mbwa (rabies).</span><span style="font-size: 14pt;"><o:p></o:p></span></span><br />
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Wakati wa
zoezi la kumsaka mbwa huyu, wananchi walisikika wakiilalamikia idara ya mifugo,
jijini Mwanza kwa kushindwa kwake, kutimiza wajibu wake wa kudhibiti ufugaji
holela wa mbwa na kuhimiza uchanjaji wa mbwa kudhibiti ugonjwa wa kichaa cha
mbwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">“Gharama ya
kumchanja mtu akinga’twa na mbwa kumkinga na kichaa cha mbwa ni zaidi ya laki
moja.’’Mmoja wa wasakaji wa mbwa huyu alisikika akisema.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Ukweli
unabakia pale pale kuwa gharama za
kumhudumia mtu anapong’atwa ni kubwa zaidi ya hapo haswa ikizingatiwa kuwa jamaa
na majirani huingiwa na hofu na kushindwa kufanya shughuli zao kama kawaida na kwa kuwa kunakuwepo na upoteaji wa muda mwingi
katika kushughulikia matibabu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<div style="text-align: left;">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Tunaitaka
mamlaka husika kudhibiti kuzagaa kwa
mbwa na paka kiholela, jijini humu hali ambayo hubainishwa kwa kugongwa gongwa mbwa na paka mara kwa mara mabarabarani. <o:p></o:p></span></div>
<br />
<span style="font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi9TLy1nO1bjEOreJKEs6Z7TvStoFxO7anHmW2jbaBhZBjN_MIc8kqrQZvKPSMtc52ZAoKNOVaQwZZM0cPz7wL_jeZsgoAG5gRf7iC1F6d_EvQ3_GsssDGHkeucjUC6zWqBlzbPi9JTjyEO/s1600/Mbwa+aliyeuliwa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi9TLy1nO1bjEOreJKEs6Z7TvStoFxO7anHmW2jbaBhZBjN_MIc8kqrQZvKPSMtc52ZAoKNOVaQwZZM0cPz7wL_jeZsgoAG5gRf7iC1F6d_EvQ3_GsssDGHkeucjUC6zWqBlzbPi9JTjyEO/s1600/Mbwa+aliyeuliwa.jpg" height="432" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">Mbwa aliyeuliwa </span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><span style="line-height: 115%;">Pamoja na udhibiti
huu ni vyema uchanjaji wa mbwa na paka ukawa unafanywa kila mwa</span><span style="line-height: 115%;">ka.</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large; line-height: 115%;">Zoezi hili si
tu kwamba litaleta utulivu bali bado litakuwa
ni njia mojawapo ya kuongeza pato la jiji.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-size: large;">Tatizo hili
laweza kuonekana ni la hapa Sweya lakini laweza kuwa ni kiashiria cha uwepo kwa
tatizo hili sehemu nyingine.</span><span style="font-size: 14pt;"><o:p></o:p></span></span><br />
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-size: large;"><br /></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 14.0pt; line-height: 115%;"><br /></span></div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhpB6XH2Ez-kWyD9xLh-1zjRsR_M2wJHyxeh198AffME3yOz86VGH6LjpYLZkJjsGBn47DjZ4q_0PI-8AZ215DVSVnCqYw4rCkwAU-WgLfsH0icMhjr4sRL3kMuqKMvEyhmPM5id3z-xZd/s1600/balozi+otieno.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhpB6XH2Ez-kWyD9xLh-1zjRsR_M2wJHyxeh198AffME3yOz86VGH6LjpYLZkJjsGBn47DjZ4q_0PI-8AZ215DVSVnCqYw4rCkwAU-WgLfsH0icMhjr4sRL3kMuqKMvEyhmPM5id3z-xZd/s1600/balozi+otieno.jpg" height="424" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">Balozi OTIENO Kadondi aliyehamasisha usakaji wa </span><br />
<span style="font-size: large;">mbwa huyu aliyekuwa tishio la mitaa miwili ya SWEYA.</span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;">Mwisho wa yote mbwa huyu alifukiwa kwenye shimo refu walochimba wana mtaa na kumfukia.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;">Wasiwasi ukabakia kwa wale waloumwa na mbwa huyu juu ya kupatiwa matibabu sahihi na pia kuchunguza mwenendo wa mbwa walioumwa na huyu anayedhaniwa kuwa na kichaa.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjuDJ7LiSUKRuoCq3vZ4ElivTwryG9yA_SV0Cx-P85ePyxYjugH4w9Ttoi9nQ-BsK_dwGN4ZeixbDXh2fwo0JRX6uIcTLL8xf5tP6Yk2sD8U4Ls3nWHvRSyU6lyqjex2uXUVT3gwFWcnL4B/s1600/mbwa+akizikwa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjuDJ7LiSUKRuoCq3vZ4ElivTwryG9yA_SV0Cx-P85ePyxYjugH4w9Ttoi9nQ-BsK_dwGN4ZeixbDXh2fwo0JRX6uIcTLL8xf5tP6Yk2sD8U4Ls3nWHvRSyU6lyqjex2uXUVT3gwFWcnL4B/s1600/mbwa+akizikwa.jpg" height="404" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">'Wananzengo' wakishuhudia akifukiwa <br />aridhini mbwa aliyekuwa tishio kwao</span></td></tr>
</tbody></table>
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-35804570732060038372014-12-25T14:23:00.000-08:002014-12-30T15:43:57.141-08:00INDIA YADAI KUGUNDUA DAWA YA KUTIBU UKIMWI.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifj8tu8FvknRf77OEReq18kXCWcw5YgerI4JqVUfoHI-z0jHdd-c4fznpfbnr6nbr1rcWU9FwlFXDTx5Af5jySX9hO3_mgmkxRGpviaa3ScvDFX3JNGpLX9lFEFo8QWBRt6nrSmQmTZP6r/s1600/national-excellence-award-1.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifj8tu8FvknRf77OEReq18kXCWcw5YgerI4JqVUfoHI-z0jHdd-c4fznpfbnr6nbr1rcWU9FwlFXDTx5Af5jySX9hO3_mgmkxRGpviaa3ScvDFX3JNGpLX9lFEFo8QWBRt6nrSmQmTZP6r/s1600/national-excellence-award-1.jpg" height="197" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue; font-size: small;">Dr. Rashidullah Khan, Mwenyekiti wa Baraza Kuu<br /> la Madawa India (CCIM), New Delhi, India,<br /> akimpatia Afisa Mkuu wa kampuni ya madawa ya<br /> HOOTONE Dr. Sayyed Habib KarimTuzo bora <br />ya kitaifa kwa ajili ya "Utafiti juu ya dawa ya<br />tiba ya VVU na UKMWI " katika mkutano mkuu <br />uliojumuisha wajumbe wote wa 'India Tibbi Congress' <br />uliofanyika huko Mumbai Desemba ya 21, 2013.</span></td></tr>
</tbody></table>
Ni muda wa zaidi ya miaka thelathini sasa toka ugonjwa wa Ukimwi utambulike na tafiti nyingi zimefanywa kutoka kona mbalimbali za dunia kuutafutia tiba na kinga pasipo na mafanikio ya kuridhisha.<br />
<br />
Pamoja na tafiti hizo shirika la afya duniani limekuwa likifuatilia kwa karibu jitihada za tafiti hizi na pengine kuzisimamia au kuzichangia.<br />
<br />
Lakini hali inavyoonekana suala hili kwa upande mmoja limekuwa lina sura ya ushindani ndani yake wa nani awe wa kwanza kuwa kinara wa ugunduzi huu.<br />
<br />
Mashirika mengi ya kitafiti ulimwenguni yamekuwa yakitoa taarifa za tafiti zao zikiwa bado hazijaiva..<br />
<br />
Majaribio yakuthibitisha dawa na chanjo zilizogunduliwa yamefanywa mengi na matokeo yaliyopokelewa ni mengi lakini cha ajabu tunaambiwa chanjo wala tiba haiko karibu kupatikana.<br />
<br />
Lakini matumaini hayapo kwani inadaiwa yanahitajika marekebisho ya mapungufu yanayojitokeza.<br />
<br />
Sababu kuu ya kushindikana kupatikana dawa au chanjo ni madai kwamba kirusi cha UKIMWI si aina moja na pia hujibadili badili haraka kwa kujihami na dawa au chanjo zilizopatikana.<br />
<br />
Kwa maelezo na majaribio ya Wahindi waliyoyaonesha huenda wakawa wamefuzu.kupata Dawa yaUKIMWI. Shuhuda za wagonjwa waliopona zinatia matumaini.<br />
<br />
Katika ripoti ya utafiti wa Dawa yao ya <a href="http://www.hootone.org/pdf/hootoneresearchpaper.pdf"><span style="color: blue;">Unani Anti-HIV Drug</span></a> katika kikao cha kimataifa huko TIANJIN, CHINA tarehe 1-3 Desemba 2006, RIPOTI yao inatia matumaini.<br />
<br />
<div style="text-align: left;">
Cha kushangaza ni kwamba hivi ni kwa nini bado WHO<span style="font-size: xx-small;"> </span>iko kimya hadi sasa kwa taarifa nzuri na za kutia matumaini kama hizi.</div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
<div style="text-align: left;">
Kingine cha ajabu zaidi ni viongozi wa nchi zetu hizi zinzoendelea na wenye nafasi za kifedha kuzidi kukimbilia India kwa matibabu, Au sababu za kumiminikia kwao huko ni kama zile za kwa babu wa Loliondo.</div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
<div style="text-align: left;">
Kama nasi tungekuwa na uwezo nadhani hospitali zetu zingefungwa maana wote tungeishia India kama tulivyojazana kwa babu wa Loliondo.</div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
<div style="text-align: left;">
Waswahili wanasema lisemwalo lipo na kama halipo laja.Wahindi hawataishia kutuokoa kwa usafiri wa bajaji bali nadhani watakuja kuwa magwiji wa masuala ya tiba pia.</div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
<div style="text-align: left;">
Kwa uthibitisho zaidi juu ya uponyaji huu, huu hapa ushuhuda wa mgonjwa wa ukimwi aliyepona kwa dawa hii.</div>
<div style="text-align: left;">
<a href="http://ehmsangi.wen.ru/ush.txt"><span style="color: blue;">BONYEZA HAPA</span></a></div>
<div style="text-align: left;">
<br /></div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-55879579144498152392014-07-25T18:06:00.000-07:002014-07-26T12:49:18.459-07:00 YADAIWA HUSSEIN RASHIDI aka (HUSSEIN MACHOZI) KAPOKEA KICHAPO CHA MBWA NA KUPEWA MASAA 24 KUONDOKA NCHINI KENYA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJT73K8QHi2jFw9oFjAvvJu_k4SdliVeQR5LfXqGcijGf52SdpvX5t49gVy5wwFnR0wgXC6qZE0UmWVZOi3Ya-CO62lYo7_gmeKjf63cGsyd_RvTIxa11EaxkrqZ1E29O7mGR9bbwRXGMw/s1600/hussein.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJT73K8QHi2jFw9oFjAvvJu_k4SdliVeQR5LfXqGcijGf52SdpvX5t49gVy5wwFnR0wgXC6qZE0UmWVZOi3Ya-CO62lYo7_gmeKjf63cGsyd_RvTIxa11EaxkrqZ1E29O7mGR9bbwRXGMw/s1600/hussein.jpg" height="400" width="230" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue;">Hussein Machozi</span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;">Waswahili wanasema ngoma ikilia <st1:city w:st="on">sana</st1:city> haikawii kupasuka. Ni hivi karibuni
mwanamziki wa Kitanzania wa muziki wa kizazi kipya Hussein Rashid kwa jina maarufu Hussein Machozi
ametokea kuvuma sana huko nchini Kenya kwa vibao kadha motomoto kama ‘ nipe’ na
Addicted alivyocheza akishirikiana na mwana dada Size 8 yamemfika ya kumfika
baada ya fumanizi.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;">Habari kutoka kwenye vyombo vya habari vya nchini <st1:country-region w:st="on">Kenya</st1:country-region> zimenukuliwa zikidai kuwa kijana huyu
amefumaniwa na Mke wa Mwanasiasa mashuhuri huko jijini <st1:city w:st="on">Mombasa</st1:city>
<st1:place w:st="on">Kenya,</st1:place> katika Hoteli ambayo jina
halikutajwa na kupokea kichapo na kuamriwa kutoka nchini humo ndani ya saa
ishirini na nne., </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-family: Calibri; font-size: large;">“Even though the news could
not be confirmed as Hussein Machozi had reportedly been ‘deported’ back to <st1:country-region w:st="on">Tanzania</st1:country-region> and his phone went unanswered, in
another hour, a top <st1:city w:st="on"><st1:place w:st="on">Mombasa</st1:place></st1:city>
blog posted the piece blaring it with this long catchy headline</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: 115%; margin-bottom: 10.0pt; mso-layout-grid-align: none; text-autospace: none;">
<span lang="EN" style="font-family: Calibri; font-size: large; line-height: 115%;">“MSANII
HUSSEIN MACHOZI APOKEA KICHAPO CHA MBWA NA KUPEWA MASAA 24 KUONDOKA HAPA NCHINI
<st1:country-region w:st="on"><st1:place w:st="on">KENYA</st1:place></st1:country-region>”.
It sounded astonishing, so damning like a fellow caught doing drugs in <st1:country-region w:st="on"><st1:place w:st="on">Singapore</st1:place></st1:country-region>.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: 115%; margin-bottom: 10.0pt; mso-layout-grid-align: none; text-autospace: none;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: 115%; margin-bottom: 10.0pt; mso-layout-grid-align: none; text-autospace: none;">
<span lang="EN" style="font-family: Calibri; font-size: large; line-height: 115%;">“Msanii
huyu mashuhuri wa bongo flavor leo hii katika hoteli flani ya kitalii hapa
jijini <st1:city w:st="on"><st1:place w:st="on">Mombasa</st1:place></st1:city>
alijipata matatani baada ya kupatikana akiwa na mke wa <a href="http://www.the-star.co.ke/news/article-179879/tz-star-caught-pants-down-mombasa"><span style="color: red;">kiongozi flani mashuhuri</span></a>
wa hapa nchini. Yasemekana mheshimiwa huyu amekua akimkulia timing Machozi bila
mafanikio lakini leo siku arobaini zilitimia kwake msanii huyu mkosa adabu,”
read the Blackstar Entertainment update whose Facebook link had been copied to
the <a href="http://www.ghafla.co.ke/news/music/item/22065-hussein-machozi-allegedly-caught-with-mombasa-politician-s-wife"><span style="color: red;">Pulse editor.</span></a> In a nutshell, the writer was insinuating that Machozi had
been having a secret affair with a top politician’s wife and after learning of
it, the politician had been tracking the two all along until this day when he
‘caught them’.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: 115%; margin-bottom: 10.0pt; mso-layout-grid-align: none; text-autospace: none;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: 115%; margin-bottom: 10.0pt; mso-layout-grid-align: none; text-autospace: none;">
<span lang="EN" style="font-family: Calibri; font-size: large; line-height: 115%;">“Msanii
huyu alipatikana red handed na mke wa kiongozi huyo kwa kitanda na hapo ndipo
masaibu yakamkumba na kuamrishwa aondoke hapa nchini kwa masaa aliopewa,” the
dossier concluded and so with an exclamation: “Je, wewe <st1:place w:st="on">kama</st1:place>
shabiki wake wamshauri vipi?”<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: 115%; margin-bottom: 10.0pt; mso-layout-grid-align: none; text-autospace: none;">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: 115%; margin-bottom: 10.0pt; mso-layout-grid-align: none; text-autospace: none;">
<span lang="EN" style="font-family: Calibri; font-size: large; line-height: 115%;">Some
Facebook responses were as hilarious as the reports. One Job Chilibasi reasoned
that the news would not stop a steamy affair as ‘watakutana huko bongo’ while
Pettie Nashipai added that ‘utamu wa maisha, kipendacho roho dawa...ashapata
Hussein, ashapata yake mbona mwamgeuzia?”<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;">Hivyo ndivyo
habari za ‘MTZ ‘ huyu zimevumishwa katika <span style="color: red;"><a href="http://www.thechoicetz.com/2014/07/exclusiveeeaibuu-msanii-husuin-machozi.html#more"><span style="color: red;">vyombo hivyo</span></a> </span> mbalimali kutoka huko nchini <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Kenya</st1:country-region></st1:place> ambako msanii huyu anavuma. Washabiki wake nchini humo wamefikia kumfananishwa na <a href="http://www.ghafla.co.ke/news/music/item/1949-hussein-machozi-could-be-50cents-look-alike"><span style="color: red;">Mwanamziki mashuhuri wa Kimarekani Curtis Jackson (aka) 50 cents.</span></a><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;"><br /></span></div>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYmiJlqWQlCrMvWVs5CdQMA9BtJL3-91tiDgPH6-P5JsedTxNEJsD4KLFUrR2aGx9odDyeC5KvNMtT6vI9Hjyi_noH-IsjGd3EFPSyMHjOIHLmDdHKRweNmbeQTs6MLpfQUZnJRPjbf_R7/s1600/shu+yunus+omar+2.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><span style="color: black; font-size: large;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYmiJlqWQlCrMvWVs5CdQMA9BtJL3-91tiDgPH6-P5JsedTxNEJsD4KLFUrR2aGx9odDyeC5KvNMtT6vI9Hjyi_noH-IsjGd3EFPSyMHjOIHLmDdHKRweNmbeQTs6MLpfQUZnJRPjbf_R7/s1600/shu+yunus+omar+2.jpg" height="239" width="320" /></span></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">A photo from Shu Omar Yunus in "In a Relationship with Hussein Machozi"</span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;">Kijana huyu
mzaliwa wa Manyoni Singida, mwaka jana 2013 Agosti 28, habari zake za kuuaga ukapere zilitangazwa
katika mitandao ya kijamii kufunga pingu za maisha na mwadada Shu Yunus Omar
raia wa <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Kenya</st1:country-region></st1:place>.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;">Kutokan na
uharaka unaodaiwa ameondokea nao huko <st1:country-region w:st="on">Kenya</st1:country-region>
haifahamiki kama kafanikiwa kaondoka na mkewe ama amemuacha huko <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Kenya.</st1:country-region></st1:place><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;"><st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on"><br /></st1:country-region></st1:place></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;"><st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tunategemea kupata habari zaidi pale muhusika mwenyewe atakapotoa taarifa za kukanusha tuhuma hizi pale atakapojitokeza kusimulia kilichomsibu huko kwa majirani zetu Kenya.</st1:country-region></st1:place></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;"><st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on"><br /></st1:country-region></st1:place></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;"><st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tunategemea takuwa ndiyo sivyo maana, tuhuma kama hizi kwa kijana mwiisilamu katika mwezi mtukufu huu akili inakataa kukubaliana nazo.</st1:country-region></st1:place></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;"><st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on"><br /></st1:country-region></st1:place></span></div>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgzouADng5cnRu1PAAUvaSsErk4l-tAZ9QXWEN2EUw_LJEiN-B4Yz4ujQHE0wwLNwE-6UFMrp0uotPhMQ02IaGR1oAib2ICAuFVImhAu5fE2On4pdKuhycOn6ldZToetcTpGbYbFgj2F5TB/s1600/shu+yunus+omar.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><span style="color: black; font-size: large;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgzouADng5cnRu1PAAUvaSsErk4l-tAZ9QXWEN2EUw_LJEiN-B4Yz4ujQHE0wwLNwE-6UFMrp0uotPhMQ02IaGR1oAib2ICAuFVImhAu5fE2On4pdKuhycOn6ldZToetcTpGbYbFgj2F5TB/s1600/shu+yunus+omar.jpg" height="320" width="213" /></span></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;">Shu Yunus Omari</span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;">Zaidi ya yote mkewe kwa mwonekano </span><br />
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: right; margin-left: 1em; text-align: right;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh3tuZ-MobnyL2ULNaCK8qiZ2RERvGDqFIEn0Vhnt-gwYdU5s2ttl4WvxzXQN5Idc9Rv2dlqy6SnBJpYI-NI8YycOFC5VYbzplK61a0jC8NCPWG_dVNEltQyorLf7cSSmHHpa8qiV_2yP6s/s1600/Husein+machozi.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><span style="color: black; font-size: large;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh3tuZ-MobnyL2ULNaCK8qiZ2RERvGDqFIEn0Vhnt-gwYdU5s2ttl4WvxzXQN5Idc9Rv2dlqy6SnBJpYI-NI8YycOFC5VYbzplK61a0jC8NCPWG_dVNEltQyorLf7cSSmHHpa8qiV_2yP6s/s1600/Husein+machozi.jpg" height="200" width="200" /></span></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="font-size: 13px; text-align: center;"><span style="font-size: large;">Hussein Machozi.</span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
</div>
<span style="font-size: large;">wake ana vigezo vyote vya kumfanya mume kutulia ndani na kuacha michepuko.</span></div>
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;">Kama kweli kachepuka huyo mdada atakuwa si wa kipekee bali ni miss AFRICA.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span lang="EN" style="font-size: large;"> </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Kwa uchache haya ndiyo tunayosikia kumkuta Mzee wa 'Binti Kiziwi' </span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">HAPA pata Kibao kilichoiteka KENYA NZIMA CHA 'Addicted' UTAKIKUBALI ni kikali ile kwelili kweli.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<iframe allowfullscreen='allowfullscreen' webkitallowfullscreen='webkitallowfullscreen' mozallowfullscreen='mozallowfullscreen' width='320' height='266' src='https://www.blogger.com/video.g?token=AD6v5dylAgdrP9_gkx2e9rfbwLdp3c8TQcqS28A8bB--tpch-EAxhhSIJmWqRXnej2wjG0-uLpM4zAPY-ivsovyVkw' class='b-hbp-video b-uploaded' frameborder='0'></iframe></div>
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: large;">Hadi tunaiposti habari hii hali ilikuwa bado ni ya kutatanisha kwamba ni kwele au si kweli. </span><br />
<br />
<span style="font-size: large;">Hofu ya kwamba ni kweli au si kweli inatokana na tabia iliyojitokeza ya wasanii kutumia vyombo vya hahari kujenga umaarufu wao kwa kukubaliana na vyombo hivi kuwapaka matope na kwa njia hii wanatoka kweli kweli. </span><br />
<br />
<br /></div>
</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-59984139013793210432014-07-13T17:16:00.002-07:002014-07-13T17:44:03.401-07:00UJERUMANI YACHUKUA KOMBE LA DUNIA RIO DEGENEIRO 2014 <div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="Gotze wonder goal crowns Germany champions" src="http://img.fifa.com/mm/photo/tournament/competition/02/40/49/86/2404986_xbig-lnd.jpg" height="360" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="640" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: large;"><span style="background-color: white; color: blue; font-family: 'Open Sans', sans-serif; line-height: 20.020000457763672px; text-align: left;">Mario Gotze na 19 kushoto akiwa </span><br style="background-color: white; color: blue; font-family: 'Open Sans', sans-serif; line-height: 20.020000457763672px; text-align: left;" /><span style="background-color: white; color: blue; font-family: 'Open Sans', sans-serif; line-height: 20.020000457763672px; text-align: left;">na Thomas Muller na 13 wakifurahia goli lililommaliza Agentina.</span></span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;">Ujerumani yachukua kombe la dunia kwa mara ya nne huko Rio de Jenairo nchini </span><span style="font-size: large;">Brazil </span><span style="font-size: large;">kwa kuichapa Agentina bao 1-0 katika michuano ya Ishirini ya kombe la Dunia iliyofanyikia huko mwaka huu 2014.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Nakifanya Ujerumani kuwa timu ya kwanza ya Ulaya kulichukua kombe hili likichezewa Amerika ya kusini.</span><br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<span style="font-size: large;">Michuano hii ilianza rasmi siku ya Alhamisi 12 Juni, 2014 kwa mchuano kati ya Brazili na Croatia ambako Brazil iliifunga Croatia kwa tabu mabao matatu kwa moja. </span><img alt="Brazil" src="http://img.fifa.com/images/flags/4/bra.png" /> 3-1<a href="http://img.fifa.com/images/flags/4/cro.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img alt="Croatia" border="0" src="http://img.fifa.com/images/flags/4/cro.png" /></a><br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<h3 style="background-color: white; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #474747; font-family: 'Open Sans', sans-serif; font-weight: 400; height: 50px; line-height: 50px; margin: 0px; padding: 0px 0px 0px 10px;">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: right; font-size: 21px; margin-left: 1em; text-align: right;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img alt="Gotze wonder goal crowns Germany champions" src="http://img.fifa.com/mm/photo/tournament/competition/02/40/49/86/2404986_large-lnd.jpg" height="179" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="320" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: small; line-height: 20.020000457763672px; text-align: left;"><span style="color: blue;">Mario Gotze na 19 kushoto akiwa <br />na Thomas Muller na 13 wakifurahia goli</span></span></td></tr>
</tbody></table>
<span class="h3-wrap" style="border-bottom-color: rgb(71, 71, 71); border-bottom-style: solid; border-width: 0px 0px 1px; box-sizing: border-box; display: table-cell; font-size: 21px; height: 50px; margin: 0px; padding: 0px; width: 988px;">Baada ya dakika 90 timu zota zilikuwa sare, Katika dakika ya 113 ndani ya muda wa nyoneza mchezaji <span style="color: #666666; line-height: 20.020000457763672px;"><span style="font-size: small;">Mario Gotze</span></span><span style="color: #666666; font-size: 13px; line-height: 20.020000457763672px;"> </span>aliipatia goli la pekee na la Ushindi.<br /> <img alt="Germany" src="http://img.fifa.com/images/flags/4/ger.png" /> 1-0 <img alt="Argentina" src="http://img.fifa.com/images/flags/4/arg.png" /> </span><span style="font-size: small;">Wachezaji wa ujeremani wanasubiriwa na kitita cha mamilioni ya Dolla za Kimarekani kama zawadi kwa ushindi huu. </span></h3>
<div>
<span style="font-size: small;"><br /></span></div>
<div>
<br /></div>
<h3 style="background-color: white; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #474747; font-family: 'Open Sans', sans-serif; font-weight: 400; height: 50px; line-height: 50px; margin: 0px; padding: 0px 0px 0px 10px;">
<span style="font-size: small;">
</span></h3>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br /></div>
<div>
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br /></div>
<div>
<span style="font-size: large;">Huku Agentina wakisikitika kukosa Ushindi huu watani wao wa jadi </span><span style="font-size: large;">Brazil </span><span style="font-size: large;">ambao ndiyo wenyeji wa michuano, kwa kuchapwa mabao Saba kwa moja na Wajerumani kimoyomoyo wamekuwa wanafurahia Agentina kupoteza ushindi.</span></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: large;">Brazil ambayo ilitegemewa na wengi kuchukua kombe hili mwaka huu imesikitisha washabiki wake hasa pale ilipopoteza pia ushindi wa nafasi ya Tatu kwa kufungwa na Uholanzi mabao matatu bila </span></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguYZmuCG7-FHN6iuRYrnNbY-jBcIAeXjIWuFYJOd2pQQhaGivSoi-SYZdZ7zg_j6aa5wGjEadRyxtgEEYYldbEI9mvDrUoMXflgIEKPZVGF1IwrqFvNE0upZztUb91HGfQIQpru7zoQrt0/s1600/brazil+coach.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguYZmuCG7-FHN6iuRYrnNbY-jBcIAeXjIWuFYJOd2pQQhaGivSoi-SYZdZ7zg_j6aa5wGjEadRyxtgEEYYldbEI9mvDrUoMXflgIEKPZVGF1IwrqFvNE0upZztUb91HGfQIQpru7zoQrt0/s1600/brazil+coach.jpg" height="360" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue; font-size: small;">Kocha wa Timu y Brazili Luiz Filipe Scolari</span></td></tr>
</tbody></table>
</div>
<div>
<span style="font-size: large;">Wakati Kocha wa Timu ya Brazil <span style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', sans-serif; line-height: 18px;"> </span><span style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', sans-serif; line-height: 18px;">Luiz Felipe Scolari</span><span style="background-color: white; color: #666666; font-family: 'Open Sans', sans-serif; line-height: 18px;"> akisikitika kupoteza kazi mwanzake </span></span><span style="background-color: white; color: #2e2e2e; font-family: 'Open Sans', sans-serif; line-height: 24px;"><span style="font-size: large;">Louis van Gaal anasherehekea ushindi</span></span></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgS8zWpM-lCtmKULqlzU18D-2SfvAzL_WbVOJNGaJwNnh8HSzeY48cL4E7VPqjTG4rIIwVNNiVbPHdQqW-DbyvbUseTOdJ1R1uziAuhjVRaezwP5ZYw6nKO-Aco0X8sGoqSE3WgL3_4B5ZZ/s1600/netherland+coach.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgS8zWpM-lCtmKULqlzU18D-2SfvAzL_WbVOJNGaJwNnh8HSzeY48cL4E7VPqjTG4rIIwVNNiVbPHdQqW-DbyvbUseTOdJ1R1uziAuhjVRaezwP5ZYw6nKO-Aco0X8sGoqSE3WgL3_4B5ZZ/s1600/netherland+coach.jpg" height="360" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue; font-size: large;">Kocha wa Uholanzi Louis Gaal akipongeza Wachezaji wake</span></td></tr>
</tbody></table>
Kuona video <a href="https://www.google.co.tz/webhp?sourceid=chrome-instant&ion=1&espv=2&ie=UTF-8#q=final%20fifa%20world%20cup%202014">BOFYA HAPA</a></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<div>
<br /></div>
<h3 style="background-color: white; border: 0px; box-sizing: border-box; color: #474747; font-family: 'Open Sans', sans-serif; font-size: 21px; font-weight: 400; height: 50px; line-height: 50px; margin: 0px; padding: 0px 0px 0px 10px;">
<br /><span class="h3-wrap" style="border-bottom-color: rgb(71, 71, 71); border-bottom-style: solid; border-width: 0px 0px 1px; box-sizing: border-box; display: table-cell; height: 50px; margin: 0px; padding: 0px; width: 988px;"><span style="font-size: xx-small;"><br /></span></span></h3>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-7894631287779119232014-07-09T16:01:00.002-07:002014-07-09T16:01:31.739-07:00KIVUKO DALADALA CHAZINDULIWA LEO HII JIJINI MWANZA<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVKOm75RMh3d0XMkPD288L1ocVBjQmTqfPQEfxTG8z3s4gLm3rzPcBchDtj48SWbXCfHiT5rAUubbVohD74V5nCgGo4fPIq-Tq-t_iykuU3e_kbHy415X_myTUsU2dQa2nOz43XCWv6Qb7/s1600/kivuko-1.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVKOm75RMh3d0XMkPD288L1ocVBjQmTqfPQEfxTG8z3s4gLm3rzPcBchDtj48SWbXCfHiT5rAUubbVohD74V5nCgGo4fPIq-Tq-t_iykuU3e_kbHy415X_myTUsU2dQa2nOz43XCWv6Qb7/s1600/kivuko-1.JPG" height="368" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue;"><b>MV TEMESHA</b></span></td></tr>
</tbody></table>
Waziri wa Ujenzi <span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">Dkt. John Pombe Magufuli leo hii Jumatano ya tarehe 9 julai 2014, majira ya saa tatu asubuhi azindua kivuko kitakachofanya kazi kama daladala ya kusafirisha abiria kupitia majini kwa lengo la kukabiliana na msongamano wa magari jijini hapa kutokana na kuwa na njia moja tu ya kuingia na kutoka katika jiji hili. </span><br />
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">Kivuko hiki kijulikanacho kwa jina la MV TEMESHA injini yake ina 'horse power' kubwa ambayo itakiwezesha kwenda kasi na kuweza kubeba kwa wakati mmoja mzigo wa tani 65 ambao ni sawa na abiria 80 na magari madogo madogo sita.</span><br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgE5jCin6ShBCyYqsSxg26sV6LNjYIE2ayAkS8PxZs_eXhVG0WahH-8L4ayZY9565GK09y00iyR6bdKvspIMxjeFsfamXh-4oACIVYon4WwhLBNrFpMK-sXGQJoU-Ytf5BLLwfjnChjIIcE/s1600/kivuko+ngoma.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgE5jCin6ShBCyYqsSxg26sV6LNjYIE2ayAkS8PxZs_eXhVG0WahH-8L4ayZY9565GK09y00iyR6bdKvspIMxjeFsfamXh-4oACIVYon4WwhLBNrFpMK-sXGQJoU-Ytf5BLLwfjnChjIIcE/s1600/kivuko+ngoma.jpg" height="426" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue; font-size: small;"><b>Kikundi cha Ngoma kikitoa Burudani katika Uzinduzi huu</b></span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">Kivuko hiki ambacho uzinduzi wake unafanywa leo hii hapa Sweya, Nyegezi nje kidogo ya jiji la Mwanza kinatarajiwa kufanya safari zake kuanzia wiki ijayo ambazo zitanzia Luchelele, kupitia Sweya, Butimba, mkuyuni, Igogo, Mjini hadi Kirumba, lengo likiwa ni kupunguza foleni za magari jijini hapa cha kufurahisha zaidi ni kwamba, imedaiwa wanafunzi watasafiri bure alimradi tu wawe na vitambulisho.</span><br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9jrXzKXHjSU64nWQwPZGew-EEzFmaECmVWnWMQKYqMfjGgb_WD6-8ZriPDM3AR7ARnGoJP44bHJ_V-68L2PwPvxJ8PzqONs3IIjxBJerM85cWJQcsZ4NMyhZwH4h18GZTXLUJ3AAraBNF/s1600/kivuko+magufuli.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9jrXzKXHjSU64nWQwPZGew-EEzFmaECmVWnWMQKYqMfjGgb_WD6-8ZriPDM3AR7ARnGoJP44bHJ_V-68L2PwPvxJ8PzqONs3IIjxBJerM85cWJQcsZ4NMyhZwH4h18GZTXLUJ3AAraBNF/s1600/kivuko+magufuli.jpg" height="427" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><h2 style="background-color: white; bottom: 50px; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; margin: 16px 0px 0px 206px; overflow: hidden; padding: 0px; text-align: left;">
<span style="color: blue; font-size: small; font-weight: normal;"><span itemprop="name">Dk.John Pombe Magufuli </span>Akiteta na Wenyeji wake</span></h2>
</td></tr>
</tbody></table>
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">Kabla ya ufunguzi wa kivuko hiki </span><span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">Dk.John Pombe Magufuli</span><span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;"> </span><span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">alitoka katika kukagua mradi </span><span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">wa barabara ya kutoka Usagara hadi Kisesa </span><span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">mkoani humu kwa lengo lile lile la kupunguza msongamano wa magari katika jiji hili. Barabara hii ni ya urefu wa kilometa 16.7 na inajengwa kwa kiwango cha lami. </span><br />
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">Barabara hii na kivuko hiki hakika vitawezesha ufikaji katika kona yeyete ile katika jiji hili kwa wepesi zaidi.</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;"><br /></span>
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">Habari toka wizara hii zimeeleza pia kwamba kesho, Waziri huyu ambaye ni mmoja wa Mawaziri wanopigiwa mfano miongoni mwa Mawaziri wachache wachapaka kazi na hodari katika nchi hii ataenda mkoani Mara kukagua barabara ya Makutano - Nata na Mugumu yenye urefu wa kilomita 50. </span><br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgBcOf9OnbQWkuUHgaJO7WOvcDSfMRarLDUyHH9J5YsLIRHTSjpo54B3JkrqNPMO0uX5xb7l_71yrsrMfqPPrgu_sZaDY0VhdOeS8kiEIlaaryVCqVJyAozdvgzyapxCz6L7dUgvxBcKPmM/s1600/kivuko+mkuu+wa+mkoa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgBcOf9OnbQWkuUHgaJO7WOvcDSfMRarLDUyHH9J5YsLIRHTSjpo54B3JkrqNPMO0uX5xb7l_71yrsrMfqPPrgu_sZaDY0VhdOeS8kiEIlaaryVCqVJyAozdvgzyapxCz6L7dUgvxBcKPmM/s1600/kivuko+mkuu+wa+mkoa.jpg" height="426" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue; font-size: small;">Mkuu wa mkoa akitoa neno katika ufunguzi huu</span></td></tr>
</tbody></table>
<span style="background-color: white; color: #1c2a47; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif;">Aidha kesho hiyo hiyo anatarajiwa kuzindua kivuko kingine cha MV MARA huko Mkoani Mara kitakachofanya safari zake kati ya Iramba na Majita na baada ya uzinduzi huu atafanya mkutano wa hadhara eneo la mwibara ikiwa ni sehemu ya kufanya ukaguzi wa mradi wa barabara ya Nyamuswa- Bunda-Kisorya. na Nansio yenye urefu wa kilomita 51.</span><br />
<br />
Imedawa pia kuwa serikali katika azma yake ya kupunguza kero za usafiri kwa wananchi wake inatarajia kuanzisha kivuko kingine kama hivi huko jijini Dar es salaam kitakachofanya safari kati ya Dar es salaam na Bagamoyo.<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_zREeO4giH2szZeD3eZ1C1eYmZ9T4qHTsKav3RoyM0pRIe6F0qNXioNhewuwFjqXBwxI0aNMnLm1DVzH-e7gZ8P5v6wiwk-8t4q2QGK2DTpIwDQjkHLGhyphenhyphenxQ_6BFMUefxPF7dSuX3nDVY/s1600/kivuko+wananchi+wakibadilishana+hili+na+lile.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_zREeO4giH2szZeD3eZ1C1eYmZ9T4qHTsKav3RoyM0pRIe6F0qNXioNhewuwFjqXBwxI0aNMnLm1DVzH-e7gZ8P5v6wiwk-8t4q2QGK2DTpIwDQjkHLGhyphenhyphenxQ_6BFMUefxPF7dSuX3nDVY/s1600/kivuko+wananchi+wakibadilishana+hili+na+lile.jpg" height="426" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><b><span style="color: blue; font-size: small;">Wananchi wakibadilishana hili na lile kabla ya uzinduzi</span></b></td></tr>
</tbody></table>
Kweli hizi ni juhudi za wazi za serikali hii ya awamu ya nne katika kuwajali wananchi wake.Yule atakayekuwa anabeza juhudi hizi hakika atakuwa ni yule asiyetoridhika kwa lolote na mwenye kujaa tamaa na wivu au uchu wa kitu fulani.Waswahili wanasema asiyeridhika kwa kidogo hata kikubwa hakitamridhisha, Hongera serikali ya awamu ya nne kwa kujali wananchi,<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0VSfs6cVLza9fQ3MMgY7xdVqqInTGXA3yIO25EcfZTbYHTA5QhagWjUeSRpHSHb15cYtOQlmWp-FatNyNjtDsbrFu-dObG20eS2vqmZXdOe__sG0vHrXZ22H847rOdrGjBxxomDTQYeTV/s1600/kivuko+watazamaji.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0VSfs6cVLza9fQ3MMgY7xdVqqInTGXA3yIO25EcfZTbYHTA5QhagWjUeSRpHSHb15cYtOQlmWp-FatNyNjtDsbrFu-dObG20eS2vqmZXdOe__sG0vHrXZ22H847rOdrGjBxxomDTQYeTV/s1600/kivuko+watazamaji.jpg" height="427" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><b><span style="color: blue; font-size: small;">Wananchi wakimiminika eneo hili kushuhudia uzinduzi huu</span></b></td></tr>
</tbody></table>
Ombi kwako Mheshimiwa Magufuli ni kukuomba utukumbuke na sisi wakule Mwanga Mkoani Kilimanjaro kwa barabara ya Kichwa Ng'ombe kupitia Kwakoa Kigonigoni-Butu -Jipe kutokezea Kifaru. Barabara hii ina umuhimu sana kwani itakuwa ni lango la kuunganisha nchi yetu na jirani zetu Kenya ukiacha ile ya Mwanga-Usangi- Ugweno. Pia itasaitia wagonjwa kufika kwenye hospitali hii kubwa inayojenwa hapo Kwakoa ambayo itakuwa ya msaada mkubwa kwa Watanzania na wale kutoka nchi ya jirani Kenya.</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-90549652109386476562014-07-05T13:25:00.001-07:002014-07-07T11:05:37.351-07:00Tiba Mbadala ya SUKARI type 2 - Na Mwl E.H.Msangi<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiw32-TkSNOWOe4X3hohjh7kcopXWeBILLYLAP-opwdgNTRYwaqgpWVXUQ6uR5kST5lqPVw6gq1SJJVfC8zXCt60zP4DTLb47fPAZboIlUJGVO6Cmpp1P04qGouOfKQJm3oTNxp_x4qVgsl/s1600/vlcsnap-2014-07-07-10h43m11s208.png" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiw32-TkSNOWOe4X3hohjh7kcopXWeBILLYLAP-opwdgNTRYwaqgpWVXUQ6uR5kST5lqPVw6gq1SJJVfC8zXCt60zP4DTLb47fPAZboIlUJGVO6Cmpp1P04qGouOfKQJm3oTNxp_x4qVgsl/s1600/vlcsnap-2014-07-07-10h43m11s208.png" height="180" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Aloe verra plant</td></tr>
</tbody></table>
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="270" src="//www.youtube.com/embed/E_GsvzG7ooc" width="480"></iframe></div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-67602224420432455662014-06-29T12:33:00.000-07:002014-06-29T12:41:23.474-07:00(BREAK NEWS) RATIBA YA MTIHANI YA KIDATO CHA NNE, CSEE 2014 YATOLEWA.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBqcubl4rq2o7iVilHriI-CeNQCkfHoVg5PMcDDKUDRbnHzvIbkDp97RPvMlUv_Eeh8Ca5HmEjKMfT0r-ZSTaCWlSsJpib8z0VafToxCP5XtiAp4CWCW4wPSiKgtPPhDuyuYBBqE6ZBMUI/s1600/top_logo.gif" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBqcubl4rq2o7iVilHriI-CeNQCkfHoVg5PMcDDKUDRbnHzvIbkDp97RPvMlUv_Eeh8Ca5HmEjKMfT0r-ZSTaCWlSsJpib8z0VafToxCP5XtiAp4CWCW4wPSiKgtPPhDuyuYBBqE6ZBMUI/s1600/top_logo.gif" height="320" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: small; text-align: left;"><span style="color: blue;">RATIBA YA MITIHANi CSEE 2014</span></span></td></tr>
</tbody></table>
<br />
RATIBA YA MTIHANI YA KIDATO CHA NNE (CSEE) MWAKA HUU INAANZA RASMI JUMATATU OKTOBA 06, 2014, NA MTIHANI WA MAJARIBIO WA CHAKULA NA LISHE (<span style="color: blue;">051/2 FOOD AND NUTRITION PRACTICAL </span>) NA KUMALIZIKA IJUMAA, NOVEMBER 28,2014.<br />
<br />
<span style="font-size: large;">Mwaka huu mwanafunzi atakaye tumia namba ya mwanafunzi mwingine,</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">ama kimakosa au kwa kudhamiria jambo hili litakuwa ni kosa la kumfutia mwanafunzi huyo mitihani yake yote.</span><br />
<span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Kwa kupata ratiba hii na maagizo kwa watahiniwa ;</span><br />
<br />
<b></b>
<b><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggfNau5r5AZt69QNAWHeCsNnr7CRJJWGfNKS7g7URs4n9geLde9Bq0rFvjYXJhzjLrJajknGs8dmPeylMeKKrZ8jzcdOTEtdJh1wkggA-lG0Gaf6KJxElMP3mtyALL881lotLHrm3NaUe_/s1600/flash.gif" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggfNau5r5AZt69QNAWHeCsNnr7CRJJWGfNKS7g7URs4n9geLde9Bq0rFvjYXJhzjLrJajknGs8dmPeylMeKKrZ8jzcdOTEtdJh1wkggA-lG0Gaf6KJxElMP3mtyALL881lotLHrm3NaUe_/s1600/flash.gif" /><b><b><span style="font-size: large;"></span></b></b></a><b><b><span style="font-size: large;"><a href="http://www.necta.go.tz/matangazo/timetable_csee2014.pdf">Bofya hapa.</a></span></b></b></b></div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-78660948789349056452014-06-28T16:47:00.001-07:002014-06-28T16:53:59.958-07:00MAHABUSU GEITA WALAZIMISHA KUSIKILIZWA KWA KUVUA NGUO.<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="text-align: justify;">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhoq1QeIZ3G0JSIZa8FWK7b-gH2b0gYz8LcsxcVkuMTtkrKWtONRM2k9fdhjqxSRoLlOScCh7cNVRiCUH4j0X-S8-DKFLoZekzZnjGH_N1c8BdJK67PDtSTjrDFfpOXyjB1M3XSCCwNfhXn/s1600/mahakama+mei+mosi+mwanza.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhoq1QeIZ3G0JSIZa8FWK7b-gH2b0gYz8LcsxcVkuMTtkrKWtONRM2k9fdhjqxSRoLlOScCh7cNVRiCUH4j0X-S8-DKFLoZekzZnjGH_N1c8BdJK67PDtSTjrDFfpOXyjB1M3XSCCwNfhXn/s1600/mahakama+mei+mosi+mwanza.jpg" height="266" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue;">Gari la Idara ya Mahakama MEI mosi jijini Mwanza</span>.</td></tr>
</tbody></table>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">SIKU ya Jumatano 25,Juni 2014 mahabusu tisa wa gereza la Wilaya ya Geita mkoani hapo wavua nguo hadharani mbele ya Mahakama ya Wilaya kwa madai ya kucheleweshwa kusikilizwa kwa shauri lao.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg2uPwC9tXDf2eo1oelg5ZRcPI0u2c4ybgJE9yy-GKamjZZxq1q6BkVEE-RBaCs8TpLmf221NSJO8AtusOrrfFeghfSSYf6qBiqLpUMQU-H6Z9zOxqVT0zxGlM9c3WbZQtm9jFyqS6xrIZX/s1600/MAHABUSU+AVUA+NGUO+1.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg2uPwC9tXDf2eo1oelg5ZRcPI0u2c4ybgJE9yy-GKamjZZxq1q6BkVEE-RBaCs8TpLmf221NSJO8AtusOrrfFeghfSSYf6qBiqLpUMQU-H6Z9zOxqVT0zxGlM9c3WbZQtm9jFyqS6xrIZX/s1600/MAHABUSU+AVUA+NGUO+1.jpg" height="212" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="color: blue;">Mahabusu aliyechujua nguo jijini MWANZA.</span>.</td></tr>
</tbody></table>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Kutokana na sakata hili uongozi wa serikali kesho yake walilazimika kwenda gerezani hapo kukutana nao.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Maofisa waliowatembelea mahabusu hao walitoka mahakama ya wilaya, ofisi ya mwanasheria wa serikali pamoja na ofisa wa upelelezi wa makosa ya jinai wa mkoa.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juzi, Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Geita, Desideric Kamugisha, alisema walilazimika kufanya mazungumzo na mahabusu hao kuhusiana na malalamiko yao ya kutotendewa haki.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Alisema baadhi ya malalamiko hayo ni kucheleweshwa kwa upelelezi wa kesi zao hususani za mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha, huku baadhi ya wafungwa wakidai kuhukumiwa adhabu kubwa zisizolingana na makosa husika na kutokupata fursa ya kukata rufaa.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">“Tumekubaliana nao na kuwataka waorodheshe malalamiko yao yote ambayo wameyataja mbele yetu wakiainisha namba ya shauri, mwaka pamoja na mahakama husika.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">“Kazi hiyo iliaanza tangu juzi, kwa hiyo matokeo yatapatikana muda si mrefu kuanzia sasa, ili kumaliza kero hii,” alisema.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Kamugisha aliongeza kwamba kwa mujibu wa mwongozo wa kusikiliza kesi kwa mwaka, mahakama inatakiwa kusikiliza mashauri yasiyopumgua 250. </span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Kwa mujibu wa kauli yake alisema, pamoja na uhaba wa mahakimu wamesikiliza kesi 436 tangu Januari hadi Mei mwaka huu.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Alibainisha kuwa kuna hakimu mmoja tu wa wilaya na wawili wa mahakama ya mwanzo.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Mkuu wa Gereza la Geita, Joseph Mbilinyi, alisema wameanza kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa katika mazungumzo hayo, ili kuondoa malalamiko hayo.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Wakili wa Serikali Mkoa wa Geita, Mwasimba Hezeroni, alisema kuwa changamoto walizopata walipotembelea gerezani humo watazifanyia kazi kwa muda muafaka, na akataka kila upande utekeleze kazi zake kwa wakati kwa maana ya mahakama, mwanasheria wa serikali pamoja na ofisi ya upelelezi ya mkoa.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Mahabusu hao walichukua hatua hiyo juzi asubuhi muda mfupi baada ya kutoka mahakamani bila kesi zao kusikilizwa na kulazimishwa kupanda kwenye Karanding la polisi kurudishwa mahabusu.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Hili ni tukio la pili kutokea kufuatia sakata jingine kama hili lilotokea katika mahakama ya hakimu mkazi hapa jijini Mwanza.Kwa madai kama hayo hayo ya kucheleweshewa kusikilizwa.</span></span></div>
<div>
<span style="color: #5e6066; font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSuudCpnkt1pjMVoFf2SvuBQyR8aQDni3dnWCvWkvsCtduCZx7CGwecYM9hJZv9_ik8N5-hffsPhttEgpdNGX9HbwR43fkf30lIhtbesGw9_fLunSUleF3-fT-oposm0ilr8up_i1N7Ru3/s1600/mahabusu+uchi+geita.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSuudCpnkt1pjMVoFf2SvuBQyR8aQDni3dnWCvWkvsCtduCZx7CGwecYM9hJZv9_ik8N5-hffsPhttEgpdNGX9HbwR43fkf30lIhtbesGw9_fLunSUleF3-fT-oposm0ilr8up_i1N7Ru3/s1600/mahabusu+uchi+geita.jpg" height="320" width="216" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="background-color: white; color: blue;">Mahabusu aliyechujua nguo jijini ARUSHA</span></td></tr>
</tbody></table>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Kule Arusha mwezi Aprili mwaka huu huu <a href="http://swahilivilla.blogspot.com/2014/05/mahabusu-wavua-nguo-kupinga-wenzao.html#more">mahabusu mmoja, </a></span></span><span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><a href="http://swahilivilla.blogspot.com/2014/05/mahabusu-wavua-nguo-kupinga-wenzao.html#more">'alisandura'</a> nguo zake hadhani mbele ya Mahakama jijini humo akiwa na mwenzake wakidai wenzao </span></span><span style="background-color: white; font-family: Georgia, Utopia, 'Palatino Linotype', Palatino, serif; line-height: 23.799999237060547px;"><span style="font-size: large;">Dharam Patel (26) na Nivan Patel (20) wanaodaiwa kukamatwa na kete 173 za heroini na misokoto 300 ya bangi, Aprili mwaka huu </span></span><span style="font-family: Times, 'Times New Roman', serif; font-size: large; line-height: 18px;">kuachiliwa ili hali makosa yao ni mamoja.</span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Tatizo hili la mahabusu kuchujua nguo hadharani tuite ni dalili za uonezi kukithiri hapa nchini ama ni wananchi kujua haki zao au ni nini?Hii yaweza kuwa ni dalili ya jambo baya</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Lakini waswahili wanasema panapofuka moto pana moto.Kuwa mahabusu si lazima huyo mhusika kuwa ni mwenye hatia. Wako waliohukumiwa ikaja bainika kwamba waliohukumiwa kimakosa lakini walipokata rufaa waliwekwa huru.Parole imewanusuru wengi waliotiwa hatiani kimakosa.</span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;"><br /></span></span></div>
<div>
<span style="font-family: Times, Times New Roman, serif; font-size: large;"><span style="line-height: 18px;">Haki isipotendeka katika jamii ndicho chanzo cha jamii kurudi nyuma kimaendeleo na ni chanzo kikuu cha chuki miongoni mwa wana jamii.Haki tuilinde WATANZANIA kwa maendeleo ya nchi yetu.Upotevu wa haki ni katika jamii ni dalili ya uwepo wa Rushwa iliyokithiri.</span></span></div>
</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-542803355222413386.post-44674164893613718682014-06-28T06:26:00.000-07:002014-06-28T08:53:55.669-07:00BRAZIL na CHILE, COLOMBIA na URUGUAY Dimbani LEO<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvB81gmhcVKycSzbC7cEicuEi7JPXhFAUpYgBBUXjkgAhMrvyy10szKWLRN7ohLnz2A0TDhDSeBEjgZBMyXNk0h58_JS9leeik01tHHmGuCpPAr1SOChHDi3F8Ic6tF6ujvgbbOpqU5x3x/s1600/fifa-world-cup-2014-clip-art-7.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvB81gmhcVKycSzbC7cEicuEi7JPXhFAUpYgBBUXjkgAhMrvyy10szKWLRN7ohLnz2A0TDhDSeBEjgZBMyXNk0h58_JS9leeik01tHHmGuCpPAr1SOChHDi3F8Ic6tF6ujvgbbOpqU5x3x/s1600/fifa-world-cup-2014-clip-art-7.png" height="640" width="476" /></a></div>
<span style="font-size: large;">Orodha ya nchi ambazo michuano ya kombe la Dunia limefanyikia tokea kuanza kwake 1930 hadi mwaka 2030.Ifuatayo ni orodha hii.</span><br />
<br />
<h2 style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: none; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; border-bottom-color: rgb(170, 170, 170); border-bottom-style: solid; border-bottom-width: 1px; font-family: 'Linux Libertine', Georgia, Times, serif; font-weight: normal; line-height: 1.3; margin: 1em 0px 0.25em; overflow: hidden; padding: 0px;">
<span style="font-size: large;">Orodha ya nchi waandaaji toka 1930- 2022 na nchi iliyochukua kombe hilo kipindi hicho</span></h2>
<table class="wikitable sortable jquery-tablesorter" style="background-color: #f9f9f9; border-collapse: collapse; border: 1px solid rgb(170, 170, 170); color: black; font-size: 14px; margin: 1em 0px;"><thead style="font-family: sans-serif; line-height: 22.399999618530273px;">
<tr><th class="headerSort" role="columnheader button" style="background-color: #f2f2f2; background-image: url(data:image/gif; background-position: 100% 50%; background-repeat: no-repeat; border: 1px solid rgb(170, 170, 170); cursor: pointer; padding: 0.2em 21px 0.2em 0.2em; text-align: center;" tabindex="0" title="Sort ascending">Year</th><th class="headerSort" role="columnheader button" style="background-color: #f2f2f2; background-image: url(data:image/gif; background-position: 100% 50%; background-repeat: no-repeat; border: 1px solid rgb(170, 170, 170); cursor: pointer; padding: 0.2em 21px 0.2em 0.2em; text-align: center;" tabindex="0" title="Sort ascending">Host</th><th class="headerSort" role="columnheader button" style="background-color: #f2f2f2; background-image: url(data:image/gif; background-position: 100% 50%; background-repeat: no-repeat; border: 1px solid rgb(170, 170, 170); cursor: pointer; padding: 0.2em 21px 0.2em 0.2em; text-align: center;" tabindex="0" title="Sort ascending">Winner</th></tr>
</thead><tbody style="font-family: sans-serif; line-height: 22.399999618530273px;">
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1930_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1930 FIFA World Cup">1930</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/23px-Flag_of_Uruguay.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/35px-Flag_of_Uruguay.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/45px-Flag_of_Uruguay.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Uruguay" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Uruguay">Uruguay</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/23px-Flag_of_Uruguay.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/35px-Flag_of_Uruguay.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/45px-Flag_of_Uruguay.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Uruguay" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Uruguay">Uruguay</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1934_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1934 FIFA World Cup">1934</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="1000" data-file-width="1500" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg/23px-Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg/35px-Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg/45px-Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Italy" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Italy">Italy</a></td><td rowspan="2" style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="1000" data-file-width="1500" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg/23px-Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg/35px-Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg/45px-Flag_of_Italy_%281861-1946%29.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Italy" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Italy">Italy</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1938_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1938 FIFA World Cup">1938</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/23px-Flag_of_France.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/35px-Flag_of_France.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/45px-Flag_of_France.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/France" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="France">France</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;">1942</td><td rowspan="2" style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><i>Cancelled</i> due to <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/World_War_II" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="World War II">World War II</a></td><td rowspan="2" style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;">No Winner</td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;">1946</td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1950_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1950 FIFA World Cup">1950</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="504" data-file-width="720" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/22px-Flag_of_Brazil.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/33px-Flag_of_Brazil.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/43px-Flag_of_Brazil.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="22" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Brazil" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Brazil">Brazil</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/23px-Flag_of_Uruguay.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/35px-Flag_of_Uruguay.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fe/Flag_of_Uruguay.svg/45px-Flag_of_Uruguay.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Uruguay" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Uruguay">Uruguay</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1954_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1954 FIFA World Cup">1954</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="1000" data-file-width="1000" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f3/Flag_of_Switzerland.svg/16px-Flag_of_Switzerland.svg.png" height="16" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f3/Flag_of_Switzerland.svg/24px-Flag_of_Switzerland.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f3/Flag_of_Switzerland.svg/32px-Flag_of_Switzerland.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="16" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Switzerland" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Switzerland">Switzerland</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="1000" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/23px-Flag_of_Germany.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/35px-Flag_of_Germany.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/46px-Flag_of_Germany.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/West_Germany" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="West Germany">West Germany</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1958_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1958 FIFA World Cup">1958</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="1000" data-file-width="1600" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/4/4c/Flag_of_Sweden.svg/23px-Flag_of_Sweden.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/4/4c/Flag_of_Sweden.svg/35px-Flag_of_Sweden.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/4/4c/Flag_of_Sweden.svg/46px-Flag_of_Sweden.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Sweden" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Sweden">Sweden</a></td><td rowspan="2" style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="504" data-file-width="720" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/22px-Flag_of_Brazil.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/33px-Flag_of_Brazil.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/43px-Flag_of_Brazil.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="22" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Brazil" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Brazil">Brazil</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1962_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1962 FIFA World Cup">1962</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="1000" data-file-width="1500" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/78/Flag_of_Chile.svg/23px-Flag_of_Chile.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/78/Flag_of_Chile.svg/35px-Flag_of_Chile.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/78/Flag_of_Chile.svg/45px-Flag_of_Chile.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Chile" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Chile">Chile</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1966_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1966 FIFA World Cup">1966</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="480" data-file-width="800" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/be/Flag_of_England.svg/23px-Flag_of_England.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/be/Flag_of_England.svg/35px-Flag_of_England.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/be/Flag_of_England.svg/46px-Flag_of_England.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/England" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="England">England</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="480" data-file-width="800" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/be/Flag_of_England.svg/23px-Flag_of_England.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/be/Flag_of_England.svg/35px-Flag_of_England.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/be/Flag_of_England.svg/46px-Flag_of_England.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/England" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="England">England</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1970_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1970 FIFA World Cup">1970</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="800" data-file-width="1400" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/Flag_of_Mexico.svg/23px-Flag_of_Mexico.svg.png" height="13" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/Flag_of_Mexico.svg/35px-Flag_of_Mexico.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/Flag_of_Mexico.svg/46px-Flag_of_Mexico.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Mexico" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Mexico">Mexico</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="504" data-file-width="720" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/22px-Flag_of_Brazil.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/33px-Flag_of_Brazil.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/43px-Flag_of_Brazil.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="22" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Brazil" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Brazil">Brazil</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1974_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1974 FIFA World Cup">1974</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="1000" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/23px-Flag_of_Germany.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/35px-Flag_of_Germany.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/46px-Flag_of_Germany.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/West_Germany" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="West Germany">West Germany</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="1000" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/23px-Flag_of_Germany.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/35px-Flag_of_Germany.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/46px-Flag_of_Germany.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/West_Germany" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="West Germany">West Germany</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1978_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1978 FIFA World Cup">1978</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="500" data-file-width="800" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/23px-Flag_of_Argentina.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/35px-Flag_of_Argentina.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/46px-Flag_of_Argentina.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Argentina" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Argentina">Argentina</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="500" data-file-width="800" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/23px-Flag_of_Argentina.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/35px-Flag_of_Argentina.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/46px-Flag_of_Argentina.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Argentina" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Argentina">Argentina</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1982_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1982 FIFA World Cup">1982</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="500" data-file-width="750" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9a/Flag_of_Spain.svg/23px-Flag_of_Spain.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9a/Flag_of_Spain.svg/35px-Flag_of_Spain.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9a/Flag_of_Spain.svg/45px-Flag_of_Spain.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Spain" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Spain">Spain</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="1000" data-file-width="1500" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/23px-Flag_of_Italy.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/35px-Flag_of_Italy.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/45px-Flag_of_Italy.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Italy" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Italy">Italy</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1986_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1986 FIFA World Cup">1986</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="800" data-file-width="1400" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/Flag_of_Mexico.svg/23px-Flag_of_Mexico.svg.png" height="13" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/Flag_of_Mexico.svg/35px-Flag_of_Mexico.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/Flag_of_Mexico.svg/46px-Flag_of_Mexico.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Mexico" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Mexico">Mexico</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="500" data-file-width="800" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/23px-Flag_of_Argentina.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/35px-Flag_of_Argentina.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/46px-Flag_of_Argentina.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Argentina" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Argentina">Argentina</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1990_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1990 FIFA World Cup">1990</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="1000" data-file-width="1500" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/23px-Flag_of_Italy.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/35px-Flag_of_Italy.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/45px-Flag_of_Italy.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Italy" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Italy">Italy</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="1000" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/23px-Flag_of_Germany.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/35px-Flag_of_Germany.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/46px-Flag_of_Germany.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/West_Germany" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="West Germany">West Germany</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1994_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1994 FIFA World Cup">1994</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="650" data-file-width="1235" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/a/a4/Flag_of_the_United_States.svg/23px-Flag_of_the_United_States.svg.png" height="12" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/a/a4/Flag_of_the_United_States.svg/35px-Flag_of_the_United_States.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/a/a4/Flag_of_the_United_States.svg/46px-Flag_of_the_United_States.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/United_States" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="United States">United States</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="504" data-file-width="720" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/22px-Flag_of_Brazil.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/33px-Flag_of_Brazil.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/43px-Flag_of_Brazil.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="22" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Brazil" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Brazil">Brazil</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/1998_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="1998 FIFA World Cup">1998</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/23px-Flag_of_France.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/35px-Flag_of_France.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/45px-Flag_of_France.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/France" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="France">France</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/23px-Flag_of_France.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/35px-Flag_of_France.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/c/c3/Flag_of_France.svg/45px-Flag_of_France.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/France" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="France">France</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/2002_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="2002 FIFA World Cup">2002</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/09/Flag_of_South_Korea.svg/23px-Flag_of_South_Korea.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/09/Flag_of_South_Korea.svg/35px-Flag_of_South_Korea.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/09/Flag_of_South_Korea.svg/45px-Flag_of_South_Korea.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/South_Korea" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="South Korea">South Korea</a> / <span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9e/Flag_of_Japan.svg/23px-Flag_of_Japan.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9e/Flag_of_Japan.svg/35px-Flag_of_Japan.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9e/Flag_of_Japan.svg/45px-Flag_of_Japan.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Japan" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Japan">Japan</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="504" data-file-width="720" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/22px-Flag_of_Brazil.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/33px-Flag_of_Brazil.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/43px-Flag_of_Brazil.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="22" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Brazil" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Brazil">Brazil</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/2006_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="2006 FIFA World Cup">2006</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="1000" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/23px-Flag_of_Germany.svg.png" height="14" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/35px-Flag_of_Germany.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/b/ba/Flag_of_Germany.svg/46px-Flag_of_Germany.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Germany" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Germany">Germany</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="1000" data-file-width="1500" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/23px-Flag_of_Italy.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/35px-Flag_of_Italy.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/03/Flag_of_Italy.svg/45px-Flag_of_Italy.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Italy" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Italy">Italy</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/2010_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="2010 FIFA World Cup">2010</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/af/Flag_of_South_Africa.svg/23px-Flag_of_South_Africa.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/af/Flag_of_South_Africa.svg/35px-Flag_of_South_Africa.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/af/Flag_of_South_Africa.svg/45px-Flag_of_South_Africa.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/South_Africa" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="South Africa">South Africa</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="500" data-file-width="750" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9a/Flag_of_Spain.svg/23px-Flag_of_Spain.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9a/Flag_of_Spain.svg/35px-Flag_of_Spain.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/9/9a/Flag_of_Spain.svg/45px-Flag_of_Spain.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Spain" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Spain">Spain</a></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/2014_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="2014 FIFA World Cup">2014</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="504" data-file-width="720" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/22px-Flag_of_Brazil.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/33px-Flag_of_Brazil.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/0/05/Flag_of_Brazil.svg/43px-Flag_of_Brazil.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="22" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Brazil" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Brazil">Brazil</a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;">Mshindi tunamtegemea.<br />
Bashiri atatokea wapi?</td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/2018_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="2018 FIFA World Cup"><i>2018</i></a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><i><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="600" data-file-width="900" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/f/f3/Flag_of_Russia.svg/23px-Flag_of_Russia.svg.png" height="15" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/f/f3/Flag_of_Russia.svg/35px-Flag_of_Russia.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/en/thumb/f/f3/Flag_of_Russia.svg/45px-Flag_of_Russia.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Russia" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Russia">Russia</a></i></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"></td></tr>
<tr><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/2022_FIFA_World_Cup" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="2022 FIFA World Cup"><i>2022</i></a></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><i><span class="flagicon"><img alt="" class="thumbborder" data-file-height="300" data-file-width="762" src="http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/65/Flag_of_Qatar.svg/23px-Flag_of_Qatar.svg.png" height="9" srcset="//upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/65/Flag_of_Qatar.svg/35px-Flag_of_Qatar.svg.png 1.5x, //upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/6/65/Flag_of_Qatar.svg/46px-Flag_of_Qatar.svg.png 2x" style="border: 1px solid rgb(221, 221, 221); vertical-align: middle;" width="23" /> </span><a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Qatar" style="background: none; color: #0b0080; text-decoration: none;" title="Qatar">Qatar</a></i></td><td style="border: 1px solid rgb(170, 170, 170); padding: 0.2em;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
<span style="font-size: large;">Kutokana na orotha hii BRAZIL imeandaa michuano hii mara mbili hadi sasa na imelichukua kombe hili mara nne ikifuatiwa na Italy na Ujerumani ambazo kila moja imelichukua kombe mara tatu.</span><br />
<div>
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: large;">Spain ambayo ilikuwa mshindi mtetezi kipindi hiki imekwisha tolewa katika kinyanganyiro hiki.</span></div>
<div>
<span style="font-size: large;"><br /></span></div>
<div>
<span style="font-size: large;">Swali wewe unatabiri atakayechukua ushindi LEO ni nani?</span>
<br />
<div>
<form action="http://poll.pollcode.com/43753973" method="post">
<table bgcolor="C7C7C7" border="0" cellpadding="0" cellspacing="2" style="width: 175px;"><tbody>
<tr><td colspan="2"><span style="color: black; font-family: Verdana; font-size: x-small;"><b>Timu gani itakuwa mshindi leo kati ya BRAZIL Vs CHILE na COLOMBIA Vs URUGUAY ? CHAGUA</b></span></td></tr>
<tr><td width="5"><input id="43753973answer1" name="answer" type="radio" value="1" /></td><td><span style="color: black; font-family: Verdana; font-size: x-small;"><label for="43753973answer1">BRAZIL</label></span></td></tr>
<tr><td width="5"><input id="43753973answer2" name="answer" type="radio" value="2" /></td><td><span style="color: black; font-family: Verdana; font-size: x-small;"><label for="43753973answer2">CHILE</label></span></td></tr>
<tr><td width="5"><input id="43753973answer3" name="answer" type="radio" value="3" /></td><td><span style="color: black; font-family: Verdana; font-size: x-small;"><label for="43753973answer3">COLOMBIA</label></span></td></tr>
<tr><td width="5"><input id="43753973answer4" name="answer" type="radio" value="4" /></td><td><span style="color: black; font-family: Verdana; font-size: x-small;"><label for="43753973answer4">URUGUAY</label></span></td></tr>
<tr><td colspan="2"><center>
<input type="submit" value=" Vote " /> <input name="view" type="submit" value=" View " /></center>
</td></tr>
<tr><td align="right" colspan="2"><span style="color: black; font-family: Verdana; font-size: xx-small;">pollcode.com <a href="http://pollcode.com/"><span style="color: black; font-family: Verdana; font-size: xx-small;">free polls</span></a> </span></td></tr>
</tbody></table>
</form>
<br /></div>
<div>
<span style="font-size: large;">Leo tarehe 27/06/2014</span> Timu zilizo katika mzunguko wa kumi na sita hatua ya pili ni <span style="font-size: large;"> Brazili na Chile</span> saa moja jioni na <span style="font-size: large;">Colombia na Uruguay </span>saa tano usiku. </div>
</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<div class="lr-wc-chdr" style="background-color: white; color: #222222; font-family: arial, sans-serif; font-size: 18px; margin-top: -20px; padding: 7px 20px;">
<div class="lr-wc-chdtr" style="display: table-row;">
<img class="lr-wc-cfl" id="wclogo" src="" style="border: none; display: table-cell; height: 50px;" /></div>
</div>
<div class="_Or" style="background-color: white; color: #222222; font-family: arial, sans-serif; font-size: small; line-height: 15.600000381469727px;">
<div class="lr-wc-cmt lr-wc-cttb tb_u r-search1" data-tblog="wc_trn" jsl="$u t-rr3xEAYQ9Zk;$t t-rr3xEAYQ9Zk;" style="position: relative;">
<div class="tb_h" style="background: rgb(30, 90, 46); color: white; overflow: hidden; width: 555px;">
<ol class="tb_tc" style="border: 0px; display: inline-block; height: 40px; margin: 0px; padding: 0px; white-space: nowrap; width: 555px;">
<li class="tb_l tb_st" data-ved="0CB0QtD0oADAA" style="border-bottom-color: rgb(252, 183, 43); border-bottom-style: solid; border-width: 0px 0px 2px; cursor: pointer; display: inline-block; font-weight: bold; height: 18px; line-height: 1.2; list-style: none; margin: 0px; padding: 10px 0px; text-align: center; width: 184.984375px;"><span data-async-trigger="lr_wctrtb0" data-tsact="async.uo" style="display: inline-block; overflow: hidden; text-overflow: ellipsis; width: 177.578125px;">Matches</span></li>
<li class="tb_l" data-ved="0CB4QtD0oATAA" style="border: 0px; cursor: pointer; display: inline-block; height: 18px; line-height: 1.2; list-style: none; margin: 0px; padding: 10px 0px; text-align: center; width: 184.984375px;"><span data-async-trigger="lr_wctrtb1" data-tsact="async.uo" style="display: inline-block; overflow: hidden; text-overflow: ellipsis; width: 177.578125px;">Groups</span></li>
<li class="tb_l" data-ved="0CB8QtD0oAjAA" style="border: 0px; cursor: pointer; display: inline-block; height: 18px; line-height: 1.2; list-style: none; margin: 0px; padding: 10px 0px; text-align: center; width: 184.984375px;"><span data-async-trigger="lr_wctrtb2" data-tsact="async.uo" style="display: inline-block; overflow: hidden; text-overflow: ellipsis; width: 177.578125px;">2nd Stage</span></li>
</ol>
</div>
<div class="tb_c tb_stc" data-alst="display:none" data-lvc="1" data-ved="0CCAQ1zMoADAA" style="left: 0px; top: 0px; width: 555px;">
<div class="y yf" data-async-type="lr_wctrm" data-jiis="up" id="lr_wctrtb0" jsaction="asyncLoading:lr.al;asyncFilled:lr.af;asyncError:lr.ae">
<div class="lr-wc-cgtb lr-wc-tmdt tb_u r-lr_wctrtb02" data-anspd="100" data-atb="true" data-tblog="wc_mts" data-tbskp="1" id="lr_tab_unit_uid_1" jsl="$u t-rr3xEAYQ9Zk;$t t-rr3xEAYQ9Zk;" style="position: relative;">
<div class="tb_c tb_stc" data-alst="display:none" data-lvc="1" data-ved="0CHoQljwoDzAA" style="left: 0px; top: 0px; width: 555px;">
<a class="lr-wc-msml" href="https://www.google.co.tz/search?hl=en&q=brazil+vs+chile&stick=H4sIAAAAAAAAAGOovnz8BQMDQx-H0CPGDkZugScXeyWl6oVEuNgck0sy8_OEuLg4wvOLclKcSwuExLk4gwvyi0r8EnNTQRL6ufoGRmUVJkKqXGw-qYnppalC0kKSXNxuRampSYnFqb6ZKTBlxgaF5kLqXKy-iSXJGUJyQjKoqni5uEGqDA3yigyNq3iapU_YfkrYNeXturC-iL5p_snLijcDAFOun7-rAAAA&sa=X&ei=N6CuU-HTBKak4gSF9YHAAQ&ved=0CHsQ3zwwAA" style="cursor: pointer; text-decoration: none;"></a><br />
<div class="lr-wc-msm" style="display: inline-block; position: relative; width: 277.5px;">
<div class="lr-wc-mge" style="margin-left: 20px; margin-right: 10px;">
<div class="lr-wc-mgn" style="color: #7f7f7f; margin: 16px 0px;">
<a class="lr-wc-msml" href="https://www.google.co.tz/search?hl=en&q=brazil+vs+chile&stick=H4sIAAAAAAAAAGOovnz8BQMDQx-H0CPGDkZugScXeyWl6oVEuNgck0sy8_OEuLg4wvOLclKcSwuExLk4gwvyi0r8EnNTQRL6ufoGRmUVJkKqXGw-qYnppalC0kKSXNxuRampSYnFqb6ZKTBlxgaF5kLqXKy-iSXJGUJyQjKoqni5uEGqDA3yigyNq3iapU_YfkrYNeXturC-iL5p_snLijcDAFOun7-rAAAA&sa=X&ei=N6CuU-HTBKak4gSF9YHAAQ&ved=0CHsQ3zwwAA" style="cursor: pointer; text-decoration: none;">Round of 16</a></div>
<table class="lr-wc-medt" style="border-collapse: collapse; display: block; height: 56px; line-height: 1; margin: 16px 0px;"><tbody>
<tr><td><div class="lr-wc-cfc lr-wc-csf" style="display: inline-block; vertical-align: middle;">
<img class="lr-wc-ccf" id="/m/01352__uid_98" src="" style="border: none; height: 22px; vertical-align: middle; width: 42px;" /></div>
</td><td class="lr-wc-mcn" style="padding-left: 8px; width: 105px;">Brazil</td><td class="lr-wc-msc" style="padding-right: 10px; white-space: nowrap; width: 15px;"></td><td class="lr-wc-mti" rowspan="3" style="line-height: 1.2; overflow: hidden; text-align: center; width: 76px;"><div class="lr-wc-mtiwd" style="max-height: 56px;">
<span class="lr-wc-cdpt" style="overflow: hidden; text-overflow: ellipsis; white-space: nowrap;">7:00 PM</span></div>
</td></tr>
<tr><td class="lr-wc-msrc" style="height: 2px;"></td></tr>
<tr><td><div class="lr-wc-cfc lr-wc-csf" style="display: inline-block; vertical-align: middle;">
<img class="lr-wc-ccf" id="/m/033nzk_uid_99" src="" style="border: none; height: 22px; vertical-align: middle; width: 42px;" /></div>
</td><td class="lr-wc-mcn" style="padding-left: 8px; width: 105px;">Chile</td><td class="lr-wc-msc" style="padding-right: 10px; white-space: nowrap; width: 15px;"></td></tr>
</tbody></table>
</div>
<div class="lr-wc-mrb" style="background: rgb(225, 225, 225); height: 119px; position: absolute; right: 0px; top: 0px; width: 1px;">
</div>
</div>
<a class="lr-wc-msml" href="https://www.google.co.tz/search?hl=en&q=brazil+vs+chile&stick=H4sIAAAAAAAAAGOovnz8BQMDQx-H0CPGDkZugScXeyWl6oVEuNgck0sy8_OEuLg4wvOLclKcSwuExLk4gwvyi0r8EnNTQRL6ufoGRmUVJkKqXGw-qYnppalC0kKSXNxuRampSYnFqb6ZKTBlxgaF5kLqXKy-iSXJGUJyQjKoqni5uEGqDA3yigyNq3iapU_YfkrYNeXturC-iL5p_snLijcDAFOun7-rAAAA&sa=X&ei=N6CuU-HTBKak4gSF9YHAAQ&ved=0CHsQ3zwwAA" style="cursor: pointer; text-decoration: none;">
</a><a class="lr-wc-msml" href="https://www.google.co.tz/search?hl=en&q=colombia+vs+uruguay&stick=H4sIAAAAAAAAAGOovnz8BQMDQx-H0CPGDkZugScXeyWl6oVEuNgck0sy8_OEuLg4wvOLclKcSwuExLk4gwvyi0r8EnNTQRL6ufoGRmUVJkKqXGw-qYnppalC0kKSXNxuRampSYnFqb6ZKTBlxgaF5kLqXKy-iSXJGUJyQjKoqni5uEGqDA3yigxNs3jWx87MNJ-QndTeyRXScydCrVmk_ygABroGtKsAAAA&sa=X&ei=N6CuU-HTBKak4gSF9YHAAQ&ved=0CHwQ3zwwAA" style="cursor: pointer; text-decoration: none;"></a>
<br />
<div class="lr-wc-msm" style="display: inline-block; position: relative; width: 277.5px;">
<div class="lr-wc-mge" style="margin-left: 20px; margin-right: 10px;">
<div class="lr-wc-mgn" style="color: #7f7f7f; margin: 16px 0px;">
<a class="lr-wc-msml" href="https://www.google.co.tz/search?hl=en&q=colombia+vs+uruguay&stick=H4sIAAAAAAAAAGOovnz8BQMDQx-H0CPGDkZugScXeyWl6oVEuNgck0sy8_OEuLg4wvOLclKcSwuExLk4gwvyi0r8EnNTQRL6ufoGRmUVJkKqXGw-qYnppalC0kKSXNxuRampSYnFqb6ZKTBlxgaF5kLqXKy-iSXJGUJyQjKoqni5uEGqDA3yigxNs3jWx87MNJ-QndTeyRXScydCrVmk_ygABroGtKsAAAA&sa=X&ei=N6CuU-HTBKak4gSF9YHAAQ&ved=0CHwQ3zwwAA" style="cursor: pointer; text-decoration: none;">Round of 16</a></div>
<table class="lr-wc-medt" style="border-collapse: collapse; display: block; height: 56px; line-height: 1; margin: 16px 0px;"><tbody>
<tr><td><div class="lr-wc-cfc lr-wc-csf" style="display: inline-block; vertical-align: middle;">
<img class="lr-wc-ccf" id="/m/032c08_uid_100" src="" style="border: none; height: 22px; vertical-align: middle; width: 42px;" /></div>
</td><td class="lr-wc-mcn" style="padding-left: 8px; width: 105px;">Colombia</td><td class="lr-wc-msc" style="padding-right: 10px; white-space: nowrap; width: 15px;"></td><td class="lr-wc-mti" rowspan="3" style="line-height: 1.2; overflow: hidden; text-align: center; width: 76px;"><div class="lr-wc-mtiwd" style="max-height: 56px;">
<span class="lr-wc-cdpt" style="overflow: hidden; text-overflow: ellipsis; white-space: nowrap;">11:00 PM</span></div>
</td></tr>
<tr><td class="lr-wc-msrc" style="height: 2px;"></td></tr>
<tr><td><div class="lr-wc-cfc lr-wc-csf" style="display: inline-block; vertical-align: middle;">
<img class="lr-wc-ccf" id="/m/0329r5_uid_101" src="" style="border: none; height: 22px; vertical-align: middle; width: 42px;" /></div>
</td><td class="lr-wc-mcn" style="padding-left: 8px; width: 105px;">Uruguay</td></tr>
</tbody></table>
</div>
</div>
<a class="lr-wc-msml" href="https://www.google.co.tz/search?hl=en&q=colombia+vs+uruguay&stick=H4sIAAAAAAAAAGOovnz8BQMDQx-H0CPGDkZugScXeyWl6oVEuNgck0sy8_OEuLg4wvOLclKcSwuExLk4gwvyi0r8EnNTQRL6ufoGRmUVJkKqXGw-qYnppalC0kKSXNxuRampSYnFqb6ZKTBlxgaF5kLqXKy-iSXJGUJyQjKoqni5uEGqDA3yigxNs3jWx87MNJ-QndTeyRXScydCrVmk_ygABroGtKsAAAA&sa=X&ei=N6CuU-HTBKak4gSF9YHAAQ&ved=0CHwQ3zwwAA" style="cursor: pointer; text-decoration: none;">
</a></div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
</div>
<div>
Ingia tena kesho kupata matokeo na taarifa nyingine mpya za kombe hili:</div>
</div>
Adminhttp://www.blogger.com/profile/04167361875285412464noreply@blogger.com1