Barua za kiofisi na ufunguo wa pikipiki wa Mwl Msangi vyapotea

Nimepoteza   funguo za pikipiki yangu na 'remorte' yake na barua (documents) za kikazi maeneo ya Mkuyuni jijini Mwanza.Yeyote aliyeviokota namwomba anirejeshee. Kunazawadi nzuri. Nipigie kwa Namba+255754366352huu.upotevu umetokea Jumatano ya tarehe. 18-01-2017

Maeneo nilikopita hiyo juzi. Niliipaki pikipiki kwa fundi kwa marekebisho madogo Mkuyuni  Nilichua ufunguo nikapakia daladala   kwenda mijini kwani nilikuwa napeleka form zaHBngu za kustaafu ofisi za PSPF.Nilipotoka PSPF  nilienda Jiji Mwanza kwa kupeleka nakala ya form za form za PSPF nikiwa ofisi za TSD jiji, ndipo nilipobaini upotevu wa funguo  hizo. Nilifuatilia ofisi za PSPF bila mafanikio.Nikafuatilia nilikoacha pikipiki huenda sikuzichomoa nako sikufanikiwa.Nikaamua kubadili 'switch'.

Nikiwa katika harakati za kubadili hiyo 'switch'  nikapigiwa simu kuwa nilipotoa form za PSPF nilisahau juu ya dirisha 'Salary slips' ambazo jioni yake Ida Mangasa jirani yangu aliniletea.

Kasheshe ni hizo nyaraka zangu za kikazi na ufunguo wa 'tank' la mafuta na 'lock' ya pikipiki.

Hizo barua nilikuwa nazo nilipokuwa
nabadili 'switch' hapo Mkuyuni.

Tumaini langu ni kwa wewe mkazi wa Mwanza utakayeusoma ujumbe huu na ukawa umebahatika kuona au kusiki aliyeokota barua hizo au kuona funguo  hizo nisaidie kwa kunirejeshea vitu hivyo kwa kutumia namba ya simu nilotoa hapa ya +255754366352 au ya +255714366352.

0 comments:

POLL

Which structure of government do you prefer to be implemented in Tanzania?
  
pollcode.com free polls 

TOA MAONI YAKO HAPA (NI BURE)

Name

Email *

Message *

Copyright © 2014 Hii Wiki jijini Mwanza