BRAZIL na CHILE, COLOMBIA na URUGUAY Dimbani LEO

Orodha ya nchi ambazo michuano ya kombe la Dunia limefanyikia tokea kuanza kwake 1930  hadi mwaka 2030.Ifuatayo ni orodha hii.

Orodha ya nchi waandaaji toka 1930- 2022 na nchi iliyochukua kombe hilo kipindi hicho

YearHostWinner
1930 Uruguay Uruguay
1934 Italy Italy
1938 France
1942Cancelled due to World War IINo Winner
1946
1950 Brazil Uruguay
1954  Switzerland West Germany
1958 Sweden Brazil
1962 Chile
1966 England England
1970 Mexico Brazil
1974 West Germany West Germany
1978 Argentina Argentina
1982 Spain Italy
1986 Mexico Argentina
1990 Italy West Germany
1994 United States Brazil
1998 France France
2002 South Korea /  Japan Brazil
2006 Germany Italy
2010 South Africa Spain
2014 BrazilMshindi tunamtegemea.
Bashiri atatokea wapi?
2018 Russia
2022 Qatar
Kutokana na orotha hii BRAZIL imeandaa michuano hii mara mbili hadi sasa na imelichukua kombe hili mara nne ikifuatiwa na Italy na Ujerumani ambazo kila moja imelichukua kombe mara tatu.

Spain ambayo ilikuwa mshindi mtetezi kipindi hiki imekwisha tolewa katika kinyanganyiro hiki.

Swali wewe unatabiri atakayechukua ushindi LEO ni nani?
Timu gani itakuwa mshindi leo kati ya BRAZIL Vs CHILE na COLOMBIA Vs URUGUAY ? CHAGUA
  
pollcode.com free polls 

Leo tarehe 27/06/2014 Timu zilizo katika mzunguko wa kumi na sita hatua ya  pili ni  Brazili  na Chile saa moja jioni na Colombia na  Uruguay saa tano usiku. 

  1. Matches
  2. Groups
  3. 2nd Stage

Brazil
7:00 PM
Chile

Colombia
11:00 PM
Uruguay
Ingia tena kesho kupata matokeo na taarifa nyingine mpya za kombe hili:

1 comment:

  1. Haya penalti hizo Brazili atajitetea mbele ya maelfu ya watazamaji WAKE

    ReplyDelete

POLL

Which structure of government do you prefer to be implemented in Tanzania?
  
pollcode.com free polls 

TOA MAONI YAKO HAPA (NI BURE)

Name

Email *

Message *

Copyright © 2014 Hii Wiki jijini Mwanza